Uchaguzi 2020 Ona alivyokiuka kiapo chake, hafai kuongezewa mitano tena

Kwa lugha rahisi, kiapo ni ahadi rasmi, tena mbele ya ushahidi wa Mwenyezi Mungu juu ya matendo yako na tabia zako kuanzia siku hiyo ya kiapo.

Kwa ndugu zangu wakristo kama alivyo mheshimiwa JPM, kiapo kinaambatana na kushika biblia takatifu mkononi na hivyo basi kumfanya Mungu awe shahidi wa kiapo chako.

Msingi wa kiapo kwenye biblia ni kitabu cha hesabu 30:2, Mungu anasema hivi "Mtu akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu au akiahidi kwa kiapo na kujifunga nafsi yake kwa ahadi, ni lazima atimize ahadi yake; ni lazima atekeleze yote yale aliyotamka kwa kauli yake".

Tukirejea kwa huyu mheshimiwa wetu, katika miaka mitano ya 'utawala' wake, tumeshuhudia akikiuka kiapo chake tena na tena, na hivyo kuthibitisha kuwa ni mtu asiye aminika na hafai kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Kiapo chake kilikua hivi:

"Mimi JPM, naapa nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nitalinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."


"Mimi JPM naapa nitatenda kazi zangu za Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uaminifu kwa kutimiza wajibu wa kazi hizo kwa bidii na moyo mkunjufu na nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa sheria, mila na desturi za Tanzania, bila woga, bila upendeleo, huba wala chuki. ewe mwenyezi MUNGU nisaidie."

"Mimi JPM naapa katika kutekeleza majukumu katika kutekeleza madaraka niliyopewa kwa mujibu wa KATIBA ya Umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nitatetea na kudumisha umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."

Tuiache sehemu ya kwanza ya kiapo (japo kuna kila dalili amekua akiivunja pia)

Sehemu ya pili ya kiapo chake anaahidi kuwatumikia watanzania wote kwa moyo mkunjufu bila UPENDELEO, huba wala CHUKI. tena anaahidi kuwatendea HAKI!

Sasa ni mara ngapi katika kipindi cha miaka 5 tumesikia akizuia watu fulani wasibomolewe nyumba zao eti kwakua walimpigia kura yeye, na wakati huohuo akiagiza wengine ambao anaamini hawakumpigia kura wavunjiwe nyumba zao?

Au akiwananga, kuwazodoa, kuwatisha na kuwang'ong'a baadhi ya watanzania kuwa hawezi kuwaletea maendeleo eti kwakua walichagua mbunge wa chama tofauti na chama chake?? Hii ni chuki, ubaguzi na uvunjifu wa kiapo chake wa waziwazi.

Imefika kipindi kauli hizo za kibaguzi na zinazo onesha mwelekeo wa upendeleo zimeendelea kutolewa kwenye kampeni zake za kuomba nafasi tena, sote tulimsikia pale kawe akikiri dhambi hiyo mbaya ya upendeleo na ubaguzi.

Mbaya zaidi hata makamu wake naye ameanza kutoa kauli hizo za chuki na husda.

Matendo haya yanapelekea kuvunja sehemu ya tatu ya kiapo chake, ameahindi kudumisha umoja wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, lakini sote ni mashahidi kuwa kwasasa nchi yetu imejaa chuki za kisiasa, na kuna viashiria vya ukabila na ukanda. Watanzania walio chama hiki wanawaona wa wanawaona wa chama kile ni maadai na wasaliti! Wanatishia hata kuwaua waziwazi.

