Ccm ni chama imala sana kina mtandao nchi nzima sasa nyinyi cdm mnapo sema kwamba nape analialia nawashangaa sana hiki chama hakuna kinacho weza kukinyima usingizi hata siku mmoja wanao piga kelele wote ni wanaoshinda vijiweni bila kazi ukiwauliza wanasema kazi hakuna je hata shamba hamna nyie mnataka kazi za ofisini na shule mlikimbia sasa mnamngojea slaa aingie madarakani awateue kuwa mabalozi wa vijiweni angalia misri walitumiwa kama mnavyo tumiwa ninyi lakini leo wanalia na kusaga meno cha msingi nyote mlio nje ya ccm rudini ccm ili tuzidi kukijenga chama imala chama dume chenye uhakika wa kuongoza na sio kulalamika kila siku,