kiwiko
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 1,307
- 2,065
Kwanza maana ya shikamoo ni ipi? Marahaba ni kiarabu sijui ni nini?
Maneno hayaeleweki. Salamu haieleweki ni kwa ajili ya watu gani? Unajuaje umri wa mtu wa kumpa hio salamu maana sijui unatumia kipimo gani kujua aliekuzidi umri.
Hii ni salamu inayoleta mkanganyiko usio wa lazma kwa jamii.
Ni bora kutumia salamu moja inayoeleweka kwa watu wa rika zote mfano "Habari". Hio haitamaanisha ni ukosefu wa adabu na heshima.
Ombi kwa serikali na Bakita kufuta hii salama mbona nchi nyingine salamu ni moja tu na maisha yanaenda vizuri.
Nawasilisha.
Maneno hayaeleweki. Salamu haieleweki ni kwa ajili ya watu gani? Unajuaje umri wa mtu wa kumpa hio salamu maana sijui unatumia kipimo gani kujua aliekuzidi umri.
Hii ni salamu inayoleta mkanganyiko usio wa lazma kwa jamii.
Ni bora kutumia salamu moja inayoeleweka kwa watu wa rika zote mfano "Habari". Hio haitamaanisha ni ukosefu wa adabu na heshima.
Ombi kwa serikali na Bakita kufuta hii salama mbona nchi nyingine salamu ni moja tu na maisha yanaenda vizuri.
Nawasilisha.