kwa kweli Simbeye kaendesha kipiindi vizuri sana.. walikuwepo Kitila mkumbo, Ester Mkwizu, Dr Safari na mwingine mmoja.
Kwa kweli Simbeye refa mzuri.. hajaegemea upande wowote.. mojawapo ya hoja iliyonifurahisha ni pale wachambuzi waliposema inabidi kwenda zaidi na kujadili kwa nini CHADEMA walitoka nje wakati mh,. rais anaanza kutoa hotuba.
Aidha wameongelea suala la uanzishaji wa vyuo vikuu katika kila kanda.. nimesikia mchambuzi mmoja akipendekeza kuwa badala ya kutawanya raslimali chache tulizo nazo ingekuwa ni vema tuboreshe vyuo viilivyopo ili vitoe elimu bora badala ya bora elimu..
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.