OMBI: Rais amteue Kafulila kuwa mbunge ili kunogesha mapambano ya ufisadi

umerukia hoja hii tena?ile ya awali ya kuwasifia CCM umeikimbia?itafika mahali tulazimike kuwapima wafuasi wa CCM huenda mnamwili wa binadamu akili ya ngiri mnyama maarufu kwa kusahau haraka,
ila kwa kukusaidia kama unaona aliemnadi Kafulila ni gwiji wa rushwa mshauri mwenyekiti wako ampeleke mahakamani
Lowassa ni mwizi na kafulila ni mnafiki na njaa kali - kundi lile la kina Kubenea, Lissu, Mbowe, Msigwa na Lema
 
Hatufanyi tena makosa hayo.Hakuna vya bure safari hii mwambieni asubiri 2020,arudi uvinza akakabiliane na wauza mawese
 
Hatufanyi tena makosa hayo.Hakuna vya bure safari hii mwambieni asubiri 2020,arudi uvinza akakabiliane na wauza mawese
Mkuu msimamo wa CCM ni kuwa pesa za IPTL ni pesa za watu binafsi je leo hii watakula matapishi ama nao watamsifia ''mtukufu Rais wa wanyonge'' kwa kuchukua hatua
 
Mkuu msimamo wa CCM ni kuwa pesa za IPTL ni pesa za watu binafsi je leo hii watakula matapishi ama nao watamsifia ''mtukufu Rais wa wanyonge'' kwa kuchukua hatua
Umeanza lini tabia ya kuhamisha magoli na kuchanganya mada?hapa tunamzungumzia Rafiki yako kafulila.
Hata hivyo ccm ipo bega kwa bega na inamuunga mkono mwenyekiti wake kwa 100% ndio maana umeona kazi imeanza
 
Alikua na mpango huo.. ila kwakua umemshauri ndo umeharibu kabisa.. "USINIPANGIE"
 
Umeanza lini tabia ya kuhamisha magoli na kuchanganya mada?hapa tunamzungumzia Rafiki yako kafulila.
Hata hivyo ccm ipo bega kwa bega na inamuunga mkono mwenyekiti wake kwa 100% ndio maana umeona kazi imeanza
Hahahhhha inamuunga mkono ukimaanisha pesa ni za umma sio za mtu binafsi tena???? Teh teh teh ndugai nasubiri apongeze nicheke mie mweeeeh:D:D:D
 
OMBI

Ili kunogesha na kutia nguvu zaidi katika mapambano na vita dhidi ya rushwa kubwa na ndogo,ufisadi na uhujumu uchumi,vita ambayo ameonekana mh rais Magufuli anaipigana na ili aweze kuishinda inabidi mh rais awe na maaskari hodari na wenye weredi wa kupambana katika vita hii ngumu na ya muda mrefu,namshauri mambo makubwa yafuatayo

1:Mosi aache kuwaona wapinzani kama maadui zake na maadui wa nchi,ama kuwaona si wazalendo kwa kuamini kila anaemkosoa ni sehemu ya wezi.
2:Asione aibu kuwaita na kukaa nao meza moja na kupokea hoja zao za msingi,kwa maana meza humaliza jambo gumu,kama ameweza kukubali kukaa meza moja na watu tunaowatuhumu kutuibia madini miaka dahali nafikiri hili halitamshinda kama anadhamira ya kweli.

3:Akubali na kuruhusu mijadala ya kumkosoa yeye kama rais,akubali serikali yake ikosolewe na chama chake pia,kuanzia ndani ya bunge,nje ya bunge na kwenye vyombo vya habari na mitandao ya kijamii,ili mradi ukosoaji uwe wa staha,lugha isiyouzi na ukweli na heshima.

4:Kuanzia sasa awe anatoa hotuba za kuliunganisha taifa zaidi,na aepuke kuongea ama kusema jambo lolote litakalotafsiriwa kama kutugawa watanzania,mfano kusema kushirikiana na wapinzani nk,aunganishe taifa zaidi ili aweze kuungwa mkono na watu wote wenye itikadi na mitazamo tofauti ili kuijenga nchi kizalendo.

5:Mwisho ila sio kwa umuhimu,nimwombe sasa mh rais amteue David Kafulila kuwa mbunge katika bunge la jamhuri TZ,kama hilo linawezekana,kwani nafahamu bado anazo nafasi 2,huyu ni kiungo muhimu sana katika vita hii,kama ingekuwa jeshini mstari wa mbele kule vitani tungemwita runer(wale askari maalumu wanaotumwaga kusafisha eneo na kumchokoza adui ili ajulikane yupo wapi na jeshi zima baadae limshambulie)kwa kauli ya David Kafulila mwenyewe rais Magufuli wakati huo alikuwa ni miongoni mwa mawaziri 5 waliomtia moyo Kafulila ili aendelee kupambana kwa kumwambia escrow ni dili na akomae mpaka mwisho,

mh rais uwezo wa Kafulila katika kujenga hoja unaufahamu,uzalendo wake sio wa kutilia shaka,maana asingekuwa mzalendo haswaa sakata la escrow lisingemwacha salama,maana walijaribu mara kazaa kumuhonga na waliposhindwa walimtishia maisha,hivyo mh watanzania tunamuhitaji zaidi mh Kafulila bungeni ili aende kuliamsha dude,na unafahamu ni kwa namna gani Kafulila alifanyiwa figisu ili asirudi bungeni,na hata alipojaribu kwenda mahakamani,wote tunajua yaliyotokea,na watuhumiwa wa escrow walikuwa nyuma kuhakikisha harudi bungeni kama kumkomoa kwa lugha yao wao walisema walipokea maagizo ya "kumfix"
Watu hawajaja nyumbani kwako usiku huu na kukutaka ufungue mlango? Muulize Malisa G.
 
Rahisi bado ana nafasi 1......imebakia....huwa hawezi kuitoa labda kama bado miezi 6 tu!! Nakumbuka JK alimpa dada mmoja kama bado miezi 6 hivi.....!!!!
Nadhani nafasi za ubunge wa kuteuliwa zimejaa.
 
Sijui ni kutokujua mambo, sijui ni kukurupuka tu..

Unafikiri rais anaweza kuteua tu bila kujali idadi?
 
Back
Top Bottom