Ombi kwa wanasiasa, msie wepesi wa kutoa matamko kabla ya maelezo ya uchunguzi kutoka hadharani

thetallest

JF-Expert Member
Oct 21, 2017
8,256
9,085
Kumekuwa na wimbi la wanasiasa kujitafutia umaarufu kila linapotokea tukio lolote nchini, hasa majanga, wanasiasa hukimbilia kuita media na kutoa matamko ya kila aina kabla ya uchunguzi, ili mradi kutafuta attention kwa wananchi, hili si jambo jema, na Mara nyingi wanasiasa hawa huishia Kuumbuka baada ya uchunguzi wa kina (kitaalamu) kutoka.

Kuna msemo wa kiswahili usemao haraka haraka haina baraka.
Nawashauri wasiwe wepesi kutoa matamko, wasubiri taarifa ya serikali itoke ,hapo ndipo wanaweza kutoa maoni, matamko, na hisia zao dhidi ya serikali ya chama tawala. Wakiendelea hivi wanavyofanya wataumbuka Sana na kupoteza mvuto kwa wananchi ,ni maoni yangu ,hili watalifanyia kazi .
Mwisho,
siasa zetu ziwe za kujenga umoja wa kitaifa, si za kutugawa, siasa za kuichonganisha serikali na wananchi wake hazikubariki, si Tanzania Pekee, bali duniani kote. Nilitegemea kuona viongozi wa kisiasa wa vyama mbalimbali wakiungana na chama tawala kwenye msiba huu huko ukerewe, matokeo yake hamshiriki na mnatolea matamko mkiwa mbali na eneo la tukio ,mungu fariji nyoyo za wafiwa, amen
 
Kumekuwa na wimbi la wanasiasa kujitafutia umaarufu kila linapotokea tukio lolote nchini, hasa majanga, wanasiasa hukimbilia kuita media na kutoa matamko ya kila aina kabla ya uchunguzi, ili mradi kutafuta attention kwa wananchi, hili si jambo jema, na Mara nyingi wanasiasa hawa huishia Kuumbuka baada ya uchunguzi wa kina (kitaalamu) kutoka.

Kuna msemo wa kiswahili usemao haraka haraka haina baraka.
Nawashauri wasiwe wepesi kutoa matamko, wasubiri taarifa ya serikali itoke ,hapo ndipo wanaweza kutoa maoni, matamko, na hisia zao dhidi ya serikali ya chama tawala. Wakiendelea hivi wanavyofanya wataumbuka Sana na kupoteza mvuto kwa wananchi ,ni maoni yangu ,hili watalifanyia kazi .
Mwisho,
siasa zetu ziwe za kujenga umoja wa kitaifa, si za kutugawa, siasa za kuichonganisha serikali na wananchi wake hazikubariki, si Tanzania Pekee, bali duniani kote. Nilitegemea kuona viongozi wa kisiasa wa vyama mbalimbali wakiungana na chama tawala kwenye msiba huu huko ukerewe, matokeo yake hamshiriki na mnatolea matamko mkiwa mbali na eneo la tukio ,mungu fariji nyoyo za wafiwa, amen
Wamekusikia
 
Kumekuwa na wimbi la wanasiasa kujitafutia umaarufu kila linapotokea tukio lolote nchini, hasa majanga, wanasiasa hukimbilia kuita media na kutoa matamko ya kila aina kabla ya uchunguzi, ili mradi kutafuta attention kwa wananchi, hili si jambo jema, na Mara nyingi wanasiasa hawa huishia Kuumbuka baada ya uchunguzi wa kina (kitaalamu) kutoka.

Kuna msemo wa kiswahili usemao haraka haraka haina baraka.
Nawashauri wasiwe wepesi kutoa matamko, wasubiri taarifa ya serikali itoke ,hapo ndipo wanaweza kutoa maoni, matamko, na hisia zao dhidi ya serikali ya chama tawala. Wakiendelea hivi wanavyofanya wataumbuka Sana na kupoteza mvuto kwa wananchi ,ni maoni yangu ,hili watalifanyia kazi .
Mwisho,
siasa zetu ziwe za kujenga umoja wa kitaifa, si za kutugawa, siasa za kuichonganisha serikali na wananchi wake hazikubariki, si Tanzania Pekee, bali duniani kote. Nilitegemea kuona viongozi wa kisiasa wa vyama mbalimbali wakiungana na chama tawala kwenye msiba huu huko ukerewe, matokeo yake hamshiriki na mnatolea matamko mkiwa mbali na eneo la tukio ,mungu fariji nyoyo za wafiwa, amen
Nyie ni wajinga nabwehu Pamoja na huyo Mwenyekiti wako kichaa!

Tatizo kubwa limetokea kubwa kabisa la kuhuzunisha hivi mnataka watu wakae kimya!!

Mashetani nyie!
 
