Ombi: Rais Samia, mteue Dkt. Bashiru Kakurwa kuwa Waziri wa TAMISEMI au Nishati

Tafakari yetu

JF-Expert Member
Apr 19, 2021
1,502
4,408
Kwako mkuu wa nchi yetu Mhe.Samia Suluhu Hassan kijana wako nina ombi mahususi si kwa ajili yangu ila kwa maslahi mapana ya taifa letu, kwa heshima na taadhima naomba nichukue muda wako kulifikisha mbele yako.

Ombi langu ni moja tu nalo ni kumteua Dkt.Bashiru kuwa waziri wako wa TAMISEMI au Nishati. Kuna mengi tumeyasikia juu ya kiongozi wetu huyo ambayo bado umma haujathibitishiwa lakini bado ni mtu anayekufaa Sana kwenye ujenzi wa Taifa letu.

Sina maslahi yoyote binafsi na uteuzi wake, kwangu ninaangalia ni Nani anayefaa kukusaidia kusogeza gururumu hilo zito mbele. Wahenga wanasema " mzigo mzito mpe mnyamwezi" , kwa uwezo na uzalendo alionao Dkt. Bashiru ndio mnyamwezi anayefaa kufikisha hiyo mizigo( wizara ya TAMISEMI na Nishati)

Pia, nikiri kusema sio kwamba waliopo Sasa ninachuki nao binafsi au hawawezi kufanya kazi hapana wanaweza sana ila kwa kuwa tumetofautiana uwezo wa kutenda, kuamua na kufikiri basi ni ukweli kwamba Dkt.Bashiru kawaacha katika hayo.

Tukiachana na yote , ukali,uwezo na uzalendo wa kweli wa Dkt.Badhiru bado unahitajika na utumie kama silaha ya kukujenga zaidi kisiasa. Ni Imani yangu Dkt.Bashiru atakuwa msaada mkubwa kwa ujenzi wa Tanzania yetu,ni mthubutu, hodari na jasiri na mwenye misimamo ya dhati.

Mwisho, naomba nichukue kukupongeza kuwa juhudi na jitihada mbalimbali unazozitumia kujenga nchi yetu. Kama kijana nazidi kukuombea hekima na busara zaidi ya kuongoza, kutenda na kuamua.

Wako katika ujenzi wa Taifa
Ni Mimi kijana mzalendo.
 
Kwako mkuu wa nchi yetu Mhe.Samia Suluhu Hassan kijana wako nina ombi mahususi si kwa ajili yangu ila kwa maslahi mapana ya taifa letu, kwa heshima na taadhima naomba nichukue muda wako kulifikisha mbele yako.

Ombi langu ni moja tu nalo ni kumteua Dkt.Bashiru kuwa waziri wako wa TAMISEMI au Nishati. Kuna mengi tumeyasikia juu ya kiongozi wetu huyo ambayo bado umma haujathibitishiwa lakini bado ni mtu anayekufaa Sana kwenye ujenzi wa Taifa letu.

Sina maslahi yoyote binafsi na uteuzi wake, kwangu ninaangalia ni Nani anayefaa kukusaidia kusogeza gururumu hilo zito mbele. Wahenga wanasema " mzigo mzito mpe mnyamwezi" , kwa uwezo na uzalendo alionao Dkt. Bashiru ndio mnyamwezi anayefaa kufikisha hiyo mizigo( wizara ya TAMISEMI na Nishati)

Pia, nikiri kusema sio kwamba waliopo Sasa ninachuki nao binafsi au hawawezi kufanya kazi hapana wanaweza sana ila kwa kuwa tumetofautiana uwezo wa kutenda, kuamua na kufikiri basi ni ukweli kwamba Dkt.Bashiru kawaacha katika hayo.

Tukiachana na yote , ukali,uwezo na uzalendo wa kweli wa Dkt.Badhiru bado unahitajika na utumie kama silaha ya kukujenga zaidi kisiasa. Ni Imani yangu Dkt.Bashiru atakuwa msaada mkubwa kwa ujenzi wa Tanzania yetu,ni mthubutu, hodari na jasiri na mwenye misimamo ya dhati.

Mwisho, naomba nichukue kukupongeza kuwa juhudi na jitihada mbalimbali unazozitumia kujenga nchi yetu. Kama kijana nazidi kukuombea hekima na busara zaidi ya kuongoza, kutenda na kuamua.

Wako katika ujenzi wa Taifa
Ni Mimi kijana mzalendo.
Muacheni BASHIRU apumzike Bado anamachungu sana
 
Kwako mkuu wa nchi yetu Mhe.Samia Suluhu Hassan kijana wako nina ombi mahususi si kwa ajili yangu ila kwa maslahi mapana ya taifa letu, kwa heshima na taadhima naomba nichukue muda wako kulifikisha mbele yako.

