Ombi Maalum kwa Rais Magufuli: Mteue Zitto Kabwe kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, ndiye mpinzani pekee mzalendo, Capable kuongoza PAC!

Kwanini Mheshimiwa Rais asikuteue wewe bwana Paskali kuingia Bungeni na kutetea haki za Waandishi wa Habari?

JPM anaweza kufanya kweli akawatest Zitto na Mbowe ili kuuonyesha Umma namna gani watu wapo tayari kuzikimbia kauli zao hasa pale maslaho yao yanapohusika kwa 100%
Kwanza kabisa, ubunge wa kupewa na rais ni ubunge wa kwenda mtumikia rais na sio wananchi au waandishi.
Pasco Mayalla sio mtu sahihi kabisa kuwawakilisha waandishi, ni mchumia tumbo na mlamba viatu vya watawala wa kiCCM.

Mtu aliyesababisha Eric Kabendera kuwekwa kizuizini mpaka akapoteza mama yake mzazi, leo hii mtu huyo awatetee waandishi? Thubutu.
 
Wanabodi

Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu Chadema kutokuwa na uwezo, hili tumelizungumzia Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?. Lakini kwa upande wa ACT, tangu mwanzo kimejibainisha ni responsible party Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana na kulisaidia Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Ingawa rais wa JMT hapangiwi na yeyote, kitu chochote cha kufanya, lakini anaweza kushauriwa na yeyote, jambo lolote lenye manufaa na maslahi kwa taifa letu katika mustakabali wa upinzani, ila rais anakuwa yuko huru kupokea ushauri, kuupuuza, na akiamua kuupokea, then yuko huru kuutekeleza, au kuupokea na kuupuuza, na hata akiutekeleza, uamuzi huo ataifikia yeye mwenyewe, sio kwa kushauriwa au kushinikizwa.

Japo haijaandikwa popote, na sio wengi wanajua, maadam nchi ya Tanzania ni nchi ya vyama vingi siasa, Mlezi Mkuu wa Upinzania, ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia vyombo vyake, na ndio maana vyama capable, vinalipwa ruzuku na fedha za kodi zetu, hivyo siku ile lile jarida la mabeberu la The Economist liliposema Rais Magufuli amedhamiria kufuta upinzani Tanzania ufikapo mwaka 2020, mimi nilikanusha nikasema jarida ni waongo na wanasema uongo. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Sasa kunapotokea uongo kama huo kusemwa, halafu ukaja kutokea kweli kwa Watanzania kuwakataa wapinzani, hivyo wakakichagua CCM pekee, hawa mabeberu wataendelea kutupigia kelele. Japo hawatutishi, na kelele zao hazitukoseshi usingizi, lakini kelele ni kelele tuu zikizdi zina disturb!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Kufuatia Wapinzania kukataliwa na Watanzania, baada ya uchaguzi, kwanza tulipendekeza Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.


Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Mkuu Paschal Mayalla,

Kwa mara ya kwanza nakupinga kwa hoja hii, that is a nasty fox to bring in the folk. Whatever reasons you might paint on Zitto it will discredit yourself, plerase distance yourself from a man who acts like a serpent flaming fire of abyss.

I value your constructive opinions and intellectual reasoning, but on this I can't be part of the contributory negligence towards the doomsday.

Big NO
 
Wanabodi

Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu Chadema kutokuwa na uwezo, hili tumelizungumzia Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?. Lakini kwa upande wa ACT, tangu mwanzo kimejibainisha ni responsible party Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana na kulisaidia Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Ingawa rais wa JMT hapangiwi na yeyote, kitu chochote cha kufanya, lakini anaweza kushauriwa na yeyote, jambo lolote lenye manufaa na maslahi kwa taifa letu katika mustakabali wa upinzani, ila rais anakuwa yuko huru kupokea ushauri, kuupuuza, na akiamua kuupokea, then yuko huru kuutekeleza, au kuupokea na kuupuuza, na hata akiutekeleza, uamuzi huo ataifikia yeye mwenyewe, sio kwa kushauriwa au kushinikizwa.