Watanzania tunastahili rais mkweli, mwenye kutambua wajibu wake ni kwa watanzania wote bila kujali dini, itikadi za kisiasa, kabila au rangi ya mtu. Rais atakaye tenda HAKI kwa wote, rais atakayeheshimu kiapo chake. Kwa uzoefu tulioupata ndani ya miaka mitano hii basi ni wazi kabisa kuwa ndugu JPM hawezi kuwa rais wa aina hiyo.
Unaweza kuongea kwa kumaanisha vizuri ila wanaokusikiliza kila mmja atakuja na tafsiri yake hata darasani mwalimu anafundisha wanafunzi ila wote hawawi wa kwanza hivyo kila mtu na uelewa wake.
Mimi nimemwelewa hivi Rais ,Msimchanganyie Betri na gunzi kwasababu miradi inakwamishwa kwa makusudi sehemu zenye magunzi,kingine kunakuwa hakuna connection kati ya mbunge na wizara hadi kwa Rais maana hata ziara za mheshiwa huwa magunzi yanakimbia ila sehemu zenye wabunge wa Ccm wakipewa nafasi wanatoa kero za jimbo .all in all mheshimiwa hataki stress anataka miradi yote ifanikiwe kwa haraka gunzi zinamchelewesha ,TUMECHELEWA MNO....
Maendeleo hayana Chama *Tanzania na Magufuli ni Salama*
 
Kwa lugha rahisi, kiapo ni ahadi rasmi, tena mbele ya ushahidi wa Mwenyezi Mungu juu ya matendo yako na tabia zako kuanzia siku hiyo ya kiapo.

Kwa ndugu zangu wakristo kama alivyo mheshimiwa JPM, kiapo kinaambatana na kushika biblia takatifu mkononi na hivyo basi kumfanya Mungu awe shahidi wa kiapo chako.

Msingi wa kiapo kwenye biblia ni kitabu cha hesabu 30:2, Mungu anasema hivi "Mtu akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu au akiahidi kwa kiapo na kujifunga nafsi yake kwa ahadi, ni lazima atimize ahadi yake; ni lazima atekeleze yote yale aliyotamka kwa kauli yake".

Tukirejea kwa huyu mheshimiwa wetu, katika miaka mitano ya 'utawala' wake, tumeshuhudia akikiuka kiapo chake tena na tena, na hivyo kuthibitisha kuwa ni mtu asiye aminika na hafai kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Kiapo chake kilikua hivi:

"Mimi JPM, naapa nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nitalinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."


"Mimi JPM naapa nitatenda kazi zangu za Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uaminifu kwa kutimiza wajibu wa kazi hizo kwa bidii na moyo mkunjufu na nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa sheria, mila na desturi za Tanzania, bila woga, bila upendeleo, huba wala chuki. ewe mwenyezi MUNGU nisaidie."

"Mimi JPM naapa katika kutekeleza majukumu katika kutekeleza madaraka niliyopewa kwa mujibu wa KATIBA ya Umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nitatetea na kudumisha umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."

Tuiache sehemu ya kwanza ya kiapo (japo kuna kila dalili amekua akiivunja pia)

Sehemu ya pili ya kiapo chake anaahidi kuwatumikia watanzania wote kwa moyo mkunjufu bila UPENDELEO, huba wala CHUKI. tena anaahidi kuwatendea HAKI!

Sasa ni mara ngapi katika kipindi cha miaka 5 tumesikia akizuia watu fulani wasibomolewe nyumba zao eti kwakua walimpigia kura yeye, na wakati huohuo akiagiza wengine ambao anaamini hawakumpigia kura wavunjiwe nyumba zao?

Au akiwananga, kuwazodoa, kuwatisha na kuwang'ong'a baadhi ya watanzania kuwa hawezi kuwaletea maendeleo eti kwakua walichagua mbunge wa chama tofauti na chama chake?? Hii ni chuki, ubaguzi na uvunjifu wa kiapo chake wa waziwazi.

Imefika kipindi kauli hizo za kibaguzi na zinazo onesha mwelekeo wa upendeleo zimeendelea kutolewa kwenye kampeni zake za kuomba nafasi tena, sote tulimsikia pale kawe akikiri dhambi hiyo mbaya ya upendeleo na ubaguzi.

Mbaya zaidi hata makamu wake naye ameanza kutoa kauli hizo za chuki na husda.

