mkata-mkaa
JF-Expert Member
- Nov 16, 2016
- 296
- 181
Wakuu habar zenu...
Ombi langu ni kwa nyie mnao tafuta wachumba JF .
Jamani weken picha..kama mtu mweny nia angalau akuone basi..sio kuweka masharti lukuki tu.
Lengo ni kuondoa usumbufu , yaan mtu apitie mzunguko Wa kuzama Pm alafu uanze kutia mistali then upate Namba baada ya hapo mu set meeting sasa mnapo onana unakuta sio type yako.
Kuepuka shida zote izo jaman waken picha...ili mtu asipoteze Muda wake na ela za bando kwa Goma ambalo sio type take.
Cc: miss natafuta
Ombi langu ni kwa nyie mnao tafuta wachumba JF .
Jamani weken picha..kama mtu mweny nia angalau akuone basi..sio kuweka masharti lukuki tu.
Lengo ni kuondoa usumbufu , yaan mtu apitie mzunguko Wa kuzama Pm alafu uanze kutia mistali then upate Namba baada ya hapo mu set meeting sasa mnapo onana unakuta sio type yako.
Kuepuka shida zote izo jaman waken picha...ili mtu asipoteze Muda wake na ela za bando kwa Goma ambalo sio type take.
Cc: miss natafuta