Shararizo
Member
- Aug 14, 2017
- 40
- 19
Mimi ni kijana wa umri wa miaka 26, nimemaliza shahada ya kwanza ila kutokana na hali ngumu ya ajira nimeamua kutafuta kazi ya kuuza bishara yeyote hapa Dodoma.
Mimi ni mwaminifu na nina uzoefu maana nishawah kuuza mitumba miezi kadhaa iliyopita.
Naomba kusaidiwa.
Mimi ni mwaminifu na nina uzoefu maana nishawah kuuza mitumba miezi kadhaa iliyopita.
Naomba kusaidiwa.