Ombi la kikao CHADEMA lakataliwa kutokana na tishio la Ugaidi

Nani asiye na habari ya mizunguko ya akina Chongolo au Shaka nchi nzima, wakikusanyika na kufanya siasa bila kubughudhiwa?

View attachment 2025817

Vipi hii kuwahusu hawa wengine?

View attachment 2025819

Bado Rais Samia na serikali nzima wangependa kuaminika kuwa haki na usawa ni agenda zao pia?
Chongolo ni chama tawala, yuko kazini. Anasimamia serkali kuhakikisha inatekeleza Ilani zake. Angeweza kuwaita mmoja mmoja au makundi makundi waje Lumbumba Street kujieleza lakini uchungu wa kazi na uzalendo zimemwongoza aende mwenyewe asingoje ya kuambiwa. This has nothing to do with kongamano or mbowesiyogaidi au tumehuru: hii ni kazi.
 
Chongolo ni chama tawala, yuko kazini. Anasimamia serkali kuhakikisha inatekeleza Ilani zake. Angeweza kuwaita mmoja mmoja au makundi makundi waje Lumbumba Street kujieleza lakini uchungu wa kazi na uzalendo zimemwongoza aende mwenyewe asingoje ya kuambiwa. This has nothing to do with kongamano or mbowesiyogaidi au tumehuru: hii ni kazi.

Kama unadhani hujayasahau maneno haya: "kwa maoni yangu ..." kabla ya kuanza kuandika lolote, wahi mirembe mjomba.

Kumbuka huko ni kama mhimbili tu ambako vigogo haswa wametajwa kuwa na mafaili huko.
 
Back
Top Bottom