Ombi kwa Rais Mwinyi: Wakumbuke Masheikh wa Uamsho ambao wanateseka huku familia zao zikiishi kwa shida

Kama walikamatwa Zanzibar na muislam mwenzao, kwanini walihamishiwa bara Kama sio magaidi, walipokuwa wakidai kuwa wanalawitiwa jela alikuwa rais gani, wamekaa miaka mingapi kabla kikwete hajaondoka madarakani, kwanini huyo Mufti hakumwomba kikwete awaachie.

Kumlaumu John ni chuki za udini, unatumia udini kumkwepesha Shein na Kikwete kwenye Hili sakata, mnadhani mtamtisha John na udini wenu
Mkuu waliletwa bara kwa ajili ya kusikilizwa tuhuma zingine za kubambikuzwa na walikua wanaripoti mahakamani na kulikua kuna dalili za kushinda kesi zote
Lakini join alipoingia akaamrisha kesi zisiendelee kwa sababu ya chuki yake kwa waislamu
Mpaka leo Hakuna mtu anasema waachiwe Bali tunataka kesi zao zisikilizwe na kama wana hatia hata wakihukumiwa kunyongwa ki halali Sisi tutaridhika sio kuwashikiliwa na kusema wazi wazi 'mimi nayachukia maislamu wacheni tafie huko'
Hata Kama anayochuki kwa jamii fulani kwa sababu yeye ni rais alikua anatakiwa ashinde nafsi take na awe muadilifu
Sio masheikh wa uamsho tu bali kila kukicha tangu aingie madarakani kuna narundo ya viongozi wa kiislamu wanakamatwa wanafia jela kwa mateso kama kule arusha masheikh zaidi ya 70 wapo jela bila kesi
Mbeya. Tanga.Mwanza nk
Sisi tunasema hizi dini za uislamu na ukristo zimeletwa na waarabu na wazungu na sababu sio kuchukiana na kuumizana kama anavyofanya Jon
Anyways hawezi kulazimisha sote tuwe na imani moja ila lazima akubali na avumilie akiona watu wanaenda msikitini hata kama anajisikia vibaya
 
Binafsi simpendi Jiwe na ule mbichwa wake kama ndoo ila kwa hili la masheikh nadhani mnamuonea.Wale walikamatwa na ndugu zao wenyewe uongozi wa Sheyin na Kikuwete.Hebu mpumzisheni kidogo mzee wa Chattle
 
Mkuu baadhi ya hawa masheikh walikamatwa na SMZ kabla ya yeye kua Rais lakini walikua wanapelekwa mahakamani kujibu kesi zao na ilikua wapo katika hatua za mwisho kufikia uamuzi.

Sasa jiwe alipoingia akaamrisha kesi zote ziache kusikilizwa na kila kukicha kuna viongozi wa kiislamu wanakamatwa kwa tuhuma za ugaidi kuanzia arusha. Mbeya. Tanga. Mwanza nk.

Anyways hakuna mtu anasema waachiwe lakini kwa sababu nchi hii Kuna mahakama je kwa nini hawapekekwi mahakamani?
Huyu mtu katili sana.
Unafahamu walichofsnya does masheikh. Taasidi ya Urais ina vyanzo vingi. Haiwezekani wachukuliwe na kuwekwa tu ndani.. Wameshikiriwa Nadella kwa maslai mapans ya taifa.
 
Unafahamu walichofsnya does masheikh. Taasidi ya Urais ina vyanzo vingi. Haiwezekani wachukuliwe na kuwekwa tu ndani.. Wameshikiriwa Nadella kwa maslai mapans ya taifa.
Unafahamu walichofsnya does masheikh. Taasidi ya Urais ina vyanzo vingi. Haiwezekani wachukuliwe na kuwekwa tu ndani.. Wameshikiriwa Nadella kwa maslai mapans ya taifa.
Nchi hii inayo mahakama everyone is innocent till proven guilty by the court of low sio bla bla
 
Mkuu waliletwa bara kwa ajili ya kusikilizwa tuhuma zingine za kubambikuzwa na walikua wanaripoti mahakamani na kulikua kuna dalili za kushinda kesi zote
Lakini join alipoingia akaamrisha kesi zisiendelee kwa sababu ya chuki yake kwa waislamu
Mpaka leo Hakuna mtu anasema waachiwe Bali tunataka kesi zao zisikilizwe na kama wana hatia hata wakihukumiwa kunyongwa ki halali Sisi tutaridhika sio kuwashikiliwa na kusema wazi wazi 'mimi nayachukia maislamu wacheni tafie huko'
Hata Kama anayochuki kwa jamii fulani kwa sababu yeye ni rais alikua anatakiwa ashinde nafsi take na awe muadilifu
Sio masheikh wa uamsho tu bali kila kukicha tangu aingie madarakani kuna narundo ya viongozi wa kiislamu wanakamatwa wanafia jela kwa mateso kama kule arusha masheikh zaidi ya 70 wapo jela bila kesi
Mbeya. Tanga.Mwanza nk
Sisi tunasema hizi dini za uislamu na ukristo zimeletwa na waarabu na wazungu na sababu sio kuchukiana na kuumizana kama anavyofanya Jon
Anyways hawezi kulazimisha sote tuwe na imani moja ila lazima akubali na avumilie akiona watu wanaenda msikitini hata kama anajisikia vibaya
Hivi unaweza ku prove ugaidi mahakamani? Hata ukithibitisha hivi Kuna adhabu inayomtosha gaidi huko jela? Mtu ambaye kuua ni kutoa sadaka, kuhamasisha mauaji na propaganda za uongo Kama za kwako ni thawabu kubwa. Dawa pekee ya ugaidi kumfanyia ugaidi.
 
pona pona yao Mashehe wetu hawa ni Tume huru ya uchaguzi tu before 2025. Hakuna njia nyingine. Tuungane sote tudai haki ya kuwepo tume hii.
Bila ya tume huru hiyo amani na umoja anao hubiri Mwinyi hatokuweko, kama kweli anaipenda Zanzibar ajuwe kwamba sababu ya yote hayo ni kutokuweko na tume huru. Pia awache kutumia misikiti kama majukwaa ya kisiasa, hapo nyuma walikuwepo maraisi kabla yake na wote walikuwa kila Ijumaa wanaenda msikitini bila kutoa hotuba zao au ndio alivyofundishwa na Magufuli ( kila Jumaapili akienda kanisani lazima atoe microphone yake ahitubie)
Ukweli hautoondoka kwamba amengia madarakani kwa dhulma , hata katika CCM hapo Zanzibar hakuwa na surport, hata katika majina matano yaliyopelekwa Chamwino jina la Hussein Mwinyi halikuwemo. Pia aeleze ziara yake yeye na maalim ya Chato ilikuwa na ajenda gani?
Ikumbukwe kwamba baada ya ziara hiyo ndio maalim alipopata maambukizi ya Corona .
 
Mkuu utapoteza muda wako bure Allah alishasema hawatokuwa radhi mayahudi na manasara hadi mufate mila zao.so Mkuu ww endelea kuwaombea mwsh mwema haki ipo yaumul qiyama na wataenda kulipwa kile walichodhulumiwa in sha Allah, yusuf (a.s) alikaa jela sana tu hadi akasaulika so tuweni na subra.
Of course walikamatwa na shein kule zanzibar sio kikwete lakini kesi zao zilikua zinaendelea mahakamani.

Hata kwa sasa hatusemi waachiwe tunasema kwa nini hataki kesi zao ziendelee mahakamani?

Pia Kumbuka mashekh wanaoozea jela sio