Ombi Muhimu Kwa Jeshi Letu La Polisi."Nyinyi ni Wenzetu, September Mosi, Please Msigeuke Makaburu!"

Pascal Mayalla

Platinum Member
Sep 22, 2008
50,467
113,582
Wanabodi,

Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.
Polisi-Tanzania.jpg

Dar es Salaam
Cqn7MQ2WcAApKMS.jpg


UPEPO.jpg

Mtwara
hqdefault.jpg

unnamed+(58).jpg

Iringa
img-20160824-wa0072.jpg

Dodoma
DORIA%2BDODOMA...jpg

Ruvuma
2-33.jpg

Singida
0.1gsengo%2B%252B%2Bpolisi%2B%25287%2529.jpg

Musom
P6300319.JPG


tanzania-police-prepares-to-disparse-citizens.jpg

img-20160824-wa0079.jpg
Hizi picha ni picha za mazoezi ya kawaida ya ukakamavu ambayo hhufanyika mara kwa mara and they have nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima siku ya tarehe 1 September. Siku hiyo kazi ya polisi itakuwa ni kuyaongoza maandamano hayo na kulinda mikutano ya hadhara ya Chadema nchi nzima.

Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .
My friend Pasco are you in any way old enough to remember these pictures?
apartheid-violence.jpg

06db67dc500c7c89783c17ece9e59200.jpg
publicity-pic-2-behind-the-lens.jpg

19600321-SouthAfricaSharpevilleMassacre-ANCArchives-crop2.jpg


w430.68de7.jpg
1-Apartheid1_943241427360.jpg

turn-to-violence-new.jpg


slide_346876_3660905_free.jpg

Well this is what our father of the nation, Mwalimu lived, supported and fought for...freedom from tyranny and oppression for our brothers in South Africa. The pictures we see in the streets of Dar es Salaam right now are no different from the ones shown above. In spite of the terror unleashed by apartheid police, the people finally won...it is just a matter of time.
Like all dicteta uchwaras before him, Magufuli is bound to fail...
Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .

Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburu hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco
 
Wasipopata kibali lakini wakaamua kuandamana itakuwaje?

Unatoa ushauri gani kwa polisi katika kukabiliana na maandamano yasiyokuwa na kibali?

Unatoa ushauri gani kwa waandamanaji wasiokuwa na kibali?

Ndani ya fikra zangu ninafahamu hakuna maandamano yatakayofanyika siku ya tarehe 1 Sept. Hizi ni kelele tu kama zilivyo kelele za kila siku ili kupitisha siku.

Uzuri/tatizo lililopo kwa sasa huu utawala uliopo unachukulia serious kila kelele wakati kuna kelele zingine kama za chura kwa tembo anayekunywa maji kwenye bwawa!
 
Pasco wastaarabu hufanya hivi

qrgfenwbyjuf5575533c53723d.jpg


Raila Odinga akiongoza maandamano ya Wapinzani mjini Nairobi dhidi ya uongozi wa Rais Uhuru Kenyatta!

day781.jpg


Rais Uhuru Kenyatta akizungumza na Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kuhusu hatma ya taifa lao

Kama ni ukaburu tayari umepiga hodi Tanzania na Magufuli kafungua mlango!
 
Wasipopata kibali lakini wakaamua kuandamana itakuwaje?

Unatoa ushauri gani kwa polisi katika kukabiliana na maandamano yasiyokuwa na kibali?

Unatoa ushauri gani kwa waandamanaji wasiokuwa na kibali?
Lipumba anakumbuka sana dawa aliyopewa na pamoja na wezake 2015
 
Pasko

mbona kama umechanganyikiwa hivi? nini tatizo Kaka?

Tarehe moja hakuna maandamano hizi ni kelele tu.

afu uliona watu waliotangaza maandamano afu ndio wanaomba waitwe kuzungumza? Msuya kawaambia wazungumze nini?

Acha uwoga
 
Pasko

mbona kama umechanganyikiwa hivi? nini tatazo Kaka?

Tarehe moja hakuma maandamano hizi ni kelele tu.

afu uliona watu waliotangaza maandamano afu ndio wanaomba waitwe kuzungumza? Msuya kawaambia wazungumze nini?

Acha uwoga
Nilidhani Yule kada wa CCM Mtungi ndiye kaitisha mazungumzo! Sikumbuki kusikia kiongozi yeyote wa Chadema akiitisha au kuomba kuitwa kwenye mazungumzo. Wao wamesema kama wakiitwa watakwenda. Sasa kwa kuwa huyo Mtungi kaamua kucheza sanaa kama za ile kesi ya mita 200, nadhani hapo mazungumzo hakuna tena.
 