Na wasikie kweli, mbio zao zisije ishia sakafuni

Mkuu si watu wote wanasubiri taarifa za uhakika toka serekalini kwani huko siku hizi imekuwa ni kituo cha kulishia wananchi matango pori. Wenye uelewa mdogo na wanaofaidika na serekali hii kama ww mna haki kabisa ya kusubiri taarifa za serekali.

Kwenye post yako namba moja unasema ulitegemea ungeona vyama vingine vikiungana na chama tawala kwenye huo msiba, kwani ccm mmejibinafsishia huo msiba mpaka mtake vyama vingine vijiunge na nyie? Ndio maana nguo za ccm zimejaa kwenye huo msiba ili muhadae umma mna utu? Ogopa mtu anayetaka kujionyesha kwa mavazi hadharani, ujue huyo hana nia njema bali kilinda maslahi yake. Siwashauri vyama vya upinzani wa kweli kwenda kuuza face hapo msibabi eti ili waonekane wameshiriki huo msiba. Wananchi wenye upeo wanajua kipi kinafanyika kwa dhamira ya dhati na kipi ni kutafuta kick. Kama unakubalika unakubalika tu, huhitaji kuvaa sare za chama, kutumia vyombo vya dola na mamlaka yako kukubalika.
 
Mkuu si watu wote wanasubiri taarifa za uhakika toka serekalini kwani huko siku hizi imekuwa ni kituo cha kulishia wananchi matango pori. Wenye uelewa mdogo na wanaofaidika na serekali hii kama ww mna haki kabisa ya kusubiri taarifa za serekali.

Kwenye post yako namba moja unasema ulitegemea ungeona vyama vingine vikiungana na chama tawala kwenye huo msiba, kwani ccm mmejibinafsishia huo msiba mpaka mtake vyama vingine vijiunge na nyie? Ndio maana nguo za ccm zimejaa kwenye huo msiba ili muhadae umma mna utu? Ogopa mtu anayetaka kujionyesha kwa mavazi hadharani, ujue huyo hana nia njema bali kilinda maslahi yake. Siwashauri vyama vya upinzani wa kweli kwenda kuuza face hapo msibabi eti ili waonekane wameshiriki huo msiba. Wananchi wenye upeo wanajua kipi kinafanyika kwa dhamira ya dhati na kipi ni kutafuta kick. Kama unakubalika unakubalika tu, huhitaji kuvaa sare za chama, kutumia vyombo vya dola na mamlaka yako kukubalika.
Tindo huo ndio mfumo rasmi wa kiutendaji, matamko useless yanasaidia nini?
 
Matamko hayataisha hata kidogo utajuaje kama na me na power ya kusema na kuamua
 
Mkuu sikubaliani nawe, lazima tusikilize maoni na mawazo ya watu. Hoja dunia na maisha yako dymic,sio static.
Huu ugonjwa wa MTU kupenda mrejesho chanya pekee sio sawa.Mnadhani mtaweza kuwafanya Watanzania waishi maisha ya North Korea leo!?
 
Tindo huo ndio mfumo rasmi wa kiutendaji, matamko useless yanasaidia nini?

Uko sahihi mkuu hilo nakubaliana na ww, lakini mfumo rasmi unapotoa taarifa za upotoshaji sio kila mtu lazima auamini. Wenye uwezo wa kuona nje ya box wataendelea kusema kusaidia huo upotoshwaji kufikia tamati.

Halafu kuna mantiki gani wanaccm kuvaa uniform kwenye hilo zoezi lisilohitaji itikadi? Huoni hizo ni tabia za kipuuzi, au mnajenga mazingira ya kimkakati wa kutakatisha huu uporaji wa kura mnaofanya sasa? Hivi kweli unapofanya jambo jema unapaswa kujionyesha kwa watu wote kwamba ww ndio umefanya? Kama sio nia ovu ya kimkakati, iweje nguo za ccm zijae kwenye huo msiba? Mbona hatuoni hizi nguo za ccm kwenye viwanja vya mpira, masokoni, makanisani na kwenye mikusanyiko mingine? Je ingekuwa nguo za wanacdm zimejazana kwenye huo msiba ingeleta picha gani hata kama ni coincidence? Kama haufanyi siasa, unaona shida gani mpaka umefungulia uzi hayo matamko ya viongozi wawili au watatu wa vyama huku umefumbia macho hizo jezi za wanaccm kwenye huo msiba?
 
Uko sahihi mkuu hilo nakubaliana na ww, lakini mfumo rasmi unapotoa taarifa za upotoshaji sio kila mtu lazima auamini. Wenye uwezo wa kuona nje ya box wataendelea kusema kusaidia huo upotoshwaji kufikia tamati.

