Nasema hivo kwa sababu barabara ya kuanzia Nyakanzi, Kakonko, Kibondo, Kasulu inajengwa na imeikamilika baadhi ya maeneo ila eneo la Kibondo mpaka Kasulu bado mkandarasi naona uwezo wake mdogo.
Kwa upande wa umeme tunashukuru Makamu wa Rais kumsisitiza sana Waziri Makamba kulivalia njuga suala la mkoa wa Kigoma kuunganishwa kwenye grid ya taifa.
Maombi yangu Wanakigoma na wanasiasa wote wa Kigoma tushirikiane sana na Serikali pamoja na Makamu wetu wa Rais kuihamasisha Serikali kuwekeza haraka na kumaliza miundombinu hiyo.
Serikali pia ijitahidi sana kuongeza usimamizi wa mipaka ili kupunguza usumbufu kwa wananchi kuulizwa uhalali wa uraia wao, Serikali ikiweka wafanyakazi wa uhamiaji wengi na ikishirikiana na wanachi tatizo hilo litapungu.
Mkoa wa Kigoma sasa ni muda wake wa kufunguka kwa kuwa miaka ya nyuma tumekuwa na wanasiasa wazuri lakini hawakuweza kuishawishi Serikali lakini sasa tunaye Makamu wa Rais Dkt. Mpango. Tusaidie sana kwenye hili si kwa upendeleo ila pia kwa kutambua kuwa limekuwa tatizo kwa wenzetu kwa miaka mingi hali iliyopelekea hata uwekezaji kwenye mikoa hii kuwa nyuma.
Asanteh!
Kwa upande wa umeme tunashukuru Makamu wa Rais kumsisitiza sana Waziri Makamba kulivalia njuga suala la mkoa wa Kigoma kuunganishwa kwenye grid ya taifa.
Maombi yangu Wanakigoma na wanasiasa wote wa Kigoma tushirikiane sana na Serikali pamoja na Makamu wetu wa Rais kuihamasisha Serikali kuwekeza haraka na kumaliza miundombinu hiyo.
Serikali pia ijitahidi sana kuongeza usimamizi wa mipaka ili kupunguza usumbufu kwa wananchi kuulizwa uhalali wa uraia wao, Serikali ikiweka wafanyakazi wa uhamiaji wengi na ikishirikiana na wanachi tatizo hilo litapungu.
Mkoa wa Kigoma sasa ni muda wake wa kufunguka kwa kuwa miaka ya nyuma tumekuwa na wanasiasa wazuri lakini hawakuweza kuishawishi Serikali lakini sasa tunaye Makamu wa Rais Dkt. Mpango. Tusaidie sana kwenye hili si kwa upendeleo ila pia kwa kutambua kuwa limekuwa tatizo kwa wenzetu kwa miaka mingi hali iliyopelekea hata uwekezaji kwenye mikoa hii kuwa nyuma.
Asanteh!