Ombi langu ni moja tu nalo ni kumteua Dkt.Bashiru kuwa waziri wako wa TAMISEMI au Nishati. Kuna mengi tumeyasikia juu ya kiongozi wetu huyo ambayo bado umma haujathibitishiwa lakini bado ni mtu anayekufaa Sana kwenye ujenzi wa Taifa letu.

Sina maslahi yoyote binafsi na uteuzi wake, kwangu ninaangalia ni Nani anayefaa kukusaidia kusogeza gururumu hilo zito mbele. Wahenga wanasema " mzigo mzito mpe mnyamwezi" , kwa uwezo na uzalendo alionao Dkt. Bashiru ndio mnyamwezi anayefaa kufikisha hiyo mizigo( wizara ya TAMISEMI na Nishati)

Pia, nikiri kusema sio kwamba waliopo Sasa ninachuki nao binafsi au hawawezi kufanya kazi hapana wanaweza sana ila kwa kuwa tumetofautiana uwezo wa kutenda, kuamua na kufikiri basi ni ukweli kwamba Dkt.Bashiru kawaacha katika hayo.

Tukiachana na yote , ukali,uwezo na uzalendo wa kweli wa Dkt.Badhiru bado unahitajika na utumie kama silaha ya kukujenga zaidi kisiasa. Ni Imani yangu Dkt.Bashiru atakuwa msaada mkubwa kwa ujenzi wa Tanzania yetu,ni mthubutu, hodari na jasiri na mwenye misimamo ya dhati.

Mwisho, naomba nichukue kukupongeza kuwa juhudi na jitihada mbalimbali unazozitumia kujenga nchi yetu. Kama kijana nazidi kukuombea hekima na busara zaidi ya kuongoza, kutenda na kuamua.

Wako katika ujenzi wa Taifa
Ni Mimi kijana mzalendo.
Mtoa mada anakitu amejificha nacho juu ya ushauri wake. Uchaguzi upo chini ya TaMISEMI na Bashiru anajua mbinu za kimafya kuelekea uchaguzi serikali za mitaa. Maana kama ni Uzalendo kwanini asishauri apelekwe Wizara ya Fedha au Afya?..
 
Kwa uzi ndo umemchafua zaidi! Bashiru, Bashite na Sabaya panapowafaa zaidi ni Guantanamo Bay.
 
Kwako mkuu wa nchi yetu Mhe.Samia Suluhu Hassan kijana wako nina ombi mahususi si kwa ajili yangu ila kwa maslahi mapana ya taifa letu, kwa heshima na taadhima naomba nichukue muda wako kulifikisha mbele yako.

Ombi langu ni moja tu nalo ni kumteua Dkt.Bashiru kuwa waziri wako wa TAMISEMI au Nishati. Kuna mengi tumeyasikia juu ya kiongozi wetu huyo ambayo bado umma haujathibitishiwa lakini bado ni mtu anayekufaa Sana kwenye ujenzi wa Taifa letu.

Sina maslahi yoyote binafsi na uteuzi wake, kwangu ninaangalia ni Nani anayefaa kukusaidia kusogeza gururumu hilo zito mbele. Wahenga wanasema " mzigo mzito mpe mnyamwezi" , kwa uwezo na uzalendo alionao Dkt. Bashiru ndio mnyamwezi anayefaa kufikisha hiyo mizigo( wizara ya TAMISEMI na Nishati)

Pia, nikiri kusema sio kwamba waliopo Sasa ninachuki nao binafsi au hawawezi kufanya kazi hapana wanaweza sana ila kwa kuwa tumetofautiana uwezo wa kutenda, kuamua na kufikiri basi ni ukweli kwamba Dkt.Bashiru kawaacha katika hayo.

Tukiachana na yote , ukali,uwezo na uzalendo wa kweli wa Dkt.Badhiru bado unahitajika na utumie kama silaha ya kukujenga zaidi kisiasa. Ni Imani yangu Dkt.Bashiru atakuwa msaada mkubwa kwa ujenzi wa Tanzania yetu,ni mthubutu, hodari na jasiri na mwenye misimamo ya dhati.

Mwisho, naomba nichukue kukupongeza kuwa juhudi na jitihada mbalimbali unazozitumia kujenga nchi yetu. Kama kijana nazidi kukuombea hekima na busara zaidi ya kuongoza, kutenda na kuamua.

Wako katika ujenzi wa Taifa
Ni Mimi kijana mzalendo.
Kutwa mnamtukana Samia,halafu leo mnamuomba amteue wa kanda mwenzenu!
 
Kwako mkuu wa nchi yetu Mhe.Samia Suluhu Hassan kijana wako nina ombi mahususi si kwa ajili yangu ila kwa maslahi mapana ya taifa letu, kwa heshima na taadhima naomba nichukue muda wako kulifikisha mbele yako.

