CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,789
- 8,914
mheshimiwa kwa kweli ningekua na namba zako ningekupandia hewani ila naamini humu janvini kuna watu wenye contact zako watakufikishia ujumbe.
Ombi langu.
Mh kuna ile nyumba kama utakumbuka najua umeisha sahau, ulimjengea small house wako pale mitaa ya sanawari arusha jirani na ilipo sekondari ya enaboishu au bishop durning. Ile nyumba naambiwa yule small house wako aliikataa kwa sababu ambazo mimi c zijui but na wewe ukaamua kuitelekeza au kuipotezea na kwa sasa inakalibia miaka 18 tangia itelekezwe plae bila mtu kuishi ndani,
mheshimiwa mimi naiomba ile nyumba make kwa mimi itanifaa mno, kuliko ikae tupu miaka takribani 20 na kugeuzwa maficho ya vibaka na wala bangi,
mheshimiwa hilo ndo ombi langu, natanguliza shukurani
Ombi langu.
Mh kuna ile nyumba kama utakumbuka najua umeisha sahau, ulimjengea small house wako pale mitaa ya sanawari arusha jirani na ilipo sekondari ya enaboishu au bishop durning. Ile nyumba naambiwa yule small house wako aliikataa kwa sababu ambazo mimi c zijui but na wewe ukaamua kuitelekeza au kuipotezea na kwa sasa inakalibia miaka 18 tangia itelekezwe plae bila mtu kuishi ndani,
mheshimiwa mimi naiomba ile nyumba make kwa mimi itanifaa mno, kuliko ikae tupu miaka takribani 20 na kugeuzwa maficho ya vibaka na wala bangi,
mheshimiwa hilo ndo ombi langu, natanguliza shukurani