Ombi Maalum kwa Rais Magufuli: Mteue Zitto Kabwe kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, ndiye mpinzani pekee mzalendo, Capable kuongoza PAC!

Zito hana uzalendo wowote ila ni.maji yamemfika shingoni,
Huyu zito ndo kila siku anaiandika tanzania kwenye magazeti huko nje vibaya na serikari, bado huyu zito ndo mchongeaji wa nchi isipate misaada, sasa uzalendo wake upo wapi?
Pascal achana nae huyo, kwani ni nyoka mweusi ndani ya nyumba.
Hafai kuwa hata barozi, ni mtu wa kutumika, ukiwa na pesa yupo upande wako ukimtenga anakushambulia.
Umegusa penyewe. Zitto anatumiwa na Economist na Kanendera kuichafua Tanzania,mnafiki sana huyu jamaa.
 
Hahaha alipokuwa mbunge mlifanya juu chini hata kwenye kamati mumtoe, Haeshi akaongoza peke yake, leo mnamuhitaji Zitto!?

Ccm sijui wana amnesia au ni wajinga wa kuzaliwa, hahaha.
 

Attachments

  • En4hX3XXMAAHXWc.jpeg
    En4hX3XXMAAHXWc.jpeg
    49.1 KB · Views: 2
"kitendo cha Chadema kupata wabunge 20, halafu chama kinawafuta uanachama ili wafutwe ubunge ni uthibitisho wa watu wasiojitambua"

Mkuu Paskali, kwa kunukuu tu kipande kidogo hapo juu kilichopo ktk mada yako, inanifanya kuhisi kuwa upo "biased" na kukwepa kuzungumzia uhalisia wa uendeshaji michakato ndani ya vyama vya upinzani.

Mchakato wowote ule, yaani "process" unapitia ktk hatua tatu muhimu, yaani "input, throughput and output". CDM kupitia KK yake wanakiri hadharani kuwa hawajawahi kuendelea mchakato wowote ule uliopekea kupata hizo "output" zinazopigiwa debe na makada wa CCM ikiwemo wewe.

Sasa kabla ya kukurupuka na kuanza kuishutumu CDM, ebu wana CCM jaribuni kuwa wakweli kuhusu uhalali mchakato uliotumika kuwapata COVID-19.

Sent from my Nokia 2.1 using JamiiForums mobile app
 
Wanabodi

Anza na kumsikiliza



Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Nimemtaja Zitto, kwasababu mselewa jinsi Maalim Seif alivyo mtu wa misimamo, akisusa, amesusa!. Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, alisusa jumla, hivyo hii change of mind this time, is contributed to none other than Zitto Zuberi Kabwe, na hii ndio faida kwa wanasiasa ma extremists kama Maalim Seif kujinga na vyama vya contemporary politics kama ACT Wazalendo as opposed to vyama extremist kama CUF-Maalim Seif ya enzi zile, iliyokuwa ngangari, ukiachana na hii CUF-Lipumba iliyopo sasa ambayo ni mlenda au uji kabisa!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, chenye vision and a mission to accomplish ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu Chadema kutokuwa na uwezo, hili tumelizungumzia Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?. Lakini kwa upande wa ACT, tangu mwanzo kimejibainisha ni responsible party Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition kwa pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana kwa kuifanya Tanzania kuwa na upinzani wa kweli, maana upinzani wa kweli ni upinzani wa kushindanisha hoja kwa hoja mbadala na unafanyikia Bungeni, na sio upinzani wa kupiga kelele mitaani, hivyo kitendo cha Chadema kupata wabunge 20, halafu chama kinawafuta uanachama ili wafutwe ubunge ni uthibitisho wa watu wasiojitambua, hivyo kwa vile Zitto anajitambua na anauwezo wa kujenga hoja zenye nguvu za hoja, badala ya hoja za nguvu, hivyo Zitto mmoja tuu, akiingia Bungeni, atalisaidia sana Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Ingawa rais wa JMT hapangiwi na yeyote, kitu chochote cha kufanya, lakini anaweza kushauriwa na yeyote, jambo lolote lenye manufaa na maslahi kwa taifa letu katika mustakabali wa upinzani, ila rais anakuwa yuko huru kupokea ushauri, kuupuuza, na akiamua kuupokea, then yuko huru kuutekeleza, au kuupokea na kuupuuza, na hata akiutekeleza, uamuzi huo ataifikia yeye mwenyewe, sio kwa kushauriwa au kushinikizwa.

