kissa anyigulile
JF-Expert Member
- Apr 21, 2017
- 1,550
- 1,733
Kwanza napenda kuwashukuru sana kwa kutuhabarisha mambo mbalimbali yanayotokea around the World.
Ila jambo moja mnasahau. Kuna habari ambazo sisi wahabarishwa huwa tunapenda sana kujua zimefikia wapi au zinaendeleaje, kwa sababu unakuta tukio lenyewe ni la kuendelea.
Kwa mfano: "Akamatwa na meno ya tembo chumbani" Akutwa na 3.6 bilioni kwenye mabegi" pa pa pa pa habari motomoto kweli, halafu Siku mbilitatu: " Diamond awasha moto Mbagala, pa pa pa pa, habari motomoto kweli, nk. Baada ya hapo kimyaaaaa!! no progress report no what! Mnatuacha hewani!!
Ila jambo moja mnasahau. Kuna habari ambazo sisi wahabarishwa huwa tunapenda sana kujua zimefikia wapi au zinaendeleaje, kwa sababu unakuta tukio lenyewe ni la kuendelea.
Kwa mfano: "Akamatwa na meno ya tembo chumbani" Akutwa na 3.6 bilioni kwenye mabegi" pa pa pa pa habari motomoto kweli, halafu Siku mbilitatu: " Diamond awasha moto Mbagala, pa pa pa pa, habari motomoto kweli, nk. Baada ya hapo kimyaaaaa!! no progress report no what! Mnatuacha hewani!!