Ombi la kuwachangia Lissu na Lema: Lengo zuri linaloweza kujenga tafsiri hasi

Mzalendo_Mwandamizi

JF-Expert Member
Dec 12, 2007
1,117
4,764
Nimeona twiti ya Mheshimiwa Lema akihamasisha Watanzania wamchangie yeye na Lissu ili wamudu gharama za kuzunguka kila kona ya dunia kueleza kuhusu yanayojiri Tanzania re: Mheshimiwa Mbowe.

Screenshot_20210729-094404.jpg


Naelewa kuwa "gharama za kuzunguka dunia" ni kubwa, hasa kipindi hiki ambacho usafiri wa kimataifa umeathiriwa na janga la COVID. Hata hivyo, ombi hilo la michango (ambalo nafahamu linawahusu "linalowahusu") linaweza kujenga tafsiri hasi kuwa watu "wanalianzisha" ili itembezwe bakuli ya michango.

Nonetheless, Watanzania ni wakarimu na huenda wakajitokeza kwa wingi kuchangia safari hizo za Lema na Lissu
 
Vyovyote vile KWa sh mia zetu lazima tuchange, asietaka halazimishwi, Kama sheree tunachanga why kwenye ili, tutachanga
 
Watanzania hawa ambao wanalalamikia tozo inayolenga kuleta maendeleo nchini kwa kujenga shule, barabara, hospital, vituo vya polisi kwa ajili ya usalama wao nk, wanaweza kupoteza hela zao kuwachangia hao wachumia tumbo ili ziwafaidishe wao na familia zao? Sizani kama hili litatokea. Lkn wapo ambao akili zao huwa wanaziacha chooni, kwahiyo sitoshangaa wakiwachangia.
 
Kwani si watumie zile hela za hukumu walizorudishiwa na mahakama

Maana wananchi waliwachangia kipindi kile kuepuka kifungo lakn waliporudishiwa wamekuwa wakali ukiwahoji
Zile nasikia ziliingia kwenye account ya mwenyekiti na tayar ashazituma Dubai kwa bi'mdogo ili zimsaidie matumizi ya hapa na pale. Kina Lema na Lisu hawana chao zaidi ya kubwabwaja.
 
Back
Top Bottom