kamikaze
JF-Expert Member
- Jan 25, 2011
- 422
- 610
Kutokana na matatizo ya umeme yanayoikumba nchi yetu, jana sikuweza kuangalia kipindi chako cha kipima joto ambacho nimesikia mlikuwa mkizungumzia kuhusu Tanesco na tatizo la umeme na Mmoja wa wachangiaji wa mada hiyo alikuwa ndugu Mkinga, Huyu ndugu huwa napenda sana hoja zake anapochangia katika mada mbalimbali, kwa hiyo kwa kuwa ITV haina utaratibu wa kurudia vipindi vya kipima joto nakuomba ukiupload/kiweke kipindi cha jana 3/6/2011 kwenye Youtube ili nasi ambao hatukukiona tuweze kudownload na kukiangalia.
Aksante.
Aksante.