Bishweko
JF-Expert Member
- Sep 29, 2011
- 3,281
- 2,423
Wanajamvi, kilio changu kwa muda mrefu ni kuona nchi ikiongozwa na watu ambao wamepata weledi na taaluma mbali mbali.
Kwangu naona kuwa ni jambo la aibu sana na fedheha tena kwenye karne hii nchi yetu kuongozwa na watu ambao aslimia kubwa hawana taaluma au weledi.
Wapo wanaodhani na kuamini kua kuongoza na kutenda ni vitu tofauti mpaka kufikia kusema kuongoza hakuitaji elimu au taaluma.
Tuzingatie ila kwamba wana siasa ndio viongozi wetu kwa kiasi kikubwa lakini hao hao taaluma zao zipo chini na wengine wanakua kusoma na kuandika tu.
Katika karne hii jamii yoyote aiwezi kupiga hatua kwakua viongozi na wawakilishi wenye kujua kusoma na kuandika tu.
Mfano kwa wabunge, madiwani,wenyeviti wa vijiji,vitongoji na mitaa. Watu awa ndiyo viongozi wa Taifa ila lakini sasa wengi wao hawana taaluma yoyote.
Ni muda muafaka Taifa ili tuwe na viongozi wenye taaluma na utaalamu wote kuanzia ngazi ya Rais,Mbunge, Diwani,Mwenyekiti wa Kijiji,Mtaa na kitongoji.
Falsafa ya kusema kua moja ya maadui wetu ni Ujinga basi iendane na kua na viongozi wenye taaluma.
Kwangu naona kuwa ni jambo la aibu sana na fedheha tena kwenye karne hii nchi yetu kuongozwa na watu ambao aslimia kubwa hawana taaluma au weledi.
Wapo wanaodhani na kuamini kua kuongoza na kutenda ni vitu tofauti mpaka kufikia kusema kuongoza hakuitaji elimu au taaluma.
Tuzingatie ila kwamba wana siasa ndio viongozi wetu kwa kiasi kikubwa lakini hao hao taaluma zao zipo chini na wengine wanakua kusoma na kuandika tu.
Katika karne hii jamii yoyote aiwezi kupiga hatua kwakua viongozi na wawakilishi wenye kujua kusoma na kuandika tu.
Mfano kwa wabunge, madiwani,wenyeviti wa vijiji,vitongoji na mitaa. Watu awa ndiyo viongozi wa Taifa ila lakini sasa wengi wao hawana taaluma yoyote.
Ni muda muafaka Taifa ili tuwe na viongozi wenye taaluma na utaalamu wote kuanzia ngazi ya Rais,Mbunge, Diwani,Mwenyekiti wa Kijiji,Mtaa na kitongoji.
Falsafa ya kusema kua moja ya maadui wetu ni Ujinga basi iendane na kua na viongozi wenye taaluma.