Japo haijaandikwa popote, na sio wengi wanajua, maadam nchi ya Tanzania ni nchi ya vyama vingi siasa, Mlezi Mkuu wa Upinzania, ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia vyombo vyake, na ndio maana vyama capable, vinalipwa ruzuku na fedha za kodi zetu, hivyo siku ile lile jarida la mabeberu la The Economist liliposema Rais Magufuli amedhamiria kufuta upinzani Tanzania ufikapo mwaka 2020, mimi nilikanusha nikasema jarida ni waongo na wanasema uongo. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Sasa kunapotokea uongo kama huo kusemwa, halafu ukaja kutokea kweli kwa Watanzania kuwakataa wapinzani, hivyo wakakichagua CCM pekee, hawa mabeberu wataendelea kutupigia kelele. Japo hawatutishi, na kelele zao hazitukoseshi usingizi, lakini kelele ni kelele tuu zikizdi zina disturb!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Kufuatia Wapinzania kukataliwa na Watanzania, baada ya uchaguzi, kwanza tulipendekeza Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.


Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
THREAD IMEKAA KINAFIKI KIKUDA!

MAYALA NI "njaa" 🤣🤣🤣🤣
 
Amteue nani? Mbona nchi itanuka? ZZK hakubaliki kwa yeyote anayemfahamu. Msiomfahamu ndio mnadhani anafaa kuaminiwa. Hafai.
Nakubali alipokuwa mwenyekiti PAC alikuwa akiomba rushwa sio mchezo niu mla rushwa wa kutupwa

Asingekuwa mpenda rushwa angekuwa mbali kisiasa lakini looo asione hela.Yeye na Lisu ni wapiga mikelele tu lakini ni wala rushwa hatari
 
Wanabodi

Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu Chadema kutokuwa na uwezo, hili tumelizungumzia Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?. Lakini kwa upande wa ACT, tangu mwanzo kimejibainisha ni responsible party Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana na kulisaidia Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Ingawa rais wa JMT hapangiwi na yeyote, kitu chochote cha kufanya, lakini anaweza kushauriwa na yeyote, jambo lolote lenye manufaa na maslahi kwa taifa letu katika mustakabali wa upinzani, ila rais anakuwa yuko huru kupokea ushauri, kuupuuza, na akiamua kuupokea, then yuko huru kuutekeleza, au kuupokea na kuupuuza, na hata akiutekeleza, uamuzi huo ataifikia yeye mwenyewe, sio kwa kushauriwa au kushinikizwa.

Japo haijaandikwa popote, na sio wengi wanajua, maadam nchi ya Tanzania ni nchi ya vyama vingi siasa, Mlezi Mkuu wa Upinzania, ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia vyombo vyake, na ndio maana vyama capable, vinalipwa ruzuku na fedha za kodi zetu, hivyo siku ile lile jarida la mabeberu la The Economist liliposema Rais Magufuli amedhamiria kufuta upinzani Tanzania ufikapo mwaka 2020, mimi nilikanusha nikasema jarida ni waongo na wanasema uongo. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Sasa kunapotokea uongo kama huo kusemwa, halafu ukaja kutokea kweli kwa Watanzania kuwakataa wapinzani, hivyo wakakichagua CCM pekee, hawa mabeberu wataendelea kutupigia kelele. Japo hawatutishi, na kelele zao hazitukoseshi usingizi, lakini kelele ni kelele tuu zikizdi zina disturb!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Kufuatia Wapinzania kukataliwa na Watanzania, baada ya uchaguzi, kwanza tulipendekeza Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.


Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Unawezaje kuweka gunzi katikati ya betri mbili? Tochi itawaka?

Watanzania siyo wajinga, mmeachiwa bungenna serikali muendeshe wenyewe wala msitafute watu wa kuwasingizia kwamba waliwakwamisha

Mtaani huku bei ya mafuta ya kula dumu la lita 20 ni sh 80,000/= bei ya leo hiyo, cement ndio sitaki hata kuuliza bei.

Mlitaka bunge la kijani hilo mmeachiwa msitafite mtu wa kumsingizia failure zenu.
 
Pascal Njaa una kazi kweli ? Utaalam wa mambo ya njaa unao ? Utaalam wa kupiga ramli chama gani kinaenda kuwa chama kikuu cha upinzani unao ? Utaalam wa kumshauri Jiwe nao unao ? Kujidai unajua kila kitu ? Wakati hamna lolote .
 
