Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,600
- 218,005
Bila kumung'unya maneno ccm iliwapitisha wasaliti Mollel na Mtulia kugombea Siha na Kinondoni kwa vile tu waliamini kwamba UKAWA haitashiriki kwenye uchaguzi huu.
Kwa mfano , kumpambanisha MTU MASHUHURI AMBAYE PIA NI KIONGOZI WA JUU WA CHADEMA , MSOMI NA GWIJI LA HABARI , SALUM MWALIMU na mtu dhaifu , msaliti anayejua kusoma na kuandika pekee , ambaye hata ushindi wake wa 2015 ulitokana na mafuriko ya UKAWA ni sawa na uonevu mkubwa sana ! Mtulia hana uwezo wa kupambana na Mwalimu ndani au nje ya jukwaa la siasa .
Dr Godwin huyu laana ya usaliti haitamuacha salama , wema aliofanyiwa na Chadema hatousahau milele , alibebwa kwa mbeleko ya chuma , ukiacha tu kwamba hakuwa na uwezo wa kuwa mbunge lakini zaidi ni kwamba hana uwezo hata wa kuwa kiongozi wa Kwaya katika kanisa analosali , tukubali au tukatae lakini yale mafuriko ya chadema ya 2015 yalifikia hata kusomba matakataka , huyu baada ya Chadema kuweka mgombea mwenye uwezo , kamanda Mosi ni sawa na kumuondoa kwenye kinyang'anyiro.
Ndio maana naiomba Tume ya uchaguzi iruhusu ccm iweke wagombea wenye uwezo ili kunogesha kampeni , Chadema msirudie tena kuwasubiri ccm waweke mizigo ndio muonyeshe nia ya kushiriki , hilo jambo halikubaliki.
Kwa mfano , kumpambanisha MTU MASHUHURI AMBAYE PIA NI KIONGOZI WA JUU WA CHADEMA , MSOMI NA GWIJI LA HABARI , SALUM MWALIMU na mtu dhaifu , msaliti anayejua kusoma na kuandika pekee , ambaye hata ushindi wake wa 2015 ulitokana na mafuriko ya UKAWA ni sawa na uonevu mkubwa sana ! Mtulia hana uwezo wa kupambana na Mwalimu ndani au nje ya jukwaa la siasa .
Dr Godwin huyu laana ya usaliti haitamuacha salama , wema aliofanyiwa na Chadema hatousahau milele , alibebwa kwa mbeleko ya chuma , ukiacha tu kwamba hakuwa na uwezo wa kuwa mbunge lakini zaidi ni kwamba hana uwezo hata wa kuwa kiongozi wa Kwaya katika kanisa analosali , tukubali au tukatae lakini yale mafuriko ya chadema ya 2015 yalifikia hata kusomba matakataka , huyu baada ya Chadema kuweka mgombea mwenye uwezo , kamanda Mosi ni sawa na kumuondoa kwenye kinyang'anyiro.
Ndio maana naiomba Tume ya uchaguzi iruhusu ccm iweke wagombea wenye uwezo ili kunogesha kampeni , Chadema msirudie tena kuwasubiri ccm waweke mizigo ndio muonyeshe nia ya kushiriki , hilo jambo halikubaliki.