Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,582
Wanabodi,
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco
Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Hizi picha ni picha za mazoezi ya kawaida ya ukakamavu ambayo hhufanyika mara kwa mara and they have nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima siku ya tarehe 1 September. Siku hiyo kazi ya polisi itakuwa ni kuyaongoza maandamano hayo na kulinda mikutano ya hadhara ya Chadema nchi nzima.
Dar es Salaam
Mtwara
Iringa
Dodoma
Ruvuma
Singida
Musom
Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .My friend Pasco are you in any way old enough to remember these pictures?
Well this is what our father of the nation, Mwalimu lived, supported and fought for...freedom from tyranny and oppression for our brothers in South Africa. The pictures we see in the streets of Dar es Salaam right now are no different from the ones shown above. In spite of the terror unleashed by apartheid police, the people finally won...it is just a matter of time.
Like all dicteta uchwaras before him, Magufuli is bound to fail...
Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco