USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,894
- 22,657
Mh.Makonda nimekuona leo ukiwa bize kusimamia miradi ya kimkakati jijini Dar ombi langu ni hii barabara ya kutoka stand ya kwa msuguri kuelekea msingwa kuanzia eneo la round about ya kwa msuguri ni kero Kubwa sana haipitiki hasa mvua zikinyesha
Barabara hii amabayo iko chini ya TARURA kuna uhuni pale unafanyika wale jamaa hawana vifaa hawana njia ya muda na ni kama wameutelekeza huu mradi kipindi hiki wananchi wanateseka ni bora wangeiacha tu ilivyokuwa kuliko haya ya kuichimba na kuiacha
Mh ukipita pale utaona aina ya mkandarasi alivyoharibu barabara hiyo na mvua ikinyesha hakuna bodaboda ,gari wala watembea kwa miguu wanaoweza kupita hapo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara hii amabayo iko chini ya TARURA kuna uhuni pale unafanyika wale jamaa hawana vifaa hawana njia ya muda na ni kama wameutelekeza huu mradi kipindi hiki wananchi wanateseka ni bora wangeiacha tu ilivyokuwa kuliko haya ya kuichimba na kuiacha
Mh ukipita pale utaona aina ya mkandarasi alivyoharibu barabara hiyo na mvua ikinyesha hakuna bodaboda ,gari wala watembea kwa miguu wanaoweza kupita hapo
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app