Kitikiti
JF-Expert Member
- Nov 4, 2015
- 353
- 249
Ni ombi kwa Mh. RAIS kulihutubia Taifa siku ya mwisho wa mwaka huu ya tarehe 31 December, 2016 kabla ya kuingia tarehe 01 January, 2017. Bado siku chache kufikia siku hiyo.
Ni utaratibu ambao Nchi nyingi ikiwemo Tanzania hulifanya. Kuna miaka mingine Viongozi hawaonekani na Wananchi tuna hamu ya kuwasikia na kupata busara zao. Nyakati hizo wengi huwa tuko macho na familia zetu.
Hotuba zao ujenga au kuendeleza upendo, haki, amani na furaha. Ni hotuba sio ya kisiasa sana, bali itawaliwe na upendo au uzalendo. Sio ya kidini, bali ya ki MUNGU.
Tunakuombea Afya njema.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA NA DUNIA KWA UJUMLA!. Amen
Ni utaratibu ambao Nchi nyingi ikiwemo Tanzania hulifanya. Kuna miaka mingine Viongozi hawaonekani na Wananchi tuna hamu ya kuwasikia na kupata busara zao. Nyakati hizo wengi huwa tuko macho na familia zetu.
Hotuba zao ujenga au kuendeleza upendo, haki, amani na furaha. Ni hotuba sio ya kisiasa sana, bali itawaliwe na upendo au uzalendo. Sio ya kidini, bali ya ki MUNGU.
Tunakuombea Afya njema.
MUNGU IBARIKI TANZANIA, MUNGU IBARIKI AFRICA NA DUNIA KWA UJUMLA!. Amen