Nilidhani Yule kada wa CCM Mtungi ndiye kaitisha mazungumzo! Sikumbuki kusikia kiongozi yeyote wa Chadema akiitisha au kuomba kuitwa kwenye mazungumzo. Wao wamesema kama wakiitwa watakwenda. Sasa kwa kuwa huyo Mtungi kaamua kucheza sanaa kama za ile kesi ya mita 200, nadhani hapo mazungumzo hakuna tena.
hujamskia lowassa? hujamskia Kingunge? hujamskia Kashinje?

ila serikali iko kimyaaaaaa si mmesema mnaandamana? andamaneni tuuuu kwani shida iko wapiiiiii?
 
hujamskia lowassa? hujamskia Kingunge? hujamskia Kashinje?

ila serikali iko kimyaaaaaa si mmesema mnaandamana? andamaneni tuuuu kwani shida iko wapiiiiii?
Kingunge? Tangu lini huyu akawa mwanachadema? last time I checked, alikuwa rafiki wa Lowassa, na hakuwahi kujiunga chadema

Na huyu Kashinje ni nani?
 
Kingunge? Tangu lini huyu akawa mwanachadema? last time I checked, alikuwa rafiki wa Lowassa, na hakuwahi kujiunga chadema

Na huyu Kashinje ni nani?
Mbona Lowassa hujamtaja?

sio Kashinje sorry ni Mashinji KM Chadema.

Kingunge ni mwanachama hai wa chadema alichukua kadi kigamboni siku lowassa alivyohutubia huko
 
Wanabodi,

Kazi Kuu ya Jeshi la Polisi ni kulinda raia na mali zao, katika kutimiza jukumu hilo, pia wanawajibu wa kutuliza ghasia na kuhakikisha kunakuwepo amani na utulivu kwa ustawi wa taifa hili.

Hizi picha ni picha za mazoezi ya kawaida ya ukakamavu ambayo hhufanyika mara kwa mara and they have nothing to do with maandamano na mikutano ya UKUTA nchi nzima siku ya tarehe 1 September. Siku hiyo kazi ya polisi itakuwa ni kuyaongoza maandamano hayo na kulinda mikutano ya hadhara ya Chadema nchi nzima.

Kwa vile tayari kuna viashiria vyote vya uwezekano wa kutokea vitendo vya fujo na uvunjifu wa amani ambapo ni jukumu la polisi wetu kutuliza fujo hizo, ila katika kutuliza fujo hizo, naomba wazitulize Kitanzania na sio Kikaburu! .

Mwalimu Nyerere aliwahi kusema Ukaburu sio rangi ni matendo tuu! . Hata ukiwa mweusi kama mkaa, ukiwa na tabia za Kikaburu, wewe ni kaburu tuu! .

Siamini Polisi wetu wanaweza kuwa Makaburi hiyo tarehe mosi September, maandamano na mikutano nchi nzima kuhamasisha UKUTA ikipata kibali, tujitokeze kwa wingi! .
Pasco


Nimejisikia vibaya sana kwaajili ya hizo picha, kwanini tufikie hatua hio jamano.?!

Kwanini yasiwepo malidhiano angali bado mapema.?!

Kwanini ccm wasisikilize hoja za Chadema na upjnzani kwa ujumla.?!!

Dah, hizi picha nadhani wangeionyesha serikali na upinzani.
 
Pasco wastaarabu hufanya hivi

qrgfenwbyjuf5575533c53723d.jpg


Raila Odinga akiongoza maandamano ya Wapinzani mjini Nairobi dhidi ya uongozi wa Rais Uhuru Kenyatta!

day781.jpg


Rais Uhuru Kenyatta akizungumza na Kiongozi wa Upinzani Raila Odinga kuhusu hatma ya taifa lao

Kama ni ukaburu tayari umepiga hodi Tanzania na Magufuli kafungua mlango!

Hii Picha nimeipenda sana
 
Nitawahi Mwananyamala kutoa damu kwa wale mtakao patwa na ya kupatwa. Unakatazwa unaenda na wanaokukataza ni polisi.

Wakikushughulikia utasemaje. Wengi mnataka kuua image ya nchi kama mlivyofanya na Edo. Karibuni fu.
 
Wafuata mkumbo hawajui hilo kwamba kuandamana bila KIBALI ni kosa ambalo litasababisha haya mazoezi ya askari kutumika kiuhalisia.
Hasira hasara , maandamano yatasimamisha shughuli nyingi za kiuchumi mwishowe hakutakuwa na maendeleo yote zaidi ya malumbano ya wanasiasa wakifanya kazi zao za kisiasa ambazo zinasikika nchi nzima tena bila hayo maandamano wala mikutano wanayoipigania.
 
Back
Top Bottom