Halafu kuna mantiki gani wanaccm kuvaa uniform kwenye hilo zoezi lisilohitaji itikadi? Huoni hizo ni tabia za kipuuzi, au mnajenga mazingira ya kimkakati wa kutakatisha huu uporaji wa kura mnaofanya sasa? Hivi kweli unapofanya jambo jema unapaswa kujionyesha kwa watu wote kwamba ww ndio umefanya? Kama sio nia ovu ya kimkakati, iweje nguo za ccm zijae kwenye huo msiba? Mbona hatuoni hizi nguo za ccm kwenye viwanja vya mpira, masokoni, makanisani na kwenye mikusanyiko mingine? Je ingekuwa nguo za wanacdm zimejazana kwenye huo msiba ingeleta picha gani hata kama ni coincidence? Kama haufanyi siasa, unaona shida gani mpaka umefungulia uzi hayo matamko ya viongozi wawili au watatu wa vyama huku umefumbia macho hizo jezi za wanaccm kwenye huo msiba?
Tindo Elewa mantiki ya uzi, umesema kunaupotoshaji, tukubaliane upotoshaji huo ni baina ya pande mbili mahasimu, Mimi nimeweka angalizo Kwa Wasiasa kusubiri taarifa kwanza itoke kwa mahasimu wao kisha wao kuikrashi, serikali haitakua na ujanja tena, kuliko wao kuwahi na matamko ambayo baadae yanaonekana ni uzushi, subra ya vuta kheri,pia hata hivyo vyama vinavyanzo vya habari, inawezekana chanzo hicho kikawa si sahihi.
Kuhusu ccm kuvaa sale zao msibani siwezi litolea maelezo, ni utashi wao, hata chadema kuna msiba ulitokea morogoro ,msiba wote ulijaa jezi ya chadema,ni hulka
 
Kumekuwa na wimbi la wanasiasa kujitafutia umaarufu kila linapotokea tukio lolote nchini, hasa majanga, wanasiasa hukimbilia kuita media na kutoa matamko ya kila aina kabla ya uchunguzi, ili mradi kutafuta attention kwa wananchi, hili si jambo jema, na Mara nyingi wanasiasa hawa huishia Kuumbuka baada ya uchunguzi wa kina (kitaalamu) kutoka.

Kuna msemo wa kiswahili usemao haraka haraka haina baraka.
Nawashauri wasiwe wepesi kutoa matamko, wasubiri taarifa ya serikali itoke ,hapo ndipo wanaweza kutoa maoni, matamko, na hisia zao dhidi ya serikali ya chama tawala. Wakiendelea hivi wanavyofanya wataumbuka Sana na kupoteza mvuto kwa wananchi ,ni maoni yangu ,hili watalifanyia kazi .
Mwisho,
siasa zetu ziwe za kujenga umoja wa kitaifa, si za kutugawa, siasa za kuichonganisha serikali na wananchi wake hazikubariki, si Tanzania Pekee, bali duniani kote. Nilitegemea kuona viongozi wa kisiasa wa vyama mbalimbali wakiungana na chama tawala kwenye msiba huu huko ukerewe, matokeo yake hamshiriki na mnatolea matamko mkiwa mbali na eneo la tukio ,mungu fariji nyoyo za wafiwa, amen
Una maana uchunguzi wa afya akili ya rais umeshaanza?
 
Mkuu sikubaliani nawe, lazima tusikilize maoni na mawazo ya watu. Hoja dunia na maisha yako dymic,sio static.
Huu ugonjwa wa MTU kupenda mrejesho chanya pekee sio sawa.Mnadhani mtaweza kuwafanya Watanzania waishi maisha ya North Korea leo!?
Mkuu nielewe,sijaziwia kuongea,ninachowaomba ni wao kua makini na matamko yao
 
Kumekuwa na wimbi la wanasiasa kujitafutia umaarufu kila linapotokea tukio lolote nchini, hasa majanga, wanasiasa hukimbilia kuita media na kutoa matamko ya kila aina kabla ya uchunguzi, ili mradi kutafuta attention kwa wananchi, hili si jambo jema, na Mara nyingi wanasiasa hawa huishia Kuumbuka baada ya uchunguzi wa kina (kitaalamu) kutoka.

Kuna msemo wa kiswahili usemao haraka haraka haina baraka.
Nawashauri wasiwe wepesi kutoa matamko, wasubiri taarifa ya serikali itoke ,hapo ndipo wanaweza kutoa maoni, matamko, na hisia zao dhidi ya serikali ya chama tawala. Wakiendelea hivi wanavyofanya wataumbuka Sana na kupoteza mvuto kwa wananchi ,ni maoni yangu ,hili watalifanyia kazi .
Mwisho,
siasa zetu ziwe za kujenga umoja wa kitaifa, si za kutugawa, siasa za kuichonganisha serikali na wananchi wake hazikubariki, si Tanzania Pekee, bali duniani kote. Nilitegemea kuona viongozi wa kisiasa wa vyama mbalimbali wakiungana na chama tawala kwenye msiba huu huko ukerewe, matokeo yake hamshiriki na mnatolea matamko mkiwa mbali na eneo la tukio ,mungu fariji nyoyo za wafiwa, amen
Mkuu, kila kitu bongo hii ni siasa na malalamiko. Ukimsikiliza sana mtanzania unaweza kudhani kuwa kabla ya yeye kuwa binadamu alikuwa malaika kwanza halafu Mungu ndio akaamua kumpa ubinadamu alionao.

