Masterproud
JF-Expert Member
- Sep 14, 2012
- 440
- 115
Mjadala mzito unaendelea Star Tv unaohusu sakata la Wizi wa fedha zilizohifadhiwa katika mabenki ya Uswizi. Naibu katibu Mkuu chadema na mleta hoja mkuu juu ya sakata hilo ndugu Zitto Kabwe ndani ya studio za Star Tv asubuhi hii. Karibuni wadau tuone mwenendo wa sakata hili. Huenda leo akafunguka zaidi.
Live LINK: Star Tv - Live
Live LINK: Star Tv - Live