britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,634
- 29,999
Mkuu wa nchi yangu na mwenyekiti wa chama dume africa nzima, kwanza naupongeza uongozi wako uliotukuka,
Mheshimiwa kupitia maoni ya watu mbali mbali kutoka kwa watu kwanza wanakukubali kwamba ni jembe kali mno,
Mkuu watu wana maombi matatu muhimu
1.Kuhusu Nape Nnauye
Mkuu wa nchi pamoja na mapungufu ya kibinadamu aliyonayo bwana Nape Nnauye lakin ana mazuri yake , tu najua kila binadamu ana mapungufu yake lakin tunakuomba umsamehe Nape na kumpa angalau kazi ndani ya chama , Anaweza kuwa katibu mkuu mzuri ambaye naona anaweza kukaribia viatu vya Kinana,
Kwanini Nape awe katibu mkuu?
A.Anaijua ccm kiundani na anajua kazi za chama kisiasa,
B.Kasi yake ni kubwa mno kiutendaji
C. Amepikwa vizuri na mzee kinana na ziara nyingine wamekuwa wote akiwa mwenezi,
D. Hana kashfa ya rushwa anachukia Rushwa toka moyoni,
2. Humphrey Pole pole
Mheshimiwa rais bwana pole pole hamkumtendea haki kumpa uenezi ,yeye kazi ya uenezi haiwezi , humphrey ni mtu wa facts na.ukweli wakati uenezi unahitaji propaganda zaid ya ukweli, na rafu za s siasa haziwezi pole pole,
Kazi inayomfaa pole pole ni ukatibu, ubalozi, au kazi nyingine kama uratibu au ukuu wa wilaya ni kijana mzuri katika mazingira yanayohitaji fikra pevu za ukweli mtupu na facts,
Naomba umfikilie katika ubalozi au kazi nyingine, lakin si unenezi siasa za rafu na propaganda haziwezi,
Nafasi yake izibwe na livingstone lusinde mbunge au Magoiga SN anaweza sana au kuna jamaa anaitwa raia mpenda haki,
3. Makongoro Nyerere
Huyu kaka kakupigania sana wakati ukipiga kampeni na kazi anaiweza tunaomba umpe kazi akusaidie katika gurudumu la maendeleo,
Hakuna ambaye hajui uwezo wake na usmart wake,
Mheshimiwa nawakilisha
Mheshimiwa kupitia maoni ya watu mbali mbali kutoka kwa watu kwanza wanakukubali kwamba ni jembe kali mno,
Mkuu watu wana maombi matatu muhimu
1.Kuhusu Nape Nnauye
Mkuu wa nchi pamoja na mapungufu ya kibinadamu aliyonayo bwana Nape Nnauye lakin ana mazuri yake , tu najua kila binadamu ana mapungufu yake lakin tunakuomba umsamehe Nape na kumpa angalau kazi ndani ya chama , Anaweza kuwa katibu mkuu mzuri ambaye naona anaweza kukaribia viatu vya Kinana,
Kwanini Nape awe katibu mkuu?
A.Anaijua ccm kiundani na anajua kazi za chama kisiasa,
B.Kasi yake ni kubwa mno kiutendaji
C. Amepikwa vizuri na mzee kinana na ziara nyingine wamekuwa wote akiwa mwenezi,
D. Hana kashfa ya rushwa anachukia Rushwa toka moyoni,
2. Humphrey Pole pole
Mheshimiwa rais bwana pole pole hamkumtendea haki kumpa uenezi ,yeye kazi ya uenezi haiwezi , humphrey ni mtu wa facts na.ukweli wakati uenezi unahitaji propaganda zaid ya ukweli, na rafu za s siasa haziwezi pole pole,
Kazi inayomfaa pole pole ni ukatibu, ubalozi, au kazi nyingine kama uratibu au ukuu wa wilaya ni kijana mzuri katika mazingira yanayohitaji fikra pevu za ukweli mtupu na facts,
Naomba umfikilie katika ubalozi au kazi nyingine, lakin si unenezi siasa za rafu na propaganda haziwezi,
Nafasi yake izibwe na livingstone lusinde mbunge au Magoiga SN anaweza sana au kuna jamaa anaitwa raia mpenda haki,
3. Makongoro Nyerere
Huyu kaka kakupigania sana wakati ukipiga kampeni na kazi anaiweza tunaomba umpe kazi akusaidie katika gurudumu la maendeleo,
Hakuna ambaye hajui uwezo wake na usmart wake,
Mheshimiwa nawakilisha