Chakwale
JF-Expert Member
- May 17, 2015
- 1,068
- 1,541
Wakuu kichwa cha habari hapo juu chahusika.Mm ni Kijana Mzalendo wa kiTanzania mwenye umri wa miaka 35 sasa ninae vutiwa na Rais wetu Mstaafu wa awamu ya NNE Jakaya Mrisho Kikwete.
Nina Mapenzi makubwa na Rais huyu tangu nipate akili ya kujua siasa za Nchi hii mnamo mwaka 2002 na tangu nianze kupiga kura kwa Mara ya kwanza mwaka 2005.
Dhumuni LA kuonana nae ni kutaka kumueleza ni namna gani namkubali na kumuelewa,yeye ni "Rolu modo" wangu japo sina matumaini ya kuja kuwa kiongozi ktk Nchi yangu.
Moja ya Ndoto zangu ni kuonana na Kiongozi huyu ana kwa ana ikiwezekana na kupata japo picha.
Mm sio MTU wa Connection or mwenye hadhi ninaeweza kuja kukutana na kiongozi huyu hata kwa bahati mbaya,najua hapa wanapita watu mbalimbali naomba mwenye uwezo wa kunisaidia hili anisaidie.
Wasalaam.
Nina Mapenzi makubwa na Rais huyu tangu nipate akili ya kujua siasa za Nchi hii mnamo mwaka 2002 na tangu nianze kupiga kura kwa Mara ya kwanza mwaka 2005.
Dhumuni LA kuonana nae ni kutaka kumueleza ni namna gani namkubali na kumuelewa,yeye ni "Rolu modo" wangu japo sina matumaini ya kuja kuwa kiongozi ktk Nchi yangu.
Moja ya Ndoto zangu ni kuonana na Kiongozi huyu ana kwa ana ikiwezekana na kupata japo picha.
Mm sio MTU wa Connection or mwenye hadhi ninaeweza kuja kukutana na kiongozi huyu hata kwa bahati mbaya,najua hapa wanapita watu mbalimbali naomba mwenye uwezo wa kunisaidia hili anisaidie.
Wasalaam.