ndenjii handsome
JF-Expert Member
- Apr 27, 2021
- 647
- 704
Husika na kichwa cha mada hapo juu
Serikali yangu pendwa ya Tanzania na wahusika wa hili mimi kama mwananchi na mkulima wa nchi hii
Tunaomba muangalie vizuri kwenye suala hili la mbolea kiukweli mbolea ipo juu sana na sio rafiki kwa mkulima huyu wa chini
Na ukizingatia mazao yenyewe soko lake ni dogo na sehemu nyingine hakuna ksbisa soko mfano Ruvuma
Kilo ya maind ni kg1=240
Na wanunuzi wenyewe wakusopoka sasa kwa hali hiyi sizani kama kuna mkulima atarudi shamban msimu unaokuja
Hebu tuweke siasa kwanza pemben mtusaidie kwanza wananchi kwa hili maana tusipoingia tena shamba kwa kukosa hizo mbolea madhara yake.
Taifa litaingia kwenye upungufu wa chakula na hamtoweza kulisha taifa lote hili kwa hizo akiba mlizojiwekea
Waziri husika angalia hili siasa weka pemben tupambambanie wananchi wako ili tuendelee kulipa tozo yetu pendwa ya kizalendo
Serikali yangu pendwa ya Tanzania na wahusika wa hili mimi kama mwananchi na mkulima wa nchi hii
Tunaomba muangalie vizuri kwenye suala hili la mbolea kiukweli mbolea ipo juu sana na sio rafiki kwa mkulima huyu wa chini
Na ukizingatia mazao yenyewe soko lake ni dogo na sehemu nyingine hakuna ksbisa soko mfano Ruvuma
Kilo ya maind ni kg1=240
Na wanunuzi wenyewe wakusopoka sasa kwa hali hiyi sizani kama kuna mkulima atarudi shamban msimu unaokuja
Hebu tuweke siasa kwanza pemben mtusaidie kwanza wananchi kwa hili maana tusipoingia tena shamba kwa kukosa hizo mbolea madhara yake.
Taifa litaingia kwenye upungufu wa chakula na hamtoweza kulisha taifa lote hili kwa hizo akiba mlizojiwekea
Waziri husika angalia hili siasa weka pemben tupambambanie wananchi wako ili tuendelee kulipa tozo yetu pendwa ya kizalendo