7 ELEVEN
Member
- May 29, 2017
- 74
- 138
- Thread starter
- #41
Mheshimiwa M/KITI WA CCM NA RAIS WA JMT,
Narudia kukukumbusha kuwa 'KIBURI SI MAUNGWANA'
Huo ni msemo wa kiswahili lakini una maana kubwa sana. Endapo mwezi huu wa nane makada wa CCM ambao ni watumishi wa Umma wapatao elfu 7 na zaidi hawatalipwa mishahara yao ya mwezi wa nane...basi tegemea kuanguka kwa chama katika taasisi nyingi za Umma na chama hakitaungwa mkono na hilo jeshi.
Lakini kwa kuwa unaamini kuwa CCM itashinda kwa kishindo basi subiria wahanga/ wajuba wauze ramani .
Narudia tena : walipe mshahara was wa mwezi wa nane.....FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE!
HUO NI USHAURI AS BURE TU !
Narudia kukukumbusha kuwa 'KIBURI SI MAUNGWANA'
Huo ni msemo wa kiswahili lakini una maana kubwa sana. Endapo mwezi huu wa nane makada wa CCM ambao ni watumishi wa Umma wapatao elfu 7 na zaidi hawatalipwa mishahara yao ya mwezi wa nane...basi tegemea kuanguka kwa chama katika taasisi nyingi za Umma na chama hakitaungwa mkono na hilo jeshi.
Lakini kwa kuwa unaamini kuwa CCM itashinda kwa kishindo basi subiria wahanga/ wajuba wauze ramani .
Narudia tena : walipe mshahara was wa mwezi wa nane.....FUNIKA KOMBE MWANAHARAMU APITE!
HUO NI USHAURI AS BURE TU !