Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,565
Not only the best kwa CCM, pia amemwaga sumu kuhusu Chadema kupanga mauaji kwenye maandanano/mikutano na kuiwekea caveat ZZK asijibu kwa kisingizio tumeshawasilisha vielelezo kunako husika, na ZZK had nothing to counter!, kwa vile so far, hakuna kesi yoyote ya ugaidi inayowahusu Chadema iliyokwisha funguliwa, ZZK should have counter attack spontaneously ili kumzua Mchemba asiendeleze huo uzushi mpaka hiyo kesi itakapo funguliwa!. Hivyo kilichobaki kwa wananchi ni one side story ya Mchemba!.Zitto ni kichwa but Nchemba ametumia vyema kukihusicha chama na vijimafanikio kidogo vya serikali. Nchemba has done the best for his party
P.