Yahya Mohamed
JF-Expert Member
- Oct 28, 2010
- 270
- 317
JUMAPILI ya Leo 23.04.2012 Mjadala wetu tunauelekeza katika kutathimini Ukomavu wa Demokrasia na nafasi ya vyama vya Upinzani NCHINI katika kufanikisha hitajio la watanzania juu ya Utawala bora na uwajibikaji.
Wageni wallop Studio wataonyesha njia tu, tathimini na mawazo ya uchambuzi yanahitajika kutoka kwa washiriki kupitia forums, SMS na simu
Dar atakuwepo
Nd.Sam Ruhuza NCCR
Nd. Abdul Kambaya CUF
Mza
Jimmy Luhende TAASISI YA UTawala bora na Demokrasia
Shaman ITutu ADC
Grayson Nyakarungu CDM
Reflection point: matukio Bungeni wiki hii
Karibun kwa ma
Mjadala
Wageni wallop Studio wataonyesha njia tu, tathimini na mawazo ya uchambuzi yanahitajika kutoka kwa washiriki kupitia forums, SMS na simu
Dar atakuwepo
Nd.Sam Ruhuza NCCR
Nd. Abdul Kambaya CUF
Mza
Jimmy Luhende TAASISI YA UTawala bora na Demokrasia
Shaman ITutu ADC
Grayson Nyakarungu CDM
Reflection point: matukio Bungeni wiki hii
Karibun kwa ma
Mjadala