Ombi kwa TANROADS na mkandarasi anayejenga barabara ya ubungo-kibaha.

Kingsmann

JF-Expert Member
Oct 4, 2018
4,448
16,312
Pamekucha wakuu, nami naianza siku kwa hili.

Inafahamika wazi watumiaji wakuu wa barabara ni sisi wenyewe (binadamu/watu).

Kati yetu wapo wanaotumia magari, wapo wanaotumia pikipiki, wapo wanaotumia baiskeli, wapo wanaotumia miguu tuliyoumbwa nayo, wapo pia vilema wanaotambaa ama kwa magoti au hata makalio yao.

Sasa ukiangalia huu ujenzi unaoendelea wa hii barabara ya ubungo hadi kibaha na hatimaye chalinze, kuna kundi moja la watumia barabara limeachwa nyuma, kundi la waenda kwa miguu, waendesha baiskeli na vilema (PEDESTRIANS)

Haiwezekani katika dunia ya sasa ujenge barabara kuu (highway) iliyo katikati ya jiji bila kuwawekea waenda kwa miguu kinjia chao. Ingekuwa ni nje ya mji hapo sawa, kwa maana huko ni machakani hamna watu wengi wanaotembea kwa miguu.

Nimeamua kuweka hili ombi mapema kabisa kabla ujenzi haujamalizika ili kuondoa dhana ya kukosoa kila kitu, sitaki kusubiri ujenzi umalizike ndipo tuanze kutaja mapungufu yake wakati tunaweza kutoa ushauri angali mapema.

Hapa ni mjini, waenda kwa miguu ni wengi sana huwezi kusema watakuwa wanatumia barabara moja pamoja na magari. Ukizingatia itakuwa ni barabara 3 kwa 3 kwa 2 haitawezekana kabisa raia pia wajichanganye humohumo kwenye highway.

Kingine cha muhimu ni afya. Sote tunajua siku hizi magonjwa yasiyoambukiza yameongezeka kwa kasi sana. Moja ya sababu ni watu kuishi aina ya maisha yasiyo rafiki kwa afya zetu. Sasa kama ujenzi wa miundombinu hauko rafiki kwa ajili ya kubadili lifestyle zetu na hatimaye kupunguza haya maradhi hamuoni mnazidi kuipa serikali mzigo?

Wekeni barabara za watembea kwa miguu, jioni watu wafanye jogging za hapa na pale, mwenye kibaiskeli chake naye apate hamu ya kukiendesha. Unakuta mtu anatoka kimara mwisho kwenda kimara suka eti anapanda gari, like seriously? Hii yote inasababishwa na miundombinu kujengwa kwa ajili ya magari peke yake huku kundi la waenda kwa miguu(pedestrians) likisahaulika.

 
Pamekucha wakuu, nami naianza siku kwa hili.

Inafahamika wazi watumiaji wakuu wa barabara ni sisi wenyewe (binadamu/watu).

Kati yetu wapo wanaotumia magari, wapo wanaotumia pikipiki, wapo wanaotumia baiskeli, wapo wanaotumia miguu tuliyoumbwa nayo, wapo pia vilema wanaombaa ama kwa magoti au hata makalio yao.

Sasa ukiangalia huu ujenzi unaoendelea wa hii barabara ya ubungo hadi kibaha na hatimaye chalinze, kuna kundi moja la watumia barabara limeachwa nyuma, kundi la waenda kwa miguu, waendesha baiskeli na vilema (PEDESTRIANS)

Haiwezekani katika dunia ya sasa ujenge barabara kuu (highway) iliyo katikati ya jiji bila kuwawekea waenda kwa miguu kinjia chao. Ingekuwa ni nje ya mji hapo sawa, kwa maana huko ni machakani hamna watu wengi wanaotembea kwa miguu.

Nimeamua kuweka hili ombi mapema kabisa kabla ujenzi haujamalizika ili kuondoa dhana ya kukosoa kila kitu, sitaki kusubiri ujenzi umalizike ndipo tuanze kutaja mapungufu yake wakati tunaweza kutoa ushauri angali mapema.

Hapa ni mjini, waenda kwa miguu ni wengi sana huwezi kusema watakuwa wanatumia barabara moja pamoja na magari. Ukizingatia itakuwa ni barabara 3 kwa 3 kwa 2 haitawezekana kabisa raia pia wajichanganye humohumo kwenye highway.

