On Corona Virus: Magufuli is the Worlds luckiest leader

Sometimes this world needs crazy decisions and crazy decision-makers if that's all it takes to make it a better place for humankind... by Chige.
Very powerful statement
====
Nirudi kwenye hoja.

Mkuu, Chige , vipi hauamini kuwa Sweden nao wanaweza kuchezewa mchezo mchafu tulotaka kuchezewa wa kuonyesha janga ni kubwa kuliko uhalisia?

Umefafanua vizuri juu ya herd immunity. Mkuu unasahau kitu kimoja, mbali na maombi, na hiyo strategy ya herd immunity pia sisi Tanzania tulitumia plan B. Tumepiga 'nyungu' vya kutosha. Watu hawakufanya masihara na matumizi ya dawa za asili. Hiyo nayo si yakubeza. Sweden yawezekana hawakufaulu kwa sababu ya kukosa plan B na kupata madawa ya asili tuliyotumia. Pia sisi ni waafrika Sweden ni wazungu. Kuna uwezekano, hata uafrika wetu na mazingira tunamoishi vimetuwezesha kuitimua Covid19 ama yenyewe imeamua kubaki hapa kwa adabu !!

Pia sisi hatukuishia hapo, tumeenda na Madagascar kuchukua dawa ya asili na sisi tumeibuka na dawa yetu kuikabili corana! Vyote hivi vimetumika kukabili corona. Kikubwa kabisa baada ya kugundua Corona inacheza na immunes za mwili, Rais wetu Dr. Magufuli, alituhimiza watanzania wote tuepuke uwoga. Maana uoga ndiyo chanzo kikuu cha kushusha immunes ambazo ni muhimu kukabiliana na magojwa mbalimbali likiwemo Corona. Watanzania tulio wengi tumemsikia Rais wetu, tumemuelewa na tumetekeleza mikakati ya kuondoa uwoga. Nchi zetu jirani hawakutumia mbinu zetu.

Wenye macho makali kutoka ng'ambo wameliona tendo tulilolifanya ila wanaona aibu ama wivu kutusifia ndiyo maana mwandishi huyu wa makala kupitia RT.com, Ndugu Neil Clark, amewaumbua. Jisomee hapa chini.

>>>If black lives matter, then why are African leaders with a different take on Covid-19 being taunted?


Mkuu, sasa kwa maelezo hayo hapo juu, unashindwaje kuamini kuwa, mbinu yetu kama nchi imezaa matunda ya kuidhibiti Corona kwa kiasi kikubwa ? Siamini kuwa ulitaka mbinu zetu hizi zidhibitishwe na WHO ama EU kuwa ni bora kwa ajili yetu ndio uziamini!! Mimi nasema siamini kama ulitaka hivyo! Hata hivyo, utalazimika kutumia jicho la tatu kuelewa washadadia matumizi ya 'vaccine' kwa nguvu zote, ambao wanataka herd immunity ya vaccine. Jisomee hapa chini mwenyewe. Kwa ufupi, sisi kama nchi tumewatibulia..na kwa vyovyote vile watatumia kila hila kutuudhi!

>>>Bill Gates says ‘final hurdle’ to distributing a Covid-19 vaccine will be convincing people to TAKE IT

Karibu kwa mrejesho.
 
After the outbreak of this pandemic, every country tried to strategise on how to save lives of its people as well as stopping the ecomony from a free fall. This was not easy and has not been an easy tast for some countries as i write.

Tanzania on the other hand, under the leadership of Dr Magufuli had had a uncelebrated approach which seems to have worked perfectly for Tanzania but not well for other countries

The approach was HERD IMMUNITY, which allows a majority of the population to gain resistance to the virus by becoming infected and then recovering

Today while i was at a Aghakan Hospital in DSM i asked the Dr who was attending me.... why are u not wearing face mask and i dont see a sanitizer in your desk. She replied, the Virus is gone! She said further that unlike one month ago where they could test positive 7 to 8 people out of 10. It was worse. But now despite the tests, no infections at all she added

Then i asked her, what is the scientific explaination for this, and she said HERD IMMUNITY.

