Chongolo ni chama tawala, yuko kazini. Anasimamia serkali kuhakikisha inatekeleza Ilani zake. Angeweza kuwaita mmoja mmoja au makundi makundi waje Lumbumba Street kujieleza lakini uchungu wa kazi na uzalendo zimemwongoza aende mwenyewe asingoje ya kuambiwa. This has nothing to do with kongamano or mbowesiyogaidi au tumehuru: hii ni kazi.Nani asiye na habari ya mizunguko ya akina Chongolo au Shaka nchi nzima, wakikusanyika na kufanya siasa bila kubughudhiwa?
View attachment 2025817
Vipi hii kuwahusu hawa wengine?
View attachment 2025819
Bado Rais Samia na serikali nzima wangependa kuaminika kuwa haki na usawa ni agenda zao pia?