chizcom
JF-Expert Member
- Jul 31, 2016
- 7,581
- 15,712
Tunaomba serikali kusaidia kudhibiti hili tatizo la hizi sehemu mbili.
Wa kwanza sehemu za mabaa:
Hizi sehemu tena kama zina mziki na zina kesha ni kero, yaani huwezi lala kwa kelele zilizo wazi.
Wa pili ni hawa walokole
Hata kama hakuna ibada ni mwendo wa masupika makubwa kulazima watu tusikie neno na nyimbo za dini mpaka na mikesha.
Wa kwanza sehemu za mabaa:
Hizi sehemu tena kama zina mziki na zina kesha ni kero, yaani huwezi lala kwa kelele zilizo wazi.
Wa pili ni hawa walokole
Hata kama hakuna ibada ni mwendo wa masupika makubwa kulazima watu tusikie neno na nyimbo za dini mpaka na mikesha.