As my title suggests, while countries like Sweden, Hait and other European countries have been badly hit after practicing herd immunity, Tanzanians we are lucky and all praises go to Dr Magufuli for his steady leadershid that strongly led us through this difficult moment and by helping its citizens to overcome fear. JPM saw what others could not see that Tanzania could not afford a prolonged lockdown without messing up it all

Additionally, JPM is lucky because through prayers also, it suggests that God was with Tanzania when the decision by JPM to practice HERD IMMUNITY was taken.

God Bless Tanzania, God Bless Magufuli.
Not lucky, God intervened... we thank our President who led us onto God. We surrendered to God and he heard our prayers ... PraiseJesus Christ , Praise God.
 
India wana joto kali lakini Corona bado inawapiga tu. Nafikiri mazingira yetu ni ya kipekee pia. Njombe na Mbeya kuna baridi kuliko Wuhan lkn wanadunda tu.
Nchi za Mali na Niger zina joto kali lakini covid-19 inaendelea kuwatafuna vibaya,Magufuli ni kiongozi inayemtegemea sana Mungu na kwa yale maombi ya siku 3 corona iliishia hapo.Majirani zetu Uganda,Kenya,Rwanda nk bado wanaendelea kuteseka.Hata wale makanjanja wa siasa akina zitto,mbowe nk
 
[QUOTE="Zero Hours, post: 35839396, Hii inaleta conclusion kuwa africa tumesaidiwa sana na joto ndyo maana cases za dar hazikuwa nyingi kulinganisha na moshi au arusha ukikonsider na population pia.[/QUOTE]

Tumesaidiwa na hali ya joto? Iran na India hakuna joto? Visa na vifo uloviona kwenye hizo nchi
 
Fake. Hospitali kubwa hapa nchini madaktari na manes full kuvaa barakoa. Unakuja kudanganya toto humu.

Trend ya maambukizi hata ulaya zimepungua sio Tz tu na hii ni kutokana na average nyuzi joto ya maeneo mengi kuongezeka. Hii inaleta conclusion kuwa africa tumesaidiwa sana na joto ndyo maana cases za dar hazikuwa nyingi kulinganisha na moshi au arusha ukikonsider na population pia.
Tumesaidiwa na hali ya joto? Iran na India hakuna joto?

Visa na vifo uloviona kwenye hizo nchi?
 
Ni kweli. Vifo vya jumla vya corona vimepungua sana mitaani. Ila ndio hivyo, Watanzania itatuchukua muda sana kwenda Ulaya (EU) kwa sababu ya hio herd immunity. Hawajui status yetu kiafya ikoje mpaka sasa, hawawezi kuturuhusu kuingia kwao!
Kwa uchache hizo cases hazitakosekana, lakini kwa ujumla wake Tumshukuru sana Mungu. Misiba haina siri aisee. Hatuoni misiba wala maiti kama ilivyotabiriwa.
 
Unaelewa trend ya Corona ilivyo kwa sasa nchini au unajielezea tu? Hiyo Aghakan unayoielezea ambayo mimi siifahamu ni ya nchi gani? Maana ya hapa nchini ninazo taarifa zake zote!
Tunajua unazo za Ufipa stree lakini siyo za Corona
 
Corona ipo jamani, siku hizi hata tukituma sample majibu hayarudi! Kuna mtu tulimweka isolation na sample tukatuma, alikuwa hoi ila baada ya wiki 3 Akapona! Xray zilionesha maji kujaa kwenye mapafu na Alikuwa anapumua Kwa shida, mpaka anapona hatujapata feedback ya vipimo tulivyotuma!

Chukua tahadhari
Mapafu kujaa maji ni corona?
 