Japo haijaandikwa popote, na sio wengi wanajua, maadam nchi ya Tanzania ni nchi ya vyama vingi siasa, Mlezi Mkuu wa Upinzania, ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia vyombo vyake, na ndio maana vyama capable, vinalipwa ruzuku na fedha za kodi zetu, hivyo siku ile lile jarida la mabeberu la The Economist liliposema Rais Magufuli amedhamiria kufuta upinzani Tanzania ufikapo mwaka 2020, mimi nilikanusha nikasema jarida ni waongo na wanasema uongo. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Sasa kunapotokea uongo kama huo kusemwa, halafu ukaja kutokea kweli kwa Watanzania kuwakataa wapinzani, hivyo wakakichagua CCM pekee, hawa mabeberu wataendelea kutupigia kelele. Japo hawatutishi, na kelele zao hazitukoseshi usingizi, lakini kelele ni kelele tuu zikizdi zina disturb!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Kufuatia Wapinzania kukataliwa na Watanzania, baada ya uchaguzi, kwanza tulipendekeza Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.


Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Kwanini mkwamisha maendeleo,naa mini ni wewe ni mzalendoo zaidi
 
Wanabodi

Anza na kumsikiliza



Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Nimemtaja Zitto, kwasababu mselewa jinsi Maalim Seif alivyo mtu wa misimamo, akisusa, amesusa!. Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, alisusa jumla, hivyo hii change of mind this time, is contributed to none other than Zitto Zuberi Kabwe, na hii ndio faida kwa wanasiasa ma extremists kama Maalim Seif kujinga na vyama vya contemporary politics kama ACT Wazalendo as opposed to vyama extremist kama CUF-Maalim Seif ya enzi zile, iliyokuwa ngangari, ukiachana na hii CUF-Lipumba iliyopo sasa ambayo ni mlenda au uji kabisa!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, chenye vision and a mission to accomplish ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu Chadema kutokuwa na uwezo, hili tumelizungumzia Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?. Lakini kwa upande wa ACT, tangu mwanzo kimejibainisha ni responsible party Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition kwa pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana kwa kuifanya Tanzania kuwa na upinzani wa kweli, maana upinzani wa kweli ni upinzani wa kushindanisha hoja kwa hoja mbadala na unafanyikia Bungeni, na sio upinzani wa kupiga kelele mitaani, hivyo kitendo cha Chadema kupata wabunge 20, halafu chama kinawafuta uanachama ili wafutwe ubunge ni uthibitisho wa watu wasiojitambua, hivyo kwa vile Zitto anajitambua na anauwezo wa kujenga hoja zenye nguvu za hoja, badala ya hoja za nguvu, hivyo Zitto mmoja tuu, akiingia Bungeni, atalisaidia sana Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Ingawa rais wa JMT hapangiwi na yeyote, kitu chochote cha kufanya, lakini anaweza kushauriwa na yeyote, jambo lolote lenye manufaa na maslahi kwa taifa letu katika mustakabali wa upinzani, ila rais anakuwa yuko huru kupokea ushauri, kuupuuza, na akiamua kuupokea, then yuko huru kuutekeleza, au kuupokea na kuupuuza, na hata akiutekeleza, uamuzi huo ataifikia yeye mwenyewe, sio kwa kushauriwa au kushinikizwa.

Japo haijaandikwa popote, na sio wengi wanajua, maadam nchi ya Tanzania ni nchi ya vyama vingi siasa, Mlezi Mkuu wa Upinzania, ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia vyombo vyake, na ndio maana vyama capable, vinalipwa ruzuku na fedha za kodi zetu, hivyo siku ile lile jarida la mabeberu la The Economist liliposema Rais Magufuli amedhamiria kufuta upinzani Tanzania ufikapo mwaka 2020, mimi nilikanusha nikasema jarida ni waongo na wanasema uongo. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Sasa kunapotokea uongo kama huo kusemwa, halafu ukaja kutokea kweli kwa Watanzania kuwakataa wapinzani, hivyo wakakichagua CCM pekee, hawa mabeberu wataendelea kutupigia kelele. Japo hawatutishi, na kelele zao hazitukoseshi usingizi, lakini kelele ni kelele tuu zikizdi zina disturb!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Kufuatia Wapinzania kukataliwa na Watanzania, baada ya uchaguzi, kwanza tulipendekeza Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.


Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi.
Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x 3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
 
Wanabodi, mimi ni miongoni mwa wana jf, tuliandika mengi kumhusu rais wetu, Dr. John Pombe Joseph Magufuli, hivyo kipindi hiki cha maombolezo, napitia baadhi ya mabandiko kwa ajili ya kumuoga rasmi.
Japo umetangulia, lakini kauli zako, maono yako na kile ulichokiamini, kitabaki na sisi Milele.
Sisi tulikupenda, lakini Mungu amekupenda zaidi.
Bwana Alitoa, Bwana Ametwaa, Jina Lake Lihimidiwe!.
Raha ya Milele Umpe Ee Bwana, na Mwanga wa Milele, Umuangazie, Apumzike kwa Amani...Amina x 3.
RIP Dr. John Pombe Joseph Magufuli
Buriani ya kuonana...
Paskali
Kupitia fumbo la kifo Mungu ametuweza sana,nawafikiria waliokua wanapiga kampeni za kutaka aongezewe muda .
 
Mnafiki na msaka tonge umerudi tena kivingine! Pamoja na kujipendekeza kote kule mbona hujateuliwa??
Uje huku mwanampotevu karudi, 😅 😅

Teuzi yawezekana zitaanza!
Wasaka tonge tutawashuhudia sasa upya!

Everyday is Saturday...............................:cool:
 
Wanabodi

Anza na kumsikiliza



Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Nimemtaja Zitto, kwasababu mselewa jinsi Maalim Seif alivyo mtu wa misimamo, akisusa, amesusa!. Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, alisusa jumla, hivyo hii change of mind this time, is contributed to none other than Zitto Zuberi Kabwe, na hii ndio faida kwa wanasiasa ma extremists kama Maalim Seif kujinga na vyama vya contemporary politics kama ACT Wazalendo as opposed to vyama extremist kama CUF-Maalim Seif ya enzi zile, iliyokuwa ngangari, ukiachana na hii CUF-Lipumba iliyopo sasa ambayo ni mlenda au uji kabisa!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, chenye vision and a mission to accomplish ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu Chadema kutokuwa na uwezo, hili tumelizungumzia Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?. Lakini kwa upande wa ACT, tangu mwanzo kimejibainisha ni responsible party Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition kwa pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana kwa kuifanya Tanzania kuwa na upinzani wa kweli, maana upinzani wa kweli ni upinzani wa kushindanisha hoja kwa hoja mbadala na unafanyikia Bungeni, na sio upinzani wa kupiga kelele mitaani, hivyo kitendo cha Chadema kupata wabunge 20, halafu chama kinawafuta uanachama ili wafutwe ubunge ni uthibitisho wa watu wasiojitambua, hivyo kwa vile Zitto anajitambua na anauwezo wa kujenga hoja zenye nguvu za hoja, badala ya hoja za nguvu, hivyo Zitto mmoja tuu, akiingia Bungeni, atalisaidia sana Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Ingawa rais wa JMT hapangiwi na yeyote, kitu chochote cha kufanya, lakini anaweza kushauriwa na yeyote, jambo lolote lenye manufaa na maslahi kwa taifa letu katika mustakabali wa upinzani, ila rais anakuwa yuko huru kupokea ushauri, kuupuuza, na akiamua kuupokea, then yuko huru kuutekeleza, au kuupokea na kuupuuza, na hata akiutekeleza, uamuzi huo ataifikia yeye mwenyewe, sio kwa kushauriwa au kushinikizwa.

