Ombi: Rais Samia ikikupendeza futa Waraka Na 1 wa mwaka 2015 kutoka kwa Mkuu wa Utumishi wa Umma

Inaonekana ni mzito sana kuelewa mambo madogo tu.
Mimi nimesema (nimeshauri) kuwa mtu akipitishwa na Chama chake Kugombea hapo sasa ni halali aombe ruhusa ya bila malipo ili akajunadi kwa hiyo miezi mitatu.Lakini wakati wa michakato ya kura ya maoni ndani ya chama tena wiki moja ndo mtu alazimishwe kuomba ruhusa ya bila malipo ya miezi miwili? hii siyo sawa.Wao walifanyiwa hivyo na Hayata Nyerere, Mzee Mwinyi , hayati Mkapa au Mzee kikwete Kiukweli hayati Magufuli hakutaka ushindani.
 
Ingekuwa vyema ungeweka hapa hizo nyaraka zilizoandikwa na Yambesi ili tuzifahamu na kuzijadili vyema, na huenda ingesaidia sana katika kufikisha ujumbe kwa Mh. SSH.
Mleta uzi kafanya vyema, nawe fuata mfano wake ndugu KIM JOHN UN
Ngoja nizilete
 
Kulitumikia taifa gani Seema mnatafuta fursa nzuri ya kupata feza nyingi muda mchache

Ikiwezakan kbsa iwekwe kuwa ukiamia ktk siasa ufukiwze kbsa utumishi mtulie na Kaz zenu tuwchie ss tupambane huku nyiny s waajiriwa acha Kaz ingia katk siasa
Basi na sisi tusiende kupiga kura Wala kusikiliza kampeni zao
 
Ingekuwa vyema ungeweka hapa hizo nyaraka zilizoandikwa na Yambesi ili tuzifahamu na kuzijadili vyema, na huenda ingesaidia sana katika kufikisha ujumbe kwa Mh. SSH.
Mleta uzi kafanya vyema, nawe fuata mfano wake ndugu KIM JOHN UN
Waraka wenyewe ni huu hapo chini
 

Attachments

  • Waraka_wa_Mkuu_wa_Utumishi_wa_Umma_Na_sw.pdf
    2.3 MB · Views: 13
Mimi nimesema (nimeshauri) kuwa mtu akipitishwa na Chama chake Kugombea hapo sasa ni halali aombe ruhusa ya bila malipo ili akajunadi kwa hiyo miezi mitatu.Lakini wakati wa michakato ya kura ya maoni ndani ya chama tena wiki moja ndo mtu alazimishwe kuomba ruhusa ya bila malipo ya miezi miwili? hii siyo sawa.Wao walifanyiwa hivyo na Hayata Nyerere, Mzee Mwinyi , hayati Mkapa au Mzee kikwete Kiukweli hayati Magufuli hakutaka ushindani.
Mchakato unaanza lini??

Kabla ya kuchukua fomu??

Baada ya kurejesha fomu??

Baada ya uteuzi??

Gharama kwa mhusika zinaanza kutumika hatua ipi??
 
Mleta mada Hongera sana.
Nilishaleta hapa Jamvini nikidadavua sheria zoooote zinazomfanya Mtumishi aendelee kuwa hapo alipo.
Lkn kubwa zaidi kumbuka WATUNGA SHERIA kwa maaana ya Wabunge wanashindana kutunga sheria ambazo zitazuia kundi la WASOMI HASA WATUMISHI kamwe wasiwe wapinzani wao Majimboni kwao.
SHERIA YA KIKOKOTOO kipya cha Mafao unadhani imelenga nini??? Imelenga kuzuia mtumishi asipate pensheni yake yake ya MIL 450 akaenda na Mzigo wote Jimboni kuleta upinzani kwa Mbunge aliyepo., wamekaaaa wakaona hawa wastaaafu wanatusumbua na fedha zao za Mafao sasa wanakuja na KIDHIHITI MWENDO KWA WASTAAFU kuminya mafao yao kwa KIKOKOTOO MAFIOSO.
Watunga sheria wamejikita kuondoa Wapinzani Wasomi majimboni kupitia sheria za wizara zao hasa UTUMISHI WA UMMA si vinginevyo
 
Wawaache watumishi wa umma wakagombee nafasi za kiasiasa tupunguze vilaza kutufanyia maamuzi.......ndo maana akina kasheku, jaffo, biteko nk. wanafosi PhD za mwendokasi nao waonekane wasomi.
 