Mbongo wa kawaida kabisa asilimia 85 ya kinachotoka kinywani mwake ni kufuru.
 
Mkuu, kila kitu bongo hii ni siasa na malalamiko. Ukimsikiliza sana mtanzania unaweza kudhani kuwa kabla ya yeye kuwa binadamu alikuwa malaika kwanza halafu Mungu ndio akaamua kumpa ubinadamu alionao.

Mbongo wa kawaida kabisa asilimia 85 ya kinachotoka kinywani mwake ni kufuru.
Exactly!
 
Tindo huo ndio mfumo rasmi wa kiutendaji, matamko useless yanasaidia nini?

Uko sahihi mkuu hilo nakubaliana na ww, lakini mfumo rasmi unapotoa taarifa za upotoshaji sio kila mtu lazima auamini. Wenye uwezo wa kuona nje ya box wataendelea kusema kusaidia huo upotoshwaji kufikia tamati.

Halafu kuna mantiki gani wanaccm kuvaa uniform kwenye hilo zoezi lisilohitaji itikadi? Huoni hizo ni tabia za kipuuzi, au mnajenga mazingira ya kimkakati wa kutakatisha huu uporaji wa kura mnaofanya sasa? Hivi kweli unapofanya jambo jema unapaswa kujionyesha kwa watu wote kwamba ww ndio umefanya? Kama sio nia ovu ya kimkakati, iweje nguo za ccm zijae kwenye huo msiba? Mbona hatuoni hizi nguo za ccm kwenye viwanja vya mpira, masokoni, makanisani na kwenye mikusanyiko mingine? Je ingekuwa nguo za wanacdm zimejazana kwenye huo msiba ingeleta picha gani hata kama ni coincidence? Kama haufanyi siasa, unaona shida gani mpaka umefungulia uzi hayo matamko ya viongozi wawili au watatu wa vyama huku umefumbia macho hizo jezi za wanaccm kwenye huo msiba?
Tindo Elewa mantiki ya uzi, umesema kunaupotoshaji, tukubaliane upotoshaji huo ni baina ya pande mbili mahasimu, Mimi nimeweka angalizo Kwa Wasiasa kusubiri taarifa kwanza itoke kwa mahasimu wao kisha wao kuikrashi, serikali haitakua na ujanja tena, kuliko wao kuwahi na matamko ambayo baadae yanaonekana ni uzushi, subra ya vuta kheri,pia hata hivyo vyama vinavyanzo vya habari, inawezekana chanzo hicho kikawa si sahihi.
Kuhusu ccm kuvaa sale zao msibani siwezi litolea maelezo, ni utashi wao, hata chadema kuna msiba ulitokea morogoro ,msiba wote ulijaa jezi ya chadema,ni hulka

Naomba nielewe, sipingi maelezo yako yenye wingi wa busara na mantiki, ninachokataa ni ww kusema eti watu wote wasubiri taarifa ya serekali. Ni hivi taarifa za serekali kwa sasa hivi hazina ukweli usioacha shaka na yote ni sababu ya kuchanganya siasa na weledi, na hili liko wazi. Kwa muktadha huu hakuna haja ya wote kusubiri taarifa zenye walakini hata kama ni sehemu sahihi kisheria. Taasisi kuwa kisheria haimaanishi isemacho ni lazima kiwe kweli.

Kuhusu ccm kuvaa hizo nguo huna la kusema na wala nisingetarajia uwe na la kusema hasa kama huna ujasiri wa kukiri udhaifu hadharani. Unachomekea kwamba kuna msiba Morogoro cdm walivaa sare za chama bila kuutaja huo msiba. Sasa nikuulize, huo msiba cdm waliovaa sare ulikuwa wa kitaifa? Je kama kuvaa sare yoyote utakayo si kosa, ni kipi kilifanya polisi wakavamie ibada ya kumuombea Lissu huku wengi wa waliokuw wamevaa tshirt za Lissu kuishia korokoroni? Nikurahisishie jambo, fumbia macho mambo ya kipuuzi, kisha anzisha uzi wenye kuonyooshea wengine kidole kwa jambo ambalo linafanywa na watu wa chama chako dakika za mwisho ujikute huna hoja zaidi ya hisia za kisiasa.
 
Back
Top Bottom