S V Surovikin
JF-Expert Member
- Aug 8, 2015
- 13,594
- 32,689
Asante sana studio.... Hii ng'ombe ya gaidi mwendazake imechanganyikiwa
Asante sana studio.... Hii ng'ombe ya gaidi mwendazake imechanganyikiwa
Muhimu arudi Chadema akaimarishe chama bila kujali yaliyompataHapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema.
Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm.
Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili. Hivyo utaungwa mkono na watanzania wengi.
Anzisha chama kiwe mbadala wa Chadema ambayo imelala chari kifo cha mende.
Mku kumbuka hata Zitto na Shibuda wanavyama wanavyoviongoza kama jibu lilivyo ndivyo itakavyokuwa Mwanaccm mwenzangu.Hapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema.
Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm.
Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili. Hivyo utaungwa mkono na watanzania wengi.
Anzisha chama kiwe mbadala wa Chadema ambayo imelala chari kifo cha mende.
Kaynday
Slaa huyu huyu aliyehongwa na kikwete bilion 7 ili asaliti upinzani 2015?
Au mnafikiri mafaili yake hatuna?
Mpinzani Nchi hii Ni Tundu Lissu tu!!
Slaa nje ya chadema Ni sawa na samaki bila maji.
Nitakuwa wa kwanza kuchukua kadiHapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema.
Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm.
Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili. Hivyo utaungwa mkono na watanzania wengi.
Anzisha chama kiwe mbadala wa Chadema ambayo imelala chari kifo cha mende.
Hawezi kuvutia yeyote. Kama unabisha ajichanganye .Hapa utaibana Ccm kama enzi zile unaibana juu ya mafisadi papa na list of shame ukiwa Chadema.
Wewe unavyanzo kibao vya kupata data za wezi wa mali za umma. Ukiwa na chama chako utakuwa na nafasi kubwa kuibana Ccm.
Watanzania wanaimani kubwa na wewe, maana hauna historia ya upigaji madili. Hivyo utaungwa mkono na watanzania wengi.
Anzisha chama kiwe mbadala wa Chadema ambayo imelala chari kifo cha mende.
Huyo jamaa yako Upstairs sasa ndiyo tatizo!Mpinzani Nchi hii Ni Tundu Lissu tu!
Ni ukweli kabisa na falsafa za Dr. Slaa ndio falsafa za Magufuli nadhani hata ndio sababu za yeye kuumunga mkonoChama ni Mtu ?
Wewe nawe acha ujinga wako, unamjua huyo Tundu Lisu vizuri? Hamna combination nzuri imewahi kutokea nchi hii ya upinzani kama ya Slaa na Mbowe, mikengeuko mingine iliyotokea kati yao hapo kati hatujui, ila acha kabisa kumdharau Slaa, Hata Mbowe hajawahi kumuongelea slaa negatively, NyambafSlaa huyu huyu aliyehongwa na kikwete bilion 7 ili asaliti upinzani 2015?
Au mnafikiri mafaili yake hatuna?
Mpinzani Nchi hii Ni Tundu Lissu tu!!
Slaa nje ya chadema Ni sawa na samaki bila maji.
Wewe nawe acha ujinga wako, unamjua huyo Tundu Lisu vizuri? Hamna combination nzuri imewahi kutokea nchi hii ya upinzani kama ya Slaa na Mbowe, mikengeuko mingine iliyotokea kati yao hapo kati hatujui, ila acha kabisa kumdharau Slaa, Hata Mbowe hajawahi kumuongelea slaa negatively, Nyambaf
Slaa huyu huyu aliyehongwa na kikwete bilion 7 ili asaliti upinzani 2015?
Au mnafikiri mafaili yake hatuna?
Mpinzani Nchi hii Ni Tundu Lissu tu!!
Slaa nje ya chadema Ni sawa na samaki bila maji.