Mchakato unaanza lini??

Kabla ya kuchukua fomu??

Baada ya kurejesha fomu??

Baada ya uteuzi??

Gharama kwa mhusika zinaanza kutumika hatua ipi??
mchakato wa kuchukua form na kurudisha hauchukui hata wiki nzima.Ndyo maana vipindi vyote vya nyuma watumishi walikuwa wanaomba tu ruhusa ya siku nne au tano anaenda kudeal na hiyo issue siku ya kula ya maoni lkn Kwenye awamu ya tano wakaja wenye uchungu na nchi wakaanza kuleta sheria kandamizi na kibaguzi kama Makaburu.
Sisi tunajua Rais wa sasa atalitengua hilo li waraka.
 
Wawaache watumishi wa umma wakagombee nafasi za kiasiasa tupunguze vilaza kutufanyia maamuzi.......ndo maana akina kasheku, jaffo, biteko nk. wanafosi PhD za mwendokasi nao waonekane wasomi.
Yaani et hadi leo tunasifa ya kujua kusoma na kuandika ili ugombee Ubunge katika taifa lenye wasomi zaidi ya elfu 20 wako mitaani hatari sana
 
Mleta mada Hongera sana.
Nilishaleta hapa Jamvini nikidadavua sheria zoooote zinazomfanya Mtumishi aendelee kuwa hapo alipo.
Lkn kubwa zaidi kumbuka WATUNGA SHERIA kwa maaana ya Wabunge wanashindana kutunga sheria ambazo zitazuia kundi la WASOMI HASA WATUMISHI kamwe wasiwe wapinzani wao Majimboni kwao.
SHERIA YA KIKOKOTOO kipya cha Mafao unadhani imelenga nini??? Imelenga kuzuia mtumishi asipate pensheni yake yake ya MIL 450 akaenda na Mzigo wote Jimboni kuleta upinzani kwa Mbunge aliyepo., wamekaaaa wakaona hawa wastaaafu wanatusumbua na fedha zao za Mafao sasa wanakuja na KIDHIHITI MWENDO KWA WASTAAFU kuminya mafao yao kwa KIKOKOTOO MAFIOSO.
Watunga sheria wamejikita kuondoa Wapinzani Wasomi majimboni kupitia sheria za wizara zao hasa UTUMISHI WA UMMA si vinginevyo
Matokeo yake tunakuwa na sheria za ajabu kama Ile ya retention fee Kwenye board ya mikopo Kwenye elimu ya juu HSLB.
 
Ikumbukwe CCM ni chama cha wakulima na wafanyakazi. Waraka unaopana kundi moja na kuacha makundi mengine yawe huru kufanya siasa katika chama chao hicho hicho haufai hata kidogo.

Mkuu wa utumishi anataka kuibadili CCM kuwa ni chama cha wakulima na wafanya biashara na wazurulaji kwa kuweka masharti magumu kwa wafanyakazi.

Hebu tujiulize kuweka nia katika chsma chako wewe ni mkombea? Mimi naamini mtu atakuwa mgombea pale tu atakapotangazwa na tume ya uchaguzi ya Taifa. Na kama ndivyo, waraka ungeanzia hapo kuwatambua wagombea na kuweka marti rahisi kwa mfanyakazi kutekeleza. Kwa mfano; endapo mtumishi atapitishwa na chama na kutangazwa na tume apewe likizo ya miezi mitatu na endapo akishinda ataomba likizo bila malipo au kuomba kusitafu kazi. Na kama hakushinda arudi kazini na hatakuwa na likizo ya mwaka kwa muda wa miaka miwili mfululizo ili kufidia miezi ile mitatu maana mwezi mwingine ni haki yake kwenda likizo.

Mheshimiwa Rais tunaomba utuondolee huu waraka kandamizi kwa watumishi tusije nyang'anywa mishahara kwa ruhusa za wiki tu kama ilivyotokea 2020
 
Back
Top Bottom