Ombi: Serikali ituruhusu wananchi kutumia uwanja wa ndege Chato kuanikia mpunga, mihogo na mahindi wakati huu hakuna ndege

chiembe

JF-Expert Member
May 16, 2015
11,943
20,496
Sasa ni msimu wa mavuno kwetu wakazi wa Chato, mahindi, mpunga na mihogo iko kwa wingi, naomba Serikali ituruhusu kutumia uwanja wa ndege kuanikia mpunga, mahindi na mihogo, inatoka vizuri bila mchanga.

Ni ombi letu sisi wanyonge na masikini.

Uwanja chato.jpg

Hayati Magufuli enzi za uhai wake akiwa kwenye uwanja wa Ndege Chato​

Kidumu CCM
#matege
 
Back
Top Bottom