On Star TV - Nape afafanua mpango wa "kuhuisha chama"

Status
Not open for further replies.
Acha uzushi unaangalia TV ya aina gani..? geuza TV yako juu chini au geuza macho yako. Nape amewataka jamaa kuacha ku-generalize mambo na kutaja kila jambo katika uhalisia wake na akawa anawapa takwimu na data katika majibu yake alisema kuhusu watoto wa vigogo kisoma nje alisema kuwa yeye alifanya digrii yake akiwa india na kati ya watoto 300 mtoto aliyeitwa wa kigogo ni yeye peke yake, na akasema hakuna anayechagua kuzaliwa na mtu fulani na hivyo wasionewe watoto wa wanasiasa wakiamua kuwa wanasiasa, kwani kuna dhambi ipi wakiamua hivyo mbona haihojiwi kwa mtoto wa daktar kuwa daktar, lakini pia akasema katika waliojitokeza katika kuwania uongozi ndani ya chama zaidi ya watu 5000 na katika hao watoto wa vigogo hawakufika 20 na katika hao wengi wamekosa nafasi.

Akasisitiza kuwa watu lazima wawe wanautaifa na watende haki, katika kuwaeleza watu fulani ama kukosoa jambo fulani, amekiri kuwa chama kina mapungufu na ndio maana jkuna mikakati mbalimbali ya kuuhisha chama ili kukipa sura na nguvu mpya ya kiutendaji na muonekano.

Amezoea kuongea bila kupata upinzani,wakati anapotosha jamaa aliekaa pembeni hakumvumilia na alitaka kumjibu palepale(akasema niache nimalizie).ccm wamezoea upotoshaji sana kuwa muwazi,na hizi takwimu anazozitaja ni enzi hizo vipi kwa sasa hivi unaelewa au unawajua watoto wa viongozi walio ktk uongozi?Usipinge hata vinavyoonekana.
 
I hate CCM lakini nina admire sana courage ya Nape,keep it up Nape,the strongest man is the one who stands alone.Kuitetea CCM hadharani inaitaji uwe na akili kama ya mwendawazimu.Nape ana courage sana na anatetea huku uso ukiwa umekauka,I beleive rohoni ukweli anaujua na najua fika anachukia mafisadi kwani hiyo ndiyo iliyokaribia kumfukuzisha kwenye chama,sidhani kama rohoni kabadilika,time will tell.
Pia nimegundua kuwa Le Mutuz baada ya kukosa vyeo ndani ya CCM sasa naye kapewa assignment ya kujibu hoja kwenye mitandao,bila shaka analipwa posho nzuri kwani anajitahidi kujibu hoja hata pale anapokuwa hana point kabisa,na mjadala wowote unaokuwepo hata kama hauusiki na CHADEMA lazima ajitahidi amzungumzie Dr Slaa.CHADEMA au Mbowe,na sometimes kujifanya anamsifia zITO,I am sure Zito hamfahamu huyu bwana na wala haitaji sifa toka kwake.Le Mutuz anajitahidi nafikiri analipwa kutegemeana na michango aliyotoa kwenye mitandao per day regardless kama ni ya kipuuzi au la.Nakumbuka aliwahi kuaga Jamii Forums kuwa amehama kabisa na hatarudi tena,sasa nini kimemrudisha ghafla na kwa kasi hiyo kama sio posho ya Mwigulu.Simlaumu kwani anaganga njaa kama wengineo
 
I hate CCM lakini nina admire sana courage ya Nape,keep it up Nape,the strongest man is the one who stands alone.Kuitetea CCM hadharani inaitaji uwe na akili kama ya mwendawazimu.Nape ana courage sana na anatetea huku uso ukiwa umekauka,I beleive rohoni ukweli anaujua na najua fika anachukia mafisadi kwani hiyo ndiyo iliyokaribia kumfukuzisha kwenye chama,sidhani kama rohoni kabadilika,time will tell.
Pia nimegundua kuwa Le Mutuz baada ya kukosa vyeo ndani ya CCM sasa naye kapewa assignment ya kujibu hoja kwenye mitandao,bila shaka analipwa posho nzuri kwani anajitahidi kujibu hoja hata pale anapokuwa hana point kabisa,na mjadala wowote unaokuwepo hata kama hauusiki na CHADEMA lazima ajitahidi amzungumzie Dr Slaa.CHADEMA au Mbowe,na sometimes kujifanya anamsifia zITO,I am sure Zito hamfahamu huyu bwana na wala haitaji sifa toka kwake.Le Mutuz anajitahidi nafikiri analipwa kutegemeana na michango aliyotoa kwenye mitandao per day regardless kama ni ya kipuuzi au la.Nakumbuka aliwahi kuaga Jamii Forums kuwa amehama kabisa na hatarudi tena,sasa nini kimemrudisha ghafla na kwa kasi hiyo kama sio posho ya Mwigulu.Simlaumu kwani anaganga njaa kama wengineo

Inasemekana kila post analipwa 500/= kwa hiyo ndiyo maana anakurupuka kwenye kila thread ili agange njaa ya siku.
 
Nape ni kama anatapatapa hauji ashike wapi na aache wapi. Maana jambo moja kubwa analotakiwa kutweleza ni kukiri kuwa dhana yao ya falsafa ya kujivua gamba aliyokuwa akiinadi ilifeli, atahaishaje CCM sasa
 
Kimsingi ni kuwa watu wenye mitazamo hasi juu ya chama cha mapinduzi wamekuwa wakihaha kutafuta namna ya kuifanya CCM isisikike katika yale inayoyatekeleza na kuyatimiza katika yale waliyoyaahidi kwenye ILANI ya Chama hicho, hivyo wamekuwa wakiacha kujadili kuchindwa ama kufanikiwa kwa CCM na badala yake wanajadili juu ya majina ya CCM, nguvu za CCM kwa serikali na wanajadili haya kwa kutaka kupunguza kazi na ari iliyopo sasa ya chama katika kuisimamia serikali.
Hivi karibuni alionekana LIssu akitamani kabisa KATIBA ibadilike na yeye apewe fursa ya kuchagua majaji na kuajiri mahakimu.,haya yanafanana na huyu anayetamani serikali isiitwe serikali ya CCM.
endelea kuhangaika labda una yai unataka kutaga....mara nyingi wanaohangaika kukipamba hiki chama ni watoto wa maskini wa chini ya mlo mmoja. Watoto wa wenye chama wao kimyaaaaaaaaaaaaa.
 
Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi Itikadi na Uenezi Ndugu Nape Nnauye amefafanua juu ya Mkakati uliopo sasa wa Chama Cha Mapinduzi wa
Kwa hiyo ulke mkakati wa kuvua gamba umeshashindikana na sasa wana mkakati mpya?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom