Ibrah
JF-Expert Member
- Mar 22, 2007
- 2,729
- 528
Jana baadhi ya vyombo vya habari viliripoti Vincent Nyerere akimshukia Rais Mst Mkapa akijibu hoja kuwa yeye; Vincent si wa familia ya Mwl Nyerere. Hapa JF, topic hiyo ilichangiwa sana na leo MtanzaniA wameripoti Mkapa akiomba suluhu na Familia Mwl Nyerere kuhusu suala hilo.
Nimetafakari na kuona kuwa Mkapa alijiingiza kwenye mtego huo akiwa amechanganywa na harakati za CDM na kujisahau kuwa ushawishi wake umepungua sana.
MY TAKE
Ajitenge na siasa za ki CCM ili atumike mshauri na msuluhishi kitaifa.
Nimetafakari na kuona kuwa Mkapa alijiingiza kwenye mtego huo akiwa amechanganywa na harakati za CDM na kujisahau kuwa ushawishi wake umepungua sana.
MY TAKE
Ajitenge na siasa za ki CCM ili atumike mshauri na msuluhishi kitaifa.