Kingine cha muhimu ni afya. Sote tunajua siku hizi magonjwa yasiyoambukiza yameongezeka kwa kasi sana. Moja ya sababu ni watu kuishi aina ya maisha yasiyo rafiki kwa afya zetu. Sasa kama ujenzi wa miundombinu hauko rafiki kwa ajili ya kubadili lifestyle zetu na hatimaye kupunguza haya maradhi hamuoni mnazidi kuipa serikali mzigo?

Wekeni barabara za watembea kwa miguu, jioni watu wafanye jogging za hapa na pale, mwenye kibaiskeli chake naye apate hamu ya kukiendesha. Unakuta mtu anatoka kimara mwisho kwenda kimara suka eti anapanda gari, like seriously? Hii yote inasababishwa na miundombinu kujengwa kwa ajili ya magari peke yake huku kundi la waenda kwa miguu(pedestrians) likisahaulika.
Hivi nani kawaroga? Mnakurupuka na milawama kibao. Wewe umesanifu michoro yao? Si usubiri hadi wakamilishe? Watu bado hata lami haijawekwa wewe unalalamikia finishing! Magufuli haters mnalo akina Salary Slip Quinine Erythrocyte na binti asiyejielewa Sky Eclat
 
Kweli mkuu.. naona wameweka mitaro ya nguvu..

Tokea mwanzo tumesema hii barabara inajengewa sifa lakini haina starndard kwa maana ya matumizi..


Barabara imejengwa kwa uimara mkubwa sana lakini sio rafiki..
Pamekucha wakuu, nami naianza siku kwa hili.

Inafahamika wazi watumiaji wakuu wa barabara ni sisi wenyewe (binadamu/watu).

Kati yetu wapo wanaotumia magari, wapo wanaotumia pikipiki, wapo wanaotumia baiskeli, wapo wanaotumia miguu tuliyoumbwa nayo, wapo pia vilema wanaotambaa ama kwa magoti au hata makalio yao.

Sasa ukiangalia huu ujenzi unaoendelea wa hii barabara ya ubungo hadi kibaha na hatimaye chalinze, kuna kundi moja la watumia barabara limeachwa nyuma, kundi la waenda kwa miguu, waendesha baiskeli na vilema (PEDESTRIANS)

Haiwezekani katika dunia ya sasa ujenge barabara kuu (highway) iliyo katikati ya jiji bila kuwawekea waenda kwa miguu kinjia chao. Ingekuwa ni nje ya mji hapo sawa, kwa maana huko ni machakani hamna watu wengi wanaotembea kwa miguu.

Nimeamua kuweka hili ombi mapema kabisa kabla ujenzi haujamalizika ili kuondoa dhana ya kukosoa kila kitu, sitaki kusubiri ujenzi umalizike ndipo tuanze kutaja mapungufu yake wakati tunaweza kutoa ushauri angali mapema.

Hapa ni mjini, waenda kwa miguu ni wengi sana huwezi kusema watakuwa wanatumia barabara moja pamoja na magari. Ukizingatia itakuwa ni barabara 3 kwa 3 kwa 2 haitawezekana kabisa raia pia wajichanganye humohumo kwenye highway.

Kingine cha muhimu ni afya. Sote tunajua siku hizi magonjwa yasiyoambukiza yameongezeka kwa kasi sana. Moja ya sababu ni watu kuishi aina ya maisha yasiyo rafiki kwa afya zetu. Sasa kama ujenzi wa miundombinu hauko rafiki kwa ajili ya kubadili lifestyle zetu na hatimaye kupunguza haya maradhi hamuoni mnazidi kuipa serikali mzigo?

Wekeni barabara za watembea kwa miguu, jioni watu wafanye jogging za hapa na pale, mwenye kibaiskeli chake naye apate hamu ya kukiendesha. Unakuta mtu anatoka kimara mwisho kwenda kimara suka eti anapanda gari, like seriously? Hii yote inasababishwa na miundombinu kujengwa kwa ajili ya magari peke yake huku kundi la waenda kwa miguu(pedestrians) likisahaulika.

View attachment 1188030
 
Mkuu, michoro iko tayari na mitaro washaweka.

Kama hauko dsm tulia tulii, na wala sijakosoa bali nimetoa ushauri kwani picha iko wazi kabisa kwamb hamna pedestrian roads.
Hivi nani kawaroga? Mnakurupuka na milawama kibao. Wewe umesanifu michoro yao? Si usubiri hadi wakamilishe? Watu bado hata lami haijawekwa wewe unalalamikia finishing! Magufuli haters mnalo akina Salary Slip Quinine Erythrocyte na binti asiyejielewa Sky Eclat
 
Aisee watuwekee watembea kwa miguu kibarabara chetu, ni ombi tuu lkn wakitupotezea poa.
Kweli mkuu.. naona wameweka mitaro ya nguvu..

Tokea mwanzo tumesema hii barabara inajengewa sifa lakini haina starndard kwa maana ya matumizi..


Barabara imejengwa kwa uimara mkubwa sana lakini sio rafiki..
 
Mkuu, michoro iko tayari na mitaro washaweka.

Kama hauko dsm tulia tulii, na wala sijakosoa bali nimetoa ushauri kwani picha iko wazi kabisa kwamb hamna pedestrian roads.
Sasa Hivi nimepita karibu na wanapojenga NMB mbona barabara za waendao kwa miguu zipo? Naweka picha hapa
3F98082D-B603-40E8-8E93-6158DDC3CCA8.jpeg
FD9F4469-8051-48B2-850A-CAB3CB626397.jpeg
 
Pamekucha wakuu, nami naianza siku kwa hili.

Inafahamika wazi watumiaji wakuu wa barabara ni sisi wenyewe (binadamu/watu).

Kati yetu wapo wanaotumia magari, wapo wanaotumia pikipiki, wapo wanaotumia baiskeli, wapo wanaotumia miguu tuliyoumbwa nayo, wapo pia vilema wanaotambaa ama kwa magoti au hata makalio yao.

Sasa ukiangalia huu ujenzi unaoendelea wa hii barabara ya ubungo hadi kibaha na hatimaye chalinze, kuna kundi moja la watumia barabara limeachwa nyuma, kundi la waenda kwa miguu, waendesha baiskeli na vilema (PEDESTRIANS)

Haiwezekani katika dunia ya sasa ujenge barabara kuu (highway) iliyo katikati ya jiji bila kuwawekea waenda kwa miguu kinjia chao. Ingekuwa ni nje ya mji hapo sawa, kwa maana huko ni machakani hamna watu wengi wanaotembea kwa miguu.

Nimeamua kuweka hili ombi mapema kabisa kabla ujenzi haujamalizika ili kuondoa dhana ya kukosoa kila kitu, sitaki kusubiri ujenzi umalizike ndipo tuanze kutaja mapungufu yake wakati tunaweza kutoa ushauri angali mapema.

Hapa ni mjini, waenda kwa miguu ni wengi sana huwezi kusema watakuwa wanatumia barabara moja pamoja na magari. Ukizingatia itakuwa ni barabara 3 kwa 3 kwa 2 haitawezekana kabisa raia pia wajichanganye humohumo kwenye highway.

Kingine cha muhimu ni afya. Sote tunajua siku hizi magonjwa yasiyoambukiza yameongezeka kwa kasi sana. Moja ya sababu ni watu kuishi aina ya maisha yasiyo rafiki kwa afya zetu. Sasa kama ujenzi wa miundombinu hauko rafiki kwa ajili ya kubadili lifestyle zetu na hatimaye kupunguza haya maradhi hamuoni mnazidi kuipa serikali mzigo?

Wekeni barabara za watembea kwa miguu, jioni watu wafanye jogging za hapa na pale, mwenye kibaiskeli chake naye apate hamu ya kukiendesha. Unakuta mtu anatoka kimara mwisho kwenda kimara suka eti anapanda gari, like seriously? Hii yote inasababishwa na miundombinu kujengwa kwa ajili ya magari peke yake huku kundi la waenda kwa miguu(pedestrians) likisahaulika.

View attachment 1188030

Mkuu heri yenu nyie wenye hata makandokando ya kuomba na barabara za wa miguu. Nyie ambao hata mabarabara ya juu kwa juu, juu ya maziwa na na hata juu ya bahari yanawahusu.

Mkuu makwetu tunaomba wazibe mashimo tu ili njia zisifunge, ajali zisitokee, uharibifu tuuepuke, hasara tuziepuke na yote ya namna hiyo; thubutu.....!