After the outbreak of this pandemic, every country tried to strategise on how to save lives of its people as well as stopping the ecomony from a free fall. This was not easy and has not been an easy tast for some countries as i write.

Tanzania on the other hand, under the leadership of Dr Magufuli had had a uncelebrated approach which seems to have worked perfectly for Tanzania but not well for other countries

The approach was HERD IMMUNITY, which allows a majority of the population to gain resistance to the virus by becoming infected and then recovering

Today while i was at a Aghakan Hospital in DSM i asked the Dr who was attending me.... why are u not wearing face mask and i dont see a sanitizer in your desk. She replied, the Virus is gone! She said further that unlike one month ago where they could test positive 7 to 8 people out of 10. It was worse. But now despite the tests, no infections at all she added

Then i asked her, what is the scientific explaination for this, and she said HERD IMMUNITY.

As my title suggests, while countries like Sweden, Hait and other European countries have been badly hit after practicing herd immunity, Tanzanians we are lucky and all praises go to Dr Magufuli for his steady leadershid that strongly led us through this difficult moment and by helping its citizens to overcome fear. JPM saw what others could not see that Tanzania could not afford a prolonged lockdown without messing up it all

Additionally, JPM is lucky because through prayers also, it suggests that God was with Tanzania when the decision by JPM to practice HERD IMMUNITY was taken.

God Bless Tanzania, God Bless Magufuli.
JPM just put everyone’s life at stake while he tyrannically experimented on millions of his subjects through blatant trust on good luck. No medical advice was followed. A deputy minister of health happened to be a medical doctor and was fired only for acting professionally. It’s only by the same luck that millions are not dead today. Should JPM be praised for being lucky or blamed for acting stupid?
 
Fake. Hospitali kubwa hapa nchini madaktari na manes full kuvaa barakoa. Unakuja kudanganya toto humu.

Trend ya maambukizi hata ulaya zimepungua sio Tz tu na hii ni kutokana na average nyuzi joto ya maeneo mengi kuongezeka. Hii inaleta conclusion kuwa africa tumesaidiwa sana na joto ndyo maana cases za dar hazikuwa nyingi kulinganisha na moshi au arusha ukikonsider na population pia.
Hii sababu yako wanazuoni walishaikataa kabisa. Haina mantiki na wala haina ukweli
 
JPM just put everyone’s life at stake while he tyrannically experimented on millions of his subjects through blatant trust on good luck. No medical advice was followed. A deputy minister of health happened to be a medical doctor and was fired only for acting professionally. It’s only by the same luck that millions are not dead today. Should JPM be praised for being lucky or blamed for acting stupid?
I don't understand where is your stand..tell us, don't be like an opportunist Jomba. .by the way, where is lucky coming from? Is it from the air or what..
 
Who told you that most of us who are on this Platform are English Speakers and Wordsmiths probably as you're? Next time use our Swahili okay?
Why did you reply him in English instead of swahili if you want this post being in swahili
 
For sure, kuna jamaa yangu wa karibu naye anasumbuliwa na shida ya kupumua , amekewa oxygen , Leo siku ya tatu
Kibaya zaidi week before nili interact naye kwa Sana maana shughuli zetu zinafanana , ndo nasubiri kwangu kinuke maana sioni Kama hatukuambukizana.hii kitu isikie tu Ni hatari

Sent
Nadhani hayo maventilatora ndo yanawamaliza wazungu. Nyungu na tangawizi/limau vimesaidia sana. Si kwamba ugonjwa haukuwepo au haupo bali watu wanaugua na wanapona. Muitikio wa nyungu na hizo chai ulikuwa mkubwa mno ngazi ya familia. Na Mungu akatuponya. Hivi hayo masuti ya kujikinga na ventilators za kujaza mahospital huku tumejilock down tungeweza? Tulipofikia hadi sasa hakuna mwanasayansi anaweza toa majibu. Mungu ametupenda upeo.
 
Back
Top Bottom