Wanabodi

Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu Chadema kutokuwa na uwezo, hili tumelizungumzia Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?. Lakini kwa upande wa ACT, tangu mwanzo kimejibainisha ni responsible party Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana na kulisaidia Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Ingawa rais wa JMT hapangiwi na yeyote, kitu chochote cha kufanya, lakini anaweza kushauriwa na yeyote, jambo lolote lenye manufaa na maslahi kwa taifa letu katika mustakabali wa upinzani, ila rais anakuwa yuko huru kupokea ushauri, kuupuuza, na akiamua kuupokea, then yuko huru kuutekeleza, au kuupokea na kuupuuza, na hata akiutekeleza, uamuzi huo ataifikia yeye mwenyewe, sio kwa kushauriwa au kushinikizwa.

Japo haijaandikwa popote, na sio wengi wanajua, maadam nchi ya Tanzania ni nchi ya vyama vingi siasa, Mlezi Mkuu wa Upinzania, ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia vyombo vyake, na ndio maana vyama capable, vinalipwa ruzuku na fedha za kodi zetu, hivyo siku ile lile jarida la mabeberu la The Economist liliposema Rais Magufuli amedhamiria kufuta upinzani Tanzania ufikapo mwaka 2020, mimi nilikanusha nikasema jarida ni waongo na wanasema uongo. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Sasa kunapotokea uongo kama huo kusemwa, halafu ukaja kutokea kweli kwa Watanzania kuwakataa wapinzani, hivyo wakakichagua CCM pekee, hawa mabeberu wataendelea kutupigia kelele. Japo hawatutishi, na kelele zao hazitukoseshi usingizi, lakini kelele ni kelele tuu zikizdi zina disturb!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Kufuatia Wapinzania kukataliwa na Watanzania, baada ya uchaguzi, kwanza tulipendekeza Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.


Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
BROTHER, kwanza hongera kwa uchambuzi makini, lakini nina maswali kwako kwa kuwa mimi binafsi nishindwa kupata majibu:-
  1. Hivi inawezekana mkubwa akiwa hajakomaa watoto wawe wamekomaa?
  2. Unaamini matendo ya chama tawala ni matendo ya chama kilichokomaa?
  3. Baada ya uchaguzi huu bado unaamini kuna chama cha siasa kilichoko komaa hapa TZ Hasa ukihusisha matendo yaliyoambatana na mwenendo mzima wa uchaguzi uliopita
  4. Kwa kupima kwako kati ya uchaguzi huu na ule wa mwaka 2010 na 2015 unaona tumeenda mbele ama tumerudi nyuma katika kukomaa kwa demokrasia yetu?
  5. Unaweza ukatufahamisha kwa sasa tunaelekea wapi juu au tunapolomoka?
  6. Kwa sasa unaliona taifa hili liko katika hali ya kawaida? na kama sio kwa nini?
  7. Ni nini kimetufikisha huku ? ni hao wasio komaa au ni huyo aliyekomaa?
  8. Matendo ya aliyekomaa yako sawasawa na ukomavu wake?
  9. Kukomaa maana yake ni kukubaliana na matendo yasiyokuwa ya kikomavu ili uonekane umekomaa?
  10. Unaielewa hukumu iliyo ndani ya mioyo ya watanzania kuhusu huyo unaedhani amekomaa,ameyaponya vipi majeraha ya walioumia,kutwezwa,kulia,kuomboleza nk ambao sasa wanamuona amewaacha ili akale kuku kwa mrija,anayo maneno ya kuwa laghai hao watu na waelewe kuwa kaenda pale kuteseka kwa ajili yao na si kustarehe?
Kaka ukomavu wa wanasiasa wa vyama vichanga utausoma kutoka kwenye matendo ya chama kilicho komaa. Kuna ukomavu unaozidi kuvumilia zuio la kufanya siasa kwa muda wa miaka mitano kinyume cha sheria za nchi na katiba,harafu unatuambia huyu anaezuia wenzake amekomaa kuliko walio zuiwa, hii sio haki brother,najua unajua isipokuwa basi.
Ni mimi Ngedelewaulaya naludi zangu poli majibu yangu ntayafuata kesho.
 
Kuhusu hawa wenyeviti wa PAC ni wala rushwa hatari. Kuanzia dr slaa, zito na wenzake wote mavi tuu wanafiki balaa watumishi wa halmashauri wanawajua vizuri hawa mafisidi.
 
Kwani walishindwa nini kumuachia Seif awe Rais Zanzibar wakati jeshi bado liko chini ya Rais Wa JMT!? Seif anaweza kuvunja muungano na huku hana jeshi!? Kilichofanyika ni kuunga mkono kupindua maamuzi ya wananchi wa Zanzibar na hiyo ndiyo imetoka. Katu ccm haitakaa tena iogope kufanya faulo za uchaguzi kwa kuwa wanajua vyeo vitawarudisha tu serikalini.
 
Wanabodi

Kufuatia kilichotokea tokea leo Zanzibar kwa Maalim Seif kuapishwa kuwa Makamu wa Kwanza wa rais Zanzibar, nimefarijika sana, na kurudisha matumaini kuwa angalau Tanzania japo hatuna any serious and credible opposition, lakini angalau tunao responsible opposition ambao the most credible ni ACT Wazalendo, kwa sisi tunaomjua Maalim Seif, akisusa!, hakuna Mzanzibari yoyote angeweza kumweleza kitu, hivyo kitendo cha kumuona Maalim Seif amelainika!, hadi akukubali kurejea SUK, amini nakuambia, hiyo ni kazi ya the one and only Zitto!.

Hii ni kufuatia ACT Wazalendo ndicho chama pekee cha upinzani nchini Tanzania, ambacho ni capable kinachofanya responsible opposition kinachokwenda kuwa Chama Kikuu cha Upinzani nchini Tanzania, kufuatia Chama kikuu cha upinzani huku Bara, Chadema, kuonyesha dalili zote za immaturity hivyo is not a capable opposition ya kufanya responsible opposition bungeni. Kuhusu Chadema kutokuwa na uwezo, hili tumelizungumzia Je, CHADEMA inaweza kushinda 2020? Is it serious, credible & mature enough opposition?. Lakini kwa upande wa ACT, tangu mwanzo kimejibainisha ni responsible party Kiukweli, Kama Sio Nguvu ya Soda, Then ACT ni Tishio. Hawa ni The Underdogs, Huwezi Kuwapuuza

Baada ya Maalim Seif kuapishwa na kuwa Makamu Zanzibar, chama cha ACT Wazalendo, ndicho chama kikuu cha upinzani Zanzibar, hivyo ili kukamilisha responsible opposition pande zote za muungano, hili ni ombi maalum kwa Rais wa JMT, Mhe. Dr. John Pombe Joseph Magufuli, amteue Zitto Zuberi Kabwe, kuwa Mbunge wa Bunge la JMT, kupitia zile nafasi zake kumi za uteuzi wa wabunge wa kuteuliwa na rais, kwa sababu Zitto atamsaidia sana na kulisaidia Bunge letu, kufuatia yeye, kupitia chama chake cha ACT Wazalendo, ndie mpinzani pekee mzalendo, wa kweli anayefanya responsible opposition, ambaye ni capable kuongoza kamati ya Bunge ya PAC.

Ingawa rais wa JMT hapangiwi na yeyote, kitu chochote cha kufanya, lakini anaweza kushauriwa na yeyote, jambo lolote lenye manufaa na maslahi kwa taifa letu katika mustakabali wa upinzani, ila rais anakuwa yuko huru kupokea ushauri, kuupuuza, na akiamua kuupokea, then yuko huru kuutekeleza, au kuupokea na kuupuuza, na hata akiutekeleza, uamuzi huo ataifikia yeye mwenyewe, sio kwa kushauriwa au kushinikizwa.

Japo haijaandikwa popote, na sio wengi wanajua, maadam nchi ya Tanzania ni nchi ya vyama vingi siasa, Mlezi Mkuu wa Upinzania, ni rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kutumia vyombo vyake, na ndio maana vyama capable, vinalipwa ruzuku na fedha za kodi zetu, hivyo siku ile lile jarida la mabeberu la The Economist liliposema Rais Magufuli amedhamiria kufuta upinzani Tanzania ufikapo mwaka 2020, mimi nilikanusha nikasema jarida ni waongo na wanasema uongo. The Economist: Rais Magufuli ametangaza kufuta Upinzani ifikapo 2020 na kuirudisha Tanzania kuwa Nchi ya chama Kimoja
Sasa kunapotokea uongo kama huo kusemwa, halafu ukaja kutokea kweli kwa Watanzania kuwakataa wapinzani, hivyo wakakichagua CCM pekee, hawa mabeberu wataendelea kutupigia kelele. Japo hawatutishi, na kelele zao hazitukoseshi usingizi, lakini kelele ni kelele tuu zikizdi zina disturb!.

Japo nchi inaendeshwa kwa mujibu wa Katiba, sheria, taratibu, na kanuni, lakini pia inaongozwa kwa tabia na desturi za utangulizi, precedent, sasa kwa vile tangu tumeanza mfumo wa vyama vingi, tumeongozwa na marais watatu, Ben Mkapa, (RIP), Jakaya Kikwete na sasa John Pombe Magufuli. Hao watangulizi wake wote wawili, waliteua wabunge angalau wawili wa upinzani kwenye kila awamu, kwa Mkapa kuwateua Hamad Rashid na Juma Duni, Kikwete kuwateua James Mbatia na ..., hivyo desturi ni kama tabia, hakuna ubaya na JPM awa hii akateua angalau wapinzani wawili, napendekeza mmoja awe Zitto Zuberi Kabwe na mwingine yule Dada aliyegombea urais, Quuen Sendiga, ili kuwafunga vilimilimi mabeberu kuwa JPM hapendi wapinzani.

Kufuatia Wapinzania kukataliwa na Watanzania, baada ya uchaguzi, kwanza tulipendekeza Bunge jipya lina hali mbaya! Serikali itafanaje kuliokoa Bunge ili kuwa na Kambi Rasmi ya Upinzani Bungeni?

Wapinzani waliposusa, nao tuliwaelimisha Je, wajua Vyama vya Siasa TZ ni Public Parties? Maamuzi yake lazima yazingatie Public Interest na siyo kufuata ujinga na ubinafsi wa viongozi insane! elimu hii ilimwingia Zitto Zuberi Kabwe hivyo nikaona Ziito pekee yake hataweza kuwashawishi Wanzanzibari kuelewa somo, ndipo nikamwandikia barua ya wazi rafiki yangu na mwana fani mwenzangu Mzanzibari Barua ya Wazi Kwa Comrade Ally Saleh, Uchaguzi Umekwisha, Yaliyopita Si Ndwele, Tugange Yaliyopo na Yajayo, Pelekeni Majina, Muijenge Zanzibar Yenu!
Kwa barua hiyo, somo likaeleweka na matokeo sote tunayajua.


Nimempendekeza Zitto kwasababu namfahamu his abilities and capabilities, Zitto ni mzalendo wa kweli Zitto ni Mzalendo wa kweli, Baada ya kumsikiliza leo, nimebaini haya...
hivyo waliopanga kamati za oversight ziongozwe na opposition, wana maana yao, Zitto akiingia Bungeni na kuongoza PAC, kiukweli atasaidia sana Bunge, ataisaidia serikali na atalisaidia taifa.

Mungu Ibariki Tanzania.

Paskali
Si vibaya unge declare kwamba jamaa ni miongoni mwa maswahiba zako wa siku nyingi
 
Mkuu Paschal Mayalla,

Kwa mara ya kwanza nakupinga kwa hoja hii, that is a nasty fox to bring in the folk. Whatever reasons you might paint on Zitto it will discredit yourself, plerase distance yourself from a man who acts like a serpent flaming fire of abyss.

I value your constructive opinions and intellectual reasoning, but on this I can't be part of the contributory negligence towards the doomsday.

Big NO

Mkuu, unajua upo uwezekano wa kumponda mtu bila kutumia kinywa chako wewe mwenyewe?

Hapa Mayalla kamponda ZZK bila kutumia kinywa chake mwenyewe!
 
Back
Top Bottom