ghetopuzzle
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 440
- 504
Eneo linauzwa dodoma ekari 40 lina hati miliki iliyokamilika...lipo karibu na ikulu ya chamwino
2.5 kwa ekariPesa ngap
Dodoma kwa sasa ni better ukanunua viwanja vilivyopimwa from CDA. Kiwanja kinaanzia Sh. 2 m. ndio kizuri. Jipangeni kununua vikubwa au vilivyoungana ili familia ijimwage.2.5 kwa ekari
Hili eneo limepimwa na cda na ni la ukubwa huo ...na kila kitu kipo tayarDodoma kwa sasa ni better ukanunua viwanja vilivyopimwa from CDA. Kiwanja kinaanzia Sh. 2 m. ndio kizuri. Jipangeni kununua vikubwa au vilivyoungana ili familia ijimwage.
Sh. Milion mbili, sio meter 2.Hili eneo limepimwa na cda na ni la ukubwa huo ...na kila kitu kipo tayar
Ok nimekuelewa mkuu ..wanaohitaji eneo watanipm ili tufanye mikakati ya kuoneshanaSh. Milion mbili, sio meter 2.
Ndugu Finite Automata, sisi kinachotuponza ni utamaduni. Tuna utamaduni wa kupenda kujenga hata kama ni kihenge. Kuna nchi (India) familia hadi wajukuu wanaishi nyumba ya kupanga kwa miaka hadi 50! Huko sio kila mtu anajenga, kwahiyo mipango unayosema inawezekana. Ni rahisi kwa serikali kujenga majengo yenyewe, badala ya wananchi.Ndio maana nimependekeza TBA, kwa sababu si siri tena Tanzania tulikuwa tukipigwa na construction company
Pia serikari inaweza kuja na bei elekezi ya nyumba
Hata viwanja vyenyewe bado Watanzania wanaibiwa, una kuta mita moja ya mraba ya 5000 inauzwa 8000, na ya kuuzwa 8000 inauzwa 10000
Kwa kupunguza gharama, ni vema watumishi wanaohamia Dodoma toka Dar na mikoa mingine waje kwa kutumia usafiri wa treni na magari ya mashirika ya umma, hii ni pamoja na yale ya Jeshi la Wananchi, Magereza na kadhalika. Hii itasaidia kubeba mizigo.
Tusichukulie kuwa kuhamia Dodoma ndio watu wengi watatoka Dar na kuja Dom. Dodoma pia kuna watendaji wa Serikali, hivyo nadhani watakao kuja ni wale watendaji wakuu kitaifa na sio ki mikoa mfano toka Kinondoni,Temeke ....???.
Ingependeza kama Mamlaka ya Ustawishaji Makao Makuu Dodoma (CDA), kupima na kutoa mikopo ya viwanja kwa watumishi wa Serikali wanaohamia Dodoma. Hii itawahamasisha kuhamia, pia itawatoa katika midomo ya madalali na gharama ya ununuzi toka mikononi mwa watu.
Pendelezo kwa malipo yafanywe kwa muda ya miaka miwili, ili kuwapa fursa ya kujenga na kuhamia kwa muda mfupi.
Tujikumbushe kuwa kuhamia Dodoma, kunatupa fursa ya kujenga Taifa kiurahisi, yaani hadi vijijini kutafikika kuhurahisi. Dodoma ni katikati na kuna nafasi nzuri tu. Hali ya hewa ni nzuri sana, hakuna vumbi sana kama mnavyofikiria.
Twendeni Dodoma.