Ombi langu ni moja tu nalo ni kumteua Dkt.Bashiru kuwa waziri wako wa TAMISEMI au Nishati. Kuna mengi tumeyasikia juu ya kiongozi wetu huyo ambayo bado umma haujathibitishiwa lakini bado ni mtu anayekufaa Sana kwenye ujenzi wa Taifa letu.

Sina maslahi yoyote binafsi na uteuzi wake, kwangu ninaangalia ni Nani anayefaa kukusaidia kusogeza gururumu hilo zito mbele. Wahenga wanasema " mzigo mzito mpe mnyamwezi" , kwa uwezo na uzalendo alionao Dkt. Bashiru ndio mnyamwezi anayefaa kufikisha hiyo mizigo( wizara ya TAMISEMI na Nishati)

Pia, nikiri kusema sio kwamba waliopo Sasa ninachuki nao binafsi au hawawezi kufanya kazi hapana wanaweza sana ila kwa kuwa tumetofautiana uwezo wa kutenda, kuamua na kufikiri basi ni ukweli kwamba Dkt.Bashiru kawaacha katika hayo.

Tukiachana na yote , ukali,uwezo na uzalendo wa kweli wa Dkt.Badhiru bado unahitajika na utumie kama silaha ya kukujenga zaidi kisiasa. Ni Imani yangu Dkt.Bashiru atakuwa msaada mkubwa kwa ujenzi wa Tanzania yetu,ni mthubutu, hodari na jasiri na mwenye misimamo ya dhati.

Mwisho, naomba nichukue kukupongeza kuwa juhudi na jitihada mbalimbali unazozitumia kujenga nchi yetu. Kama kijana nazidi kukuombea hekima na busara zaidi ya kuongoza, kutenda na kuamua.

Wako katika ujenzi wa Taifa
Ni Mimi kijana mzalendo.
No way, it's over!!
 
Kwako mkuu wa nchi yetu Mhe.Samia Suluhu Hassan kijana wako nina ombi mahususi si kwa ajili yangu ila kwa maslahi mapana ya taifa letu, kwa heshima na taadhima naomba nichukue muda wako kulifikisha mbele yako.

Ombi langu ni moja tu nalo ni kumteua Dkt.Bashiru kuwa waziri wako wa TAMISEMI au Nishati. Kuna mengi tumeyasikia juu ya kiongozi wetu huyo ambayo bado umma haujathibitishiwa lakini bado ni mtu anayekufaa Sana kwenye ujenzi wa Taifa letu.

Sina maslahi yoyote binafsi na uteuzi wake, kwangu ninaangalia ni Nani anayefaa kukusaidia kusogeza gururumu hilo zito mbele. Wahenga wanasema " mzigo mzito mpe mnyamwezi" , kwa uwezo na uzalendo alionao Dkt. Bashiru ndio mnyamwezi anayefaa kufikisha hiyo mizigo( wizara ya TAMISEMI na Nishati)

Pia, nikiri kusema sio kwamba waliopo Sasa ninachuki nao binafsi au hawawezi kufanya kazi hapana wanaweza sana ila kwa kuwa tumetofautiana uwezo wa kutenda, kuamua na kufikiri basi ni ukweli kwamba Dkt.Bashiru kawaacha katika hayo.

Tukiachana na yote , ukali,uwezo na uzalendo wa kweli wa Dkt.Badhiru bado unahitajika na utumie kama silaha ya kukujenga zaidi kisiasa. Ni Imani yangu Dkt.Bashiru atakuwa msaada mkubwa kwa ujenzi wa Tanzania yetu,ni mthubutu, hodari na jasiri na mwenye misimamo ya dhati.

Mwisho, naomba nichukue kukupongeza kuwa juhudi na jitihada mbalimbali unazozitumia kujenga nchi yetu. Kama kijana nazidi kukuombea hekima na busara zaidi ya kuongoza, kutenda na kuamua.

Wako katika ujenzi wa Taifa
Ni Mimi kijana mzalendo.

Huyo Dr. Bashiru hana uzalendo wowote bali ni bingwa wa kujikomba. Huyu alishiriki sana kumfanya Magufuli kutawala nchi hii kikatili. Kabla ya kuteuliwa na Magufuli alikuwa tofauti, ila baada ya kupewa cheo na Magufuli aliacha misimamo yake na kuiga chochote alichotaka magufuli.

Kwa maneno marahisi ni mtu anayeendekeza siasa za kihayawani, na hana msimamo wowote bali tumbo lake lilipo ndio akili yake ilipo.
 
Mkuu
Huyo Jamaa ana mzigo MZITO Moyoni!!!

Ana kitanzi shingoni na hajui Lini kitamkaba!!!!!

Hata alipewa nafasi hiyo hatoweza kufanya ipasavyo ana MSONGO wa MAWAZO!!!

Inasemekana alishiriki kwenye uhaini akiwa kama k.k!

Mtafute de'levis humu jamvini ana mengi Sana kumhusu!!!!

TUSUBIRI Lini atalazwa wodini!!


Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA!
 
Back
Top Bottom