herman joshua
JF-Expert Member
- Dec 30, 2018
- 1,962
- 3,189
mmmmh jamaangu kiukweli Ommy hana maajabu yoyote kwenye huu mziki kwa sasa anabahatulishabahatisha tu tukiachana na uzhabikijukwaani humu watu (99%) hawataki kuusikia ukweli mwingine nje ya diamond na labda na kundi lake tu basi, lakini mi ommy dimpoz namchukulia tofauti sana.......kajamaa kana mziki flani hv very amazing if not classic. kwa mihemko, udiehard fans na chuki huwezi kuliona hili, lakini watu makini wanaliona. sishangai na kuitwa kwake kwani pia anajua kujiweka kijuujuu. p.diddy/pharell wa marekani si waimbaji kihiivyo lakini wanatoa vitu makini sana na ana mafanikio kibao ya kimuziki!