Njia zenyewe tunazopigia kelele za kuunganisha nchi na nchi na kukuchandua uchumi kibao. Tumeachwa kwenye mataa kwani kuna mtaji wa kura kwenye njia kama za rusahunga - benako? Tanzania kura ni muhimu kuliko uchumi.

Kwetu kama huna habari kupo hivi: na mvua ziko mlangoni.

Ama kweli Tanzania ni nchi kubwa isiyo na vipaumbele.
IMG-20190808-WA0017.jpg
IMG-20190808-WA0008.jpg
[/QUOTE]
 
Kutoka mbezi luis hadi kimara mwisho kuna pedestrian way? Yani unazungumzia hako ka pedestrian way kutoka crdb hadi roundabout ya kuelekea segerea?

Hebu nambie kutoka hapo mbezi mwisho hadi kibamba kule kuna barabara ya waenda kwa miguu?
Sasa Hivi nimepita karibu na wanapojenga NMB mbona barabara za waendao kwa miguu zipo? Naweka picha hapaView attachment 1188037View attachment 1188035
 
Hivi nani kawaroga? Mnakurupuka na milawama kibao. Wewe umesanifu michoro yao? Si usubiri hadi wakamilishe? Watu bado hata lami haijawekwa wewe unalalamikia finishing! Magufuli haters mnalo akina Salary Slip Quinine Erythrocyte na binti asiyejielewa Sky Eclat
Sema nimeshapita ningekupigia picha nizitume hapa uone,siyo kila anaongelea pungufu fulani ni mpinzani mbona tunakuwa kama watu wasiosoma?

Hii barabara baadhi ya sehemu wameshajenga tofali za kingo na wameshajengea mitaro sasa engineer wewe em tuambie watembea kwa miguu na waendesha vyombo vidogo vidogo umepanga wapae au watembee kama upepo wawapo ktk barabara ile au watapita humo mitaroni?

Umeandika as if kila kitu unakijua wewe ungesubiri japo post mbili tatu uone wenzako wanaopita barabara hiyo wanasemaje ndo utie neno.
 
Kutoka mbezi luis hadi kimara mwisho kuna pedestrian way? Yani unazungumzia hako ka pedestrian way kutoka crdb hadi roundabout ya kuelekea segerea?

Hebu nambie kutoka hapo mbezi mwisho hadi kibamba kule kuna barabara ya waenda kwa miguu?
Ndugu yangu kuna makada humu kila kitu wao watasifu kwa nyimbo na mapambio ona sasa wanajifanya vipofu
 
Sasa ukiangalia huu ujenzi unaoendelea wa hii barabara ya ubungo hadi kibaha na hatimaye chalinze, kuna kundi moja la watumia barabara limeachwa nyuma, kundi la waenda kwa miguu, waendesha baiskeli na vilema (PEDESTRIANS)

Haiwezekani katika dunia ya sasa ujenge barabara kuu (highway) iliyo katikati ya jiji bila kuwawekea waenda kwa miguu kinjia chao. Ingekuwa ni nje ya mji hapo sawa, kwa maana huko ni machakani hamna watu wengi wanaotembea kwa miguu.
Acha ulongo ndugu yangu. Shuka hapo site uliza utapata maelezo yote sio kudanganya watanzania na mwisho useme wewe ni mshauri sana kuliko wahandisi wenyewe.
 
Wanaoitwa watwaalam wetu wana kasumba hiyo. Barabara nyingi zinajengwa bila kuzingatia matakwa na mahitaji ya watumia barabara wengine... Focus yo ni mgari, ....kila barabara mjini inatakiwa iwe na acess kwa watembea kwa miguu, baiskeli na wanaovuka.

Sasa kimbembe kingine ni kwenye pedestrian crossings .....hakuna makosa kama kuweka kivuko cha watembea kwa mguu karibu na round about au makutano ya barabara ambayo hayana taa! TARURA, TANROAD muwe weledi.

Si mawaziri, wabunge, mabalozi na wanaoitwa watalaam wanakwenda sana nchi za ng'ambo, hamjifunzi vitu huko????
 
Kweli mkuu.. naona wameweka mitaro ya nguvu..

Tokea mwanzo tumesema hii barabara inajengewa sifa lakini haina starndard kwa maana ya matumizi..


Barabara imejengwa kwa uimara mkubwa sana lakini sio rafiki..
Yani ni tabu tupu
 
Back
Top Bottom