Matendo haya yanapelekea kuvunja sehemu ya tatu ya kiapo chake, ameahindi kudumisha umoja wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, lakini sote ni mashahidi kuwa kwasasa nchi yetu imejaa chuki za kisiasa, na kuna viashiria vya ukabila na ukanda. Watanzania walio chama hiki wanawaona wa chama kile ni maadai na wasaliti! Wanatishia hata kuwaua waziwazi.

Watanzania tunastahili rais mkweli, mwenye kutambua wajibu wake ni kwa watanzania wote bila kujali dini, itikadi za kisiasa, kabila au rangi ya mtu. Rais atakaye tenda HAKI kwa wote, rais atakayeheshimu kiapo chake. Kwa uzoefu tulioupata ndani ya miaka mitano hii basi ni wazi kabisa kuwa ndugu JPM hawezi kuwa rais wa aina hiyo.
Duuuu!
 
Hivi mtu na akili zako timamu kabisa yani. Unaamka asubuhi unachukua kitambulisho chako cha kupiga kura unaenda kujipanga foleni kituo cha kupiga kura then kura yako unampa Magufuli!


...si bora ukalala tu kuliko kupoteza muda wako ambao utaujutia ndani ya siku 100 magufuli akiapishwa kuwa rais tena!
Kumpigia kura huyu mzee labda niwe nimelaaniwa
 
Hivi mtu na akili zako timamu kabisa yani. Unaamka asubuhi unachukua kitambulisho chako cha kupiga kura unaenda kujipanga foleni kituo cha kupiga kura then kura yako unampa Magufuli!


...si bora ukalala tu kuliko kupoteza muda wako ambao utaujutia ndani ya siku 100 magufuli akiapishwa kuwa rais tena!
Yaani ni afadhali ulale tu, kumpa kura mtu ambaye hajali maumivu ya wengine ni kujitafutia msiba. 2015 wengi hatua tunamjua vizuri lakini kwa sasa sote tumemwona rangi yake halisi.
 
Kwa lugha rahisi, kiapo ni ahadi rasmi, tena mbele ya ushahidi wa Mwenyezi Mungu juu ya matendo yako na tabia zako kuanzia siku hiyo ya kiapo.

Kwa ndugu zangu wakristo kama alivyo mheshimiwa JPM, kiapo kinaambatana na kushika biblia takatifu mkononi na hivyo basi kumfanya Mungu awe shahidi wa kiapo chako.

Msingi wa kiapo kwenye biblia ni kitabu cha hesabu 30:2, Mungu anasema hivi "Mtu akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu au akiahidi kwa kiapo na kujifunga nafsi yake kwa ahadi, ni lazima atimize ahadi yake; ni lazima atekeleze yote yale aliyotamka kwa kauli yake".

Tukirejea kwa huyu mheshimiwa wetu, katika miaka mitano ya 'utawala' wake, tumeshuhudia akikiuka kiapo chake tena na tena, na hivyo kuthibitisha kuwa ni mtu asiye aminika na hafai kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Kiapo chake kilikua hivi:

"Mimi JPM, naapa nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nitalinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."


"Mimi JPM naapa nitatenda kazi zangu za Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uaminifu kwa kutimiza wajibu wa kazi hizo kwa bidii na moyo mkunjufu na nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa sheria, mila na desturi za Tanzania, bila woga, bila upendeleo, huba wala chuki. ewe mwenyezi MUNGU nisaidie."

"Mimi JPM naapa katika kutekeleza majukumu katika kutekeleza madaraka niliyopewa kwa mujibu wa KATIBA ya Umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nitatetea na kudumisha umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."

Tuiache sehemu ya kwanza ya kiapo (japo kuna kila dalili amekua akiivunja pia)

Sehemu ya pili ya kiapo chake anaahidi kuwatumikia watanzania wote kwa moyo mkunjufu bila UPENDELEO, huba wala CHUKI. tena anaahidi kuwatendea HAKI!

