Haikuwa na ulazima.Hiyo hapo evidenceView attachment 2155133
Maji yamesha mwagika, kila la kheriMzee sio muda wa kulaumiana au kusemana
Daah pole sema pole sana, yaani bd semester 1 tu, lakini ndo hivyo tena, sema kila la kheri,Hiyo hapo evidenceView attachment 2155133
Huo uandishi aisee!Kama Kaz yeyote ukozi aise Kaz zipo nyingi zozote zile Kam barman . gardens, tarura na kwa wachina wa kujenga Barbara Hapo ukozi pia kibarua.
Ila taaluma yeyote upati kiurasi Kazi.
Hvyo jaribu tafuta mtu wa tarura akupe kimashine ukaakte Kodi ya maegesho huku ujaaribu kutafuta alternative
Mkuu tumekuamini ila nashauri punguza kuexpose info zako. Usije ukaweka hadi password ya Aris sasa
Mamb ya Aris 3.0 daaahMkuu tumekuamini ila nashauri punguza kuexpose info zako. Usije ukaweka hadi password ya Aris sasa🤔