businesslink
Senior Member
- Mar 20, 2019
- 129
- 113
Mheshimiwa Rais.
Unahangaika kutaka kuifikisha nchi hii kwenye uchumi wa kati na wa viwanda kutimiza mipango ya maendeleo tuliyojiwekea kama taifa.
Moja kati ya sekta ambayo ni muhim kutekeleza hayo ni BRELA lakini kwa bahati mbaya sana wamekuwa kikwazo kikubwa sana kwenye kusajili na pia kufanya malipo.
Kwa kifupi mtandao wa BRELA hauruhusu u yoyote yule kufanya yafuatayo:
1. Ku search jina la biashara au kampuni (Name search)....hii wanataka ufanye manually and it takes 2 weeks kupata majibu
2. Kujua wamiliki wa hizo kampuni ni akina nani na wanamiliki asilimia ngapi (shareholding structure)
3. Kufanya malipo kwa njia ya Simu au benki kupitia kwenye mtandao wa e-payment wa Serikali
4. Kufanya returns online
Mheshimiwa Rais, Waziri husika na viongozi husika watakwambia hayo yote yapo lakini sio kweli. Mhehsimiwa Rais, naomba uingie kwenye mtandao wa Brela kisha jaribu kutafuta jina la kampuni yoyote kwa kifupi hutopata hizo taarifa.
Kwa kumalizia na kukufanyia wepesi hawa ndio wahusika wakuu BRELA:
Waziri wa Biashara, Ndugu: Joseph Kakunda
Naibu Waziri wa Biashara, Ndugu Stella Manyanya
Katibu Mkuu wizara ya Biashara, Ndugu JosephBuchweishaija
Waziri wa Uwekezaji ,Ndugu Angelina Kairuku
Mkurugenzi Mkuu BRELLA ...................
Ushauri. Mheshimiwa naomba kama imeshindikana ichukue hii uiweke chini yako maana hao uliowapa majuku wameshindwa
ushahidi wa haya ninayosema huy hapa:
BRELA ORS
Unahangaika kutaka kuifikisha nchi hii kwenye uchumi wa kati na wa viwanda kutimiza mipango ya maendeleo tuliyojiwekea kama taifa.
Moja kati ya sekta ambayo ni muhim kutekeleza hayo ni BRELA lakini kwa bahati mbaya sana wamekuwa kikwazo kikubwa sana kwenye kusajili na pia kufanya malipo.
Kwa kifupi mtandao wa BRELA hauruhusu u yoyote yule kufanya yafuatayo:
1. Ku search jina la biashara au kampuni (Name search)....hii wanataka ufanye manually and it takes 2 weeks kupata majibu
2. Kujua wamiliki wa hizo kampuni ni akina nani na wanamiliki asilimia ngapi (shareholding structure)
3. Kufanya malipo kwa njia ya Simu au benki kupitia kwenye mtandao wa e-payment wa Serikali
4. Kufanya returns online
Mheshimiwa Rais, Waziri husika na viongozi husika watakwambia hayo yote yapo lakini sio kweli. Mhehsimiwa Rais, naomba uingie kwenye mtandao wa Brela kisha jaribu kutafuta jina la kampuni yoyote kwa kifupi hutopata hizo taarifa.
Kwa kumalizia na kukufanyia wepesi hawa ndio wahusika wakuu BRELA:
Waziri wa Biashara, Ndugu: Joseph Kakunda
Naibu Waziri wa Biashara, Ndugu Stella Manyanya
Katibu Mkuu wizara ya Biashara, Ndugu JosephBuchweishaija
Waziri wa Uwekezaji ,Ndugu Angelina Kairuku
Mkurugenzi Mkuu BRELLA ...................
Ushauri. Mheshimiwa naomba kama imeshindikana ichukue hii uiweke chini yako maana hao uliowapa majuku wameshindwa
ushahidi wa haya ninayosema huy hapa:
BRELA ORS