APA CHICAGO
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 259
- 293
Ninaombi kwenye sheria zetu za uchaguzi kipengele kimoja tu kibadilishwe au kiongezwe.
Kwa maoni yangu ningependa iwe hivi Mbunge yeyote " Akijihudhuru au kuhama chama" basi aliyekuwa anafuatia kwenye kura wakati wa uchaguzi Mkuu yaani wa pili aapishwe ili kuchukua nafasi iliyoachwa wazi.
Nimependekeza marekebisho haya ili kuepuka gharama kubwa zisizo za lazima kama taifa tunazopata.Turudie uchaguzi tu pale bahati mbaya Mbunge anapoteza maisha.
Tumeshuhudia taifa likiingia gharama za kurudia uchaguzi katika majimbo kadhaa kwa kutaja kwa uchache majimbo yafuatayo: jimbo la 1.Nyarandu 2.Paulina Gekul 3.Chacha Ryoba na wengine wengi kibao.Kwenye upande wa udiwani huko penyewe usiseme wao ni wengi mno na penyewe kipengele hiki kiwe hivi hivi.
Kama kweli tuna nia ya dhati ya kuhakikisha nchi yetu inasonga mbele kiuchumi basi hatuna budi kuchukua hatua mbali mbali kuthibiti mianya ya upotevu wa rasilimali fedha.Wanaharakati na watu wote wenye mapenzi mema na nchi hii tuombe hili.
Wanasiasa kwenye hili awe ACT,CHADEMA, CCM,NCCR na Hata CUF hawawezi kuwa upande wa mawazo haya.
Kwa maoni yangu ningependa iwe hivi Mbunge yeyote " Akijihudhuru au kuhama chama" basi aliyekuwa anafuatia kwenye kura wakati wa uchaguzi Mkuu yaani wa pili aapishwe ili kuchukua nafasi iliyoachwa wazi.
Nimependekeza marekebisho haya ili kuepuka gharama kubwa zisizo za lazima kama taifa tunazopata.Turudie uchaguzi tu pale bahati mbaya Mbunge anapoteza maisha.
Tumeshuhudia taifa likiingia gharama za kurudia uchaguzi katika majimbo kadhaa kwa kutaja kwa uchache majimbo yafuatayo: jimbo la 1.Nyarandu 2.Paulina Gekul 3.Chacha Ryoba na wengine wengi kibao.Kwenye upande wa udiwani huko penyewe usiseme wao ni wengi mno na penyewe kipengele hiki kiwe hivi hivi.
Kama kweli tuna nia ya dhati ya kuhakikisha nchi yetu inasonga mbele kiuchumi basi hatuna budi kuchukua hatua mbali mbali kuthibiti mianya ya upotevu wa rasilimali fedha.Wanaharakati na watu wote wenye mapenzi mema na nchi hii tuombe hili.
Wanasiasa kwenye hili awe ACT,CHADEMA, CCM,NCCR na Hata CUF hawawezi kuwa upande wa mawazo haya.