Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,720
- 19,860
Kwa nini?Hapana wasipandishwe wabaki hapo hapo
Kwa nini?Hapana wasipandishwe wabaki hapo hapo
Ni anasa tupo busy kununua ndegeKwa nini?
Ni anasa tupo busy kununua ndege
Cccm oyeeee
Ndege na madaraja oyeeeeeeeeeee
Kuwepo na mfumo ambao utarekebisha daraja la mtu automatically muda wa kupanda daraja unapofika .hii ya kungojea vikao vya TSC ndipo watu wapandishwe madaraja haina tija.kwa kutumia mfumo madhubuti serikali itajua ni wangapi wanIstahili kupandishwa na hivyo kutenga bajeti mapema.Hii itaondoa usumbufu na manung'uniko ya watumishi.Tayari kuna ajira kadhaa zimetolewa kwa wafanyakazi wapya mwaka 2020
Hawa wataenda kuwa na mishahara sawa na Wale walioajiriwa mwaka 2014, Yaani miaka 6 iliyopita.
Wafanyakazi hawa wamevumilia mengi. Uhakiki n.k, Mpaka leo bado wamebakia na mishahara Ile Ile ya mwaka 2015,
Wakati mwingine tunajitafutia laana bila sababu za msingi.
Hebu tuwakumbuke hawa wafanyakazi jamani!
Miaka sita mshahara ule ule?
Tayari kuna ajira kadhaa zimetolewa kwa wafanyakazi wapya mwaka 2020
Hawa wataenda kuwa na mishahara sawa na Wale walioajiriwa mwaka 2014, Yaani miaka 6 iliyopita.
Wafanyakazi hawa wamevumilia mengi. Uhakiki n.k, Mpaka leo bado wamebakia na mishahara Ile Ile ya mwaka 2015,
Wakati mwingine tunajitafutia laana bila sababu za msingi.
Hebu tuwakumbuke hawa wafanyakazi jamani!
Miaka sita mshahara ule ule?
Mimi niliamua kuwapiga 24 hours, washenzi wakubwa hawa! Utamwekaje mtu miaka 10 bila kumpandishia daraja, si uonevu huo?Achana na hao walioajiriwa 2014, kuna watu waliajiriwa 2011,kutokana na figisu za maafisa utumishi,hawakupandishwa madaraja hadi kufikia 2015.Sasa ongeza na miaka mitano baadae. Mungu ndiye ajuaye
mfumo umebadilika, kila uongoz na mfumo wake, mfumo huu sio wa jakaya.Tayari kuna ajira kadhaa zimetolewa kwa wafanyakazi wapya mwaka 2020
Hawa wataenda kuwa na mishahara sawa na Wale walioajiriwa mwaka 2014, Yaani miaka 6 iliyopita.
Wafanyakazi hawa wamevumilia mengi. Uhakiki n.k, Mpaka leo bado wamebakia na mishahara Ile Ile ya mwaka 2015,
Wakati mwingine tunajitafutia laana bila sababu za msingi.
Hebu tuwakumbuke hawa wafanyakazi jamani!
Miaka sita mshahara ule ule?
Hongera mkuu.Wewe upo idara gani?.Uko idara gani wewe? Idara yetu watu wanapanda vyeo kila mwaka
Kwaiyo waliomuweka mahabusu siku 133 kwa makosa yanayodhaminika wewe ni sawa tu unapeleka lawama kwa wengine kwa hoja ya kipumbavu siasa ni mbaya sana kama hureasonKama waliomfukuza Nusrat Hanje kwa kosa la kutolewa Mahabusu usiku na kufutiwa mashtaka
Walitaka abaki gerezani ili waendelee ku post hashtag za 'Release Nusrat Hanje' huko tweeter wakati wakipanga orodha ya pisi za kuwa viti maalum
Mitano tena.Tayari kuna ajira kadhaa zimetolewa kwa wafanyakazi wapya mwaka 2020
Hawa wataenda kuwa na mishahara sawa na Wale walioajiriwa mwaka 2014, Yaani miaka 6 iliyopita.
Wafanyakazi hawa wamevumilia mengi. Uhakiki n.k, Mpaka leo bado wamebakia na mishahara Ile Ile ya mwaka 2015,
Wakati mwingine tunajitafutia laana bila sababu za msingi.
Hebu tuwakumbuke hawa wafanyakazi jamani!
Miaka sita mshahara ule ule?
Kwaiyo waliomuweka mahabusu siku 133 kwa makosa yanayodhaminika wewe ni sawa tu unapeleka lawama kwa wengine kwa hoja ya kipumbavu siasa ni mbaya sana kama hureason
Idara gani hiyo inapanda kila mwaka?Uko idara gani wewe? Idara yetu watu wanapanda vyeo kila mwaka
Inawezekana ni Idara ya mapolisi, majeshi na makomandoo, maana nasikia wao hawana uvumilivu na kulialia kama wengine! Lakini Mkuu alisema ataongeza kabla hajaondoka madarakani, swala ni kujenga moyo wa UZALENDO Baba hawezi sahau wanae.Idara gani hiyo inapanda kila mwaka?
Zote za wizara ya mambo ya ndani, una swali lingine?Idara gani hiyo inapanda kila mwaka?
Itoshe tu kusema kuna idara zinapandisha madaraja kila mwaka!Hongera mkuu.Wewe upo idara gani?.
Kati ya vitu ambavyo rais Magufuli amefeli moja wapo ni maslahi ya watumishi wa nje ya vyombo vya ulinzi na usalamaTayari kuna ajira kadhaa zimetolewa kwa wafanyakazi wapya mwaka 2020
Hawa wataenda kuwa na mishahara sawa na Wale walioajiriwa mwaka 2014, Yaani miaka 6 iliyopita.
Wafanyakazi hawa wamevumilia mengi. Uhakiki n.k, Mpaka leo bado wamebakia na mishahara Ile Ile ya mwaka 2015,
Wakati mwingine tunajitafutia laana bila sababu za msingi.
Hebu tuwakumbuke hawa wafanyakazi jamani!
Miaka sita mshahara ule ule?