hahahahahahaKuna kitu unatulazimisha tujibu lakni ng'ooooo hatujibu kama unavotaka wewe..... HUMAN RIGHTS
Sent using Jamii Forums mobile app
hahahahahahaKuna kitu unatulazimisha tujibu lakni ng'ooooo hatujibu kama unavotaka wewe..... HUMAN RIGHTS
Ney wa mitego alishasema masela wa ommy dimpoz wanalalamika hawamjui shemeji yao.HABARI ZENU WAKUU
Kama heading inavyosomeka hapo juu, kiukweli me nimekuwa najiuliza huyu braza Ommy Dimpozi huwa anaendaga Mombasa kupiga show au kufanya nini? Na yule Gavana (Joho) ndo anayemtafutia show huko Kenya au vipi? Maana kila akienda Kenya lazma yuko naye.
Hebu naomba nielewesheni mdogo wenu nielewe.
KAZANA BABA UENDE NA WEWE, MENGINE WAACHIE WATU WAISHI MAISHA YAO, HATA AKIENDA MARA 100, UKIONA INAKUUMA JUA UNA WIVU MMBAYAAAAA.HABARI ZENU WAKUU
Kama heading inavyosomeka hapo juu, kiukweli me nimekuwa najiuliza huyu braza Ommy Dimpozi huwa anaendaga Mombasa kupiga show au kufanya nini? Na yule Gavana (Joho) ndo anayemtafutia show huko Kenya au vipi? Maana kila akienda Kenya lazma yuko naye.
Hebu naomba nielewesheni mdogo wenu nielewe.