Sasa ni mara ngapi katika kipindi cha miaka 5 tumesikia akizuia watu fulani wasibomolewe nyumba zao eti kwakua walimpigia kura yeye, na wakati huohuo akiagiza wengine ambao anaamini hawakumpigia kura wavunjiwe nyumba zao?

Au akiwananga, kuwazodoa, kuwatisha na kuwang'ong'a baadhi ya watanzania kuwa hawezi kuwaletea maendeleo eti kwakua walichagua mbunge wa chama tofauti na chama chake?? Hii ni chuki, ubaguzi na uvunjifu wa kiapo chake wa waziwazi.

Imefika kipindi kauli hizo za kibaguzi na zinazo onesha mwelekeo wa upendeleo zimeendelea kutolewa kwenye kampeni zake za kuomba nafasi tena, sote tulimsikia pale kawe akikiri dhambi hiyo mbaya ya upendeleo na ubaguzi.

Mbaya zaidi hata makamu wake naye ameanza kutoa kauli hizo za chuki na husda.

Matendo haya yanapelekea kuvunja sehemu ya tatu ya kiapo chake, ameahindi kudumisha umoja wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, lakini sote ni mashahidi kuwa kwasasa nchi yetu imejaa chuki za kisiasa, na kuna viashiria vya ukabila na ukanda. Watanzania walio chama hiki wanawaona wa chama kile ni maadui na wasaliti! Wanatishia hata kuwaua waziwazi.

Watanzania tunastahili rais mkweli, mwenye kutambua wajibu wake ni kwa watanzania wote bila kujali dini, itikadi za kisiasa, kabila au rangi ya mtu. Rais atakaye tenda HAKI kwa wote, rais atakayeheshimu kiapo chake. Kwa uzoefu tulioupata ndani ya miaka mitano hii basi ni wazi kabisa kuwa ndugu JPM hawezi kuwa rais wa aina hiyo.
Udikteta mwisho mwaka huu.
 
Unaweza kuongea kwa kumaanisha vizuri ila wanaokusikiliza kila mmja atakuja na tafsiri yake hata darasani mwalimu anafundisha wanafunzi ila wote hawawi wa kwanza hivyo kila mtu na uelewa wake.
Mimi nimemwelewa hivi Rais ,Msimchanganyie Betri na gunzi kwasababu miradi inakwamishwa kwa makusudi sehemu zenye magunzi,kingine kunakuwa hakuna connection kati ya mbunge na wizara hadi kwa Rais maana hata ziara za mheshiwa huwa magunzi yanakimbia ila sehemu zenye wabunge wa Ccm wakipewa nafasi wanatoa kero za jimbo .all in all mheshimiwa hataki stress anataka miradi yote ifanikiwe kwa haraka gunzi zinamchelewesha ,TUMECHELEWA MNO....
Maendeleo hayana Chama *Tanzania na Magufuli ni Salama*
Hakuna namna ambayo mbunge anaweza kukwamisha maendeleo, tena kwa kipindi hiki hata yaliyokua mapato ya halmashauri mengi yamehamishiwa serikali kuu.

Ni sawa kwa wewe kumwelewa hivyo, lakini ukweli unabaki palepale kuwa anakiuka kiapo chake.
 
Kwa lugha rahisi, kiapo ni ahadi rasmi, tena mbele ya ushahidi wa Mwenyezi Mungu juu ya matendo yako na tabia zako kuanzia siku hiyo ya kiapo.

Kwa ndugu zangu wakristo kama alivyo mheshimiwa JPM, kiapo kinaambatana na kushika biblia takatifu mkononi na hivyo basi kumfanya Mungu awe shahidi wa kiapo chako.

Msingi wa kiapo kwenye biblia ni kitabu cha hesabu 30:2, Mungu anasema hivi "Mtu akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu au akiahidi kwa kiapo na kujifunga nafsi yake kwa ahadi, ni lazima atimize ahadi yake; ni lazima atekeleze yote yale aliyotamka kwa kauli yake".