Japo haijaandikwa popote, na sio wengi wanajua, maadam nchi ya Tanzania ni nchi ya vyama vingi siasa, Mlezi Mkuu wa Upinzania, ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia vyombo vyake, na ndio maana vyama capable, vinalipwa ruzuku na fedha za kodi zetu, hivyo siku ile lile jarida la mabeberu la The Economist liliposema Rais Magufuli amedhamiria kufuta upinzani Tanzania ufikapo mwaka 2020, mimi nilikanusha nikasema jarida ni waongo na wanasema uongo. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Sasa kunapotokea uongo kama huo kusemwa, halafu ukaja kutokea kweli kwa Watanzania kuwakataa wapinzani, hivyo wakakichagua CCM pekee, hawa mabeberu wataendelea kutupigia kelele. Japo hawatutishi, na kelele zao hazitukoseshi usingizi, lakini kelele ni kelele tuu zikizdi zina disturb!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Kufuatia Wapinzania kukataliwa na Watanzania, baada ya uchaguzi, kwanza tulipendekeza Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.


Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Leo ni HBD ya huyu mwamba.
HBD ZZK.
P
 
nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, the one and only Zitto!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, chenye vision and a mission to accomplish ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition kwa pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana kwa kuifanya Tanzania kuwa na upinzani wa kweli, maana upinzani wa kweli ni upinzani wa kushindanisha hoja kwa hoja mbadala na unafanyikia Bungeni, na sio upinzani wa kupiga kelele mitaani, hivyo kitendo cha Chadema kupata wabunge 20, halafu chama kinawafuta uanachama ili wafutwe ubunge ni uthibitisho wa watu wasiojitambua, hivyo kwa vile Zitto anajitambua na anauwezo wa kujenga hoja zenye nguvu za hoja, badala ya hoja za nguvu, hivyo Zitto mmoja tuu, akiingia Bungeni, atalisaidia sana Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Maadam Mama Samia amempokea Magufuli na hii kazi haikukamilika.

Kitendo alichokifanya jana Zitto, ni udhibitisho wa uzalendo wa mtu huyu, hivyo namuomba rais Mama Samia, atukamilishie hili, angalau tuingize kichwa kimoja cha maana Bungeni, vinginevyo kama na mama anapenda Bunge lenye opposition mlenda mlenda!.
P
 
Maadam Mama Samia amempokea Magufuli na hii kazi haikukamilika.

Kitendo alichokifanya jana Zitto, ni udhibitisho wa uzalendo wa mtu huyu, hivyo namuomba rais Mama Samia, atukamilishie hili, angalau tuingize kichwa kimoja cha maana Bungeni, vinginevyo kama na mama anapenda Bunge lenye opposition mlenda mlenda!.
P

ngoja waje wale jamaa magenius aka reggae boys..
 
Wanabodi

Anza na kumsikiliza



Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Nimemtaja Zitto, kwasababu mselewa jinsi Maalim Seif alivyo mtu wa misimamo, akisusa, amesusa!. Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015, alisusa jumla, hivyo hii change of mind this time, is contributed to none other than Zitto Zuberi Kabwe, na hii ndio faida kwa wanasiasa ma extremists kama Maalim Seif kujinga na vyama vya contemporary politics kama ACT Wazalendo as opposed to vyama extremist kama CUF-Maalim Seif ya enzi zile, iliyokuwa ngangari, ukiachana na hii CUF-Lipumba iliyopo sasa ambayo ni mlenda au uji kabisa!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.

Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali

Nime note Zitto anatajwa tajwa sana humu jukwaani, nikaona na mimi nijikumbushe niliwahi kuandika nini kumhusu mtu huyu.
All and all, huyu Zitto sio mtu wa mchezo mchezo, he is a man to watch very closely!, sio mtu wa kawaida!.
Pendekezo hili sasa nalihamishia kwa Mama Samia.
P
 
Nime note Zitto anatajwa tajwa sana humu jukwaani, nikaona na mimi nijikumbushe niliwahi kuandika nini kumhusu mtu huyu.
All and all, huyu Zitto sio mtu wa mchezo mchezo, he is a man to watch very closely!, sio mtu wa kawaida!.
Pendekezo hili sasa nalihamishia kwa Mama Samia.
P
Sawa P mpigie debe Mzito Kabwela kwani pia anaweza kumpigia P debe pia mabadilliko bado yapo na nafasi bado zipo,ni kuongeza bidii ya kupiga debe TU.
 
Back
Top Bottom