Ommy Dimpoz kapewa mualiko na NBA je anaushawishi kuliko wasanii wengine tunaowajua?

jukwaani humu watu (99%) hawataki kuusikia ukweli mwingine nje ya diamond na labda na kundi lake tu basi, lakini mi ommy dimpoz namchukulia tofauti sana.......kajamaa kana mziki flani hv very amazing if not classic. kwa mihemko, udiehard fans na chuki huwezi kuliona hili, lakini watu makini wanaliona. sishangai na kuitwa kwake kwani pia anajua kujiweka kijuujuu. p.diddy/pharell wa marekani si waimbaji kihiivyo lakini wanatoa vitu makini sana na ana mafanikio kibao ya kimuziki!
mmmmh jamaangu kiukweli Ommy hana maajabu yoyote kwenye huu mziki kwa sasa anabahatulishabahatisha tu tukiachana na uzhabiki
 
jukwaani humu watu (99%) hawataki kuusikia ukweli mwingine nje ya diamond na labda na kundi lake tu basi, lakini mi ommy dimpoz namchukulia tofauti sana.......kajamaa kana mziki flani hv very amazing if not classic. kwa mihemko, udiehard fans na chuki huwezi kuliona hili, lakini watu makini wanaliona. sishangai na kuitwa kwake kwani pia anajua kujiweka kijuujuu. p.diddy/pharell wa marekani si waimbaji kihiivyo lakini wanatoa vitu makini sana na ana mafanikio kibao ya kimuziki!

NBA wana vitu ambavyo wao wanaviona kwa mtu wanayemwalika.

Talking about being classy, Ommy is classy. Na probably ni follower wa game (sina uhakika) pia.

Ukiangalia hata SA wasanii ambao huwa wanapewa mwaliko, huwa siyo wale ambao wako hit at the particular time.

So people should just chill. It is not for everyone, it is for chosen ones.
 
Timu domo wanasifa sana...wasisikie kitu ...hata akijinyea watampongeza kwa kuchafua nguo.... ☹ ☹ ☹ ☹ ☹
 
Masanii wa muziki wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz amepata maualiko rasmi wa kuhudhuria michezo ya NBA All-Star ambayo itafanyika mjini Chicago Marekani kuanzia Februari 14 hadi 16 mwaka huu.

Ommy Dimpoz anakuja ni miongoni mwa Mastaa watatu kutokea Afrika waliopewa mwaliko huo, hao wengine ni Sho Madjozi wa Afrika Kusini na Jidenna mwenye asili ya Nigeria na Marekani.

Mualiko huo umetolewa na Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani (NBA), kupitia NBA Africa ambao wamemgharamia kila kitu ikiwemo Usafiri wa ndege kwenda Marekani, usafiri wa ndani na gharama za kuishi.

Hata hivyo Ommy Dimpoz ameshare picha Kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa kwenye Ndege na Seven Mosha ambaye amekuwa naye karibu Kwenye usimamizi wa baadhi ya kazi zake.

3202EBB1-A74D-4F71-9E17-B98831A4E303.jpeg
BF3691EA-EAB0-47D8-9261-6E79DA174EE4.jpeg


JE OMMY D ni bora kuliko wengine ambao wanaushawishi na kufahamika zaidi???
001 .
 
Maajabu gani unayo yazungumzia?

Au mtu mwenye maajabu anakuwaje?

Au maajabu mpaka afanye kitu gani?

Sent using Jamii Forums mobile app
for myself naona mziki wake wa kawaida now days anatoa nyimbo za kawaida sana na ndo maajabu nnayoongelea

Mziki wa ommy siku hizi ni wakawaida sana
Inatakiwa abadilike asifanye mziki kwa kubahatisha atoe heat song
 
Masanii wa muziki wa Bongo Fleva Ommy Dimpoz amepata maualiko rasmi wa kuhudhuria michezo ya NBA All-Star ambayo itafanyika mjini Chicago Marekani kuanzia Februari 14 hadi 16 mwaka huu.

Ommy Dimpoz anakuja ni miongoni mwa Mastaa watatu kutokea Afrika waliopewa mwaliko huo, hao wengine ni Sho Madjozi wa Afrika Kusini na Jidenna mwenye asili ya Nigeria na Marekani.

Mualiko huo umetolewa na Chama cha Mpira wa Kikapu nchini Marekani (NBA), kupitia NBA Africa ambao wamemgharamia kila kitu ikiwemo Usafiri wa ndege kwenda Marekani, usafiri wa ndani na gharama za kuishi.

Hata hivyo Ommy Dimpoz ameshare picha Kwenye ukurasa wake wa Instagram akiwa kwenye Ndege na Seven Mosha ambaye amekuwa naye karibu Kwenye usimamizi wa baadhi ya kazi zake.

3202EBB1-A74D-4F71-9E17-B98831A4E303.jpeg
BF3691EA-EAB0-47D8-9261-6E79DA174EE4.jpeg


JE OMMY D ni bora kuliko wengine ambao wanaushawishi na kufahamika zaidi???

Kule hawaangalii kiki wanaangalia KAZI.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnaomtaja Mond kuwa sijui nini? Hv hamjui kuwa huo mwezi atakuwa europe kwenye tour ya "live performance" na bendi yake?

Afu Ommy hilo ni deal la Rockstar, na ilibidi aende kiba lakini naye atakuwa na shows mwezi huo ndo maana anaenda Dimpoz na Seven Mosha km meneja wake na mwakilishi kiongozi wa Rockstar

NB;-
Blood Fan wa wasafi, lazima nitetee afu ndo nichangie mada
Kwa diamond, kiwango chake kwenye live band ni kidogo sana. Anaimba off key na blanda kibao, pumzi hakuna anaishia kusema mikono juu na yeah!! Labda kama atampitia Ne-Yo akampe darasa.
 
Kwa diamond, kiwango chake kwenye live band ni kidogo sana. Anaimba off key na blanda kibao, pumzi hakuna anaishia kusema mikono juu na yeah!! Labda kama atampitia Ne-Yo akampe darasa.
Show ipi umemuona diamond anafanya live band?
 
Kuna yule Bwana/Mtangazaji wa Clouds anahusika husika na mambo ya NBA Africa, hivyo possibly ni mambo ya connection...hivyo timu Wasafi hawatakuwa na bahati kwenye hili.
 
Kuna yule Bwana/Mtangazaji wa Clouds anahusika husika na mambo ya NBA Africa, hivyo possibly ni mambo ya connection...hivyo timu Wasafi hawatakuwa na bahati kwenye hili.
Mbona hata wasafi yupo anaitwa mbaba sema wasafi hawapo interested na baseball.Ommy dimpoz amekuwa akiupenda Sana mchezo huo na hata kupost Sana kwenye insta niambie lini umeona diamond kapost masuala ya baseball kwenye mitandao yake ya jamii?
 
Back
Top Bottom