Tukirejea kwa huyu mheshimiwa wetu, katika miaka mitano ya 'utawala' wake, tumeshuhudia akikiuka kiapo chake tena na tena, na hivyo kuthibitisha kuwa ni mtu asiye aminika na hafai kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Kiapo chake kilikua hivi:

"Mimi JPM, naapa nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nitalinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."


"Mimi JPM naapa nitatenda kazi zangu za Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uaminifu kwa kutimiza wajibu wa kazi hizo kwa bidii na moyo mkunjufu na nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa sheria, mila na desturi za Tanzania, bila woga, bila upendeleo, huba wala chuki. ewe mwenyezi MUNGU nisaidie."

"Mimi JPM naapa katika kutekeleza majukumu katika kutekeleza madaraka niliyopewa kwa mujibu wa KATIBA ya Umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nitatetea na kudumisha umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."

Tuiache sehemu ya kwanza ya kiapo (japo kuna kila dalili amekua akiivunja pia)

Sehemu ya pili ya kiapo chake anaahidi kuwatumikia watanzania wote kwa moyo mkunjufu bila UPENDELEO, huba wala CHUKI. tena anaahidi kuwatendea HAKI!

Sasa ni mara ngapi katika kipindi cha miaka 5 tumesikia akizuia watu fulani wasibomolewe nyumba zao eti kwakua walimpigia kura yeye, na wakati huohuo akiagiza wengine ambao anaamini hawakumpigia kura wavunjiwe nyumba zao?

Au akiwananga, kuwazodoa, kuwatisha na kuwang'ong'a baadhi ya watanzania kuwa hawezi kuwaletea maendeleo eti kwakua walichagua mbunge wa chama tofauti na chama chake?? Hii ni chuki, ubaguzi na uvunjifu wa kiapo chake wa waziwazi.

Imefika kipindi kauli hizo za kibaguzi na zinazo onesha mwelekeo wa upendeleo zimeendelea kutolewa kwenye kampeni zake za kuomba nafasi tena, sote tulimsikia pale kawe akikiri dhambi hiyo mbaya ya upendeleo na ubaguzi.

Mbaya zaidi hata makamu wake naye ameanza kutoa kauli hizo za chuki na husda.

Matendo haya yanapelekea kuvunja sehemu ya tatu ya kiapo chake, ameahindi kudumisha umoja wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, lakini sote ni mashahidi kuwa kwasasa nchi yetu imejaa chuki za kisiasa, na kuna viashiria vya ukabila na ukanda. Watanzania walio chama hiki wanawaona wa chama kile ni maadui na wasaliti! Wanatishia hata kuwaua waziwazi.

Watanzania tunastahili rais mkweli, mwenye kutambua wajibu wake ni kwa watanzania wote bila kujali dini, itikadi za kisiasa, kabila au rangi ya mtu. Rais atakaye tenda HAKI kwa wote, rais atakayeheshimu kiapo chake. Kwa uzoefu tulioupata ndani ya miaka mitano hii basi ni wazi kabisa kuwa ndugu JPM hawezi kuwa rais wa aina hiyo.
Huko kuapa kwa kushika bibilia ni Fashion tu.
Huyu MTU alisema anataka akifa akapewe malaika awaongoze taratibu kwa kuwa alikuwa ni kiongozi mzuri duniani".
Sasa hapo tunavyojua sisi wakristo kiongozi wa malaika ni mikaeli ambaye ndie kristo Yesu mwenyewe
Hivyo jamaa kuna muda huwa anaitamani nafasi ya Mungu(Yesu) kwahiyo hawezi kumheshimu mtu unaeamini unaweza kuipewa nafasi yake
 
Wakati serikali ina hamasisha watu waende kujiandikisha kwaajili ya uchaguzi mkuu Chadema walikua wakihamasisha watu wasiende kujiandikisha mbaka ipatikane katiba Mpya, Chakushangaza baada ya matokeo ya uchaguzi watadai wameibiwa kura.
 
Unaweza kuongea kwa kumaanisha vizuri ila wanaokusikiliza kila mmja atakuja na tafsiri yake hata darasani mwalimu anafundisha wanafunzi ila wote hawawi wa kwanza hivyo kila mtu na uelewa wake.
Mimi nimemwelewa hivi Rais ,Msimchanganyie Betri na gunzi kwasababu miradi inakwamishwa kwa makusudi sehemu zenye magunzi,kingine kunakuwa hakuna connection kati ya mbunge na wizara hadi kwa Rais maana hata ziara za mheshiwa huwa magunzi yanakimbia ila sehemu zenye wabunge wa Ccm wakipewa nafasi wanatoa kero za jimbo .all in all mheshimiwa hataki stress anataka miradi yote ifanikiwe kwa haraka gunzi zinamchelewesha ,TUMECHELEWA MNO....
Maendeleo hayana Chama *Tanzania na Magufuli ni Salama*
Eeenh Heee...

Wewe ni /au ulikuwa mwanafunzi mgumu kufundishika.

Ulikuwa ukiweka unayotaka wewe na unaondoa uliyofundishwa na mwalimu.

Dunia haiendi kwa vurugu namna hiyo.

Kila jambo lina taratibu zake, hata huko kujifunza shuleni kuna taratibu zake. Wewe kwa kichwa chako ngumu, kama huyo unayemsemea hapa unaamua kufanya mambo nje ya taratibu, bila shaka matokeo yake yatakuwa sio mema; kama inavyoelekea kutokea hapa, hapo tarehe 28 Oktoba.
 
Huko kuapa kwa kushika bibilia ni Fashion tu.
Huyu MTU alisema anataka akifa akapewe malaika awaongoze taratibu kwa kuwa alikuwa ni kiongozi mzuri duniani".
Sasa hapo tunavyojua sisi wakristo kiongozi wa malaika ni mikaeli ambaye ndie kristo Yesu mwenyewe
Hivyo jamaa kuna muda huwa anaitamani nafasi ya Mungu(Yesu) kwahiyo hawezi kumheshimu mtu unaeamini unaweza kuipewa nafasi yake
Tayari wapambe wake wakiongozwa na Kangi Lugola wamesha anza kumwita YESU
 
Unaweza kuongea kwa kumaanisha vizuri ila wanaokusikiliza kila mmja atakuja na tafsiri yake hata darasani mwalimu anafundisha wanafunzi ila wote hawawi wa kwanza hivyo kila mtu na uelewa wake.
Mimi nimemwelewa hivi Rais ,Msimchanganyie Betri na gunzi kwasababu miradi inakwamishwa kwa makusudi sehemu zenye magunzi,kingine kunakuwa hakuna connection kati ya mbunge na wizara hadi kwa Rais maana hata ziara za mheshiwa huwa magunzi yanakimbia ila sehemu zenye wabunge wa Ccm wakipewa nafasi wanatoa kero za jimbo .all in all mheshimiwa hataki stress anataka miradi yote ifanikiwe kwa haraka gunzi zinamchelewesha ,TUMECHELEWA MNO....
Maendeleo hayana Chama *Tanzania na Magufuli ni Salama*
Nimekuelewa mkuu, hata mimi naungana na wewe kuwa Jiee akitoka madarakani ashitakiwe pia asiachwe tu.

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
 
Kwa lugha rahisi, kiapo ni ahadi rasmi, tena mbele ya ushahidi wa Mwenyezi Mungu juu ya matendo yako na tabia zako kuanzia siku hiyo ya kiapo.

Kwa ndugu zangu wakristo kama alivyo mheshimiwa JPM, kiapo kinaambatana na kushika biblia takatifu mkononi na hivyo basi kumfanya Mungu awe shahidi wa kiapo chako.

Msingi wa kiapo kwenye biblia ni kitabu cha hesabu 30:2, Mungu anasema hivi "Mtu akiweka nadhiri kwa Mwenyezi-Mungu au akiahidi kwa kiapo na kujifunga nafsi yake kwa ahadi, ni lazima atimize ahadi yake; ni lazima atekeleze yote yale aliyotamka kwa kauli yake".

Tukirejea kwa huyu mheshimiwa wetu, katika miaka mitano ya 'utawala' wake, tumeshuhudia akikiuka kiapo chake tena na tena, na hivyo kuthibitisha kuwa ni mtu asiye aminika na hafai kuwa kiongozi mkuu wa nchi.

Kiapo chake kilikua hivi:

"Mimi JPM, naapa nitakuwa mwaminifu kwa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na nitalinda na kuitetea Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kama ilivyowekwa kwa mujibu wa Sheria, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."


"Mimi JPM naapa nitatenda kazi zangu za Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa uaminifu kwa kutimiza wajibu wa kazi hizo kwa bidii na moyo mkunjufu na nitawatendea haki watu wote kwa mujibu wa sheria, mila na desturi za Tanzania, bila woga, bila upendeleo, huba wala chuki. ewe mwenyezi MUNGU nisaidie."

"Mimi JPM naapa katika kutekeleza majukumu katika kutekeleza madaraka niliyopewa kwa mujibu wa KATIBA ya Umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, nitatetea na kudumisha umoja wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa mujibu wa Katiba, ewe Mwenyezi MUNGU nisaidie."

Tuiache sehemu ya kwanza ya kiapo (japo kuna kila dalili amekua akiivunja pia)

Sehemu ya pili ya kiapo chake anaahidi kuwatumikia watanzania wote kwa moyo mkunjufu bila UPENDELEO, huba wala CHUKI. tena anaahidi kuwatendea HAKI!

Sasa ni mara ngapi katika kipindi cha miaka 5 tumesikia akizuia watu fulani wasibomolewe nyumba zao eti kwakua walimpigia kura yeye, na wakati huohuo akiagiza wengine ambao anaamini hawakumpigia kura wavunjiwe nyumba zao?

Au akiwananga, kuwazodoa, kuwatisha na kuwang'ong'a baadhi ya watanzania kuwa hawezi kuwaletea maendeleo eti kwakua walichagua mbunge wa chama tofauti na chama chake?? Hii ni chuki, ubaguzi na uvunjifu wa kiapo chake wa waziwazi.

Imefika kipindi kauli hizo za kibaguzi na zinazo onesha mwelekeo wa upendeleo zimeendelea kutolewa kwenye kampeni zake za kuomba nafasi tena, sote tulimsikia pale kawe akikiri dhambi hiyo mbaya ya upendeleo na ubaguzi.

Mbaya zaidi hata makamu wake naye ameanza kutoa kauli hizo za chuki na husda.

Matendo haya yanapelekea kuvunja sehemu ya tatu ya kiapo chake, ameahindi kudumisha umoja wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, lakini sote ni mashahidi kuwa kwasasa nchi yetu imejaa chuki za kisiasa, na kuna viashiria vya ukabila na ukanda. Watanzania walio chama hiki wanawaona wa chama kile ni maadui na wasaliti! Wanatishia hata kuwaua waziwazi.

Watanzania tunastahili rais mkweli, mwenye kutambua wajibu wake ni kwa watanzania wote bila kujali dini, itikadi za kisiasa, kabila au rangi ya mtu. Rais atakaye tenda HAKI kwa wote, rais atakayeheshimu kiapo chake. Kwa uzoefu tulioupata ndani ya miaka mitano hii basi ni wazi kabisa kuwa ndugu JPM hawezi kuwa rais wa aina hiyo.
Huna akili. Subiri tuwagonge 28.10.2020, baada ya hapo tunawashughulikia ili kung’oa mabaki yote ya vibaraka, in 5 years mtakoma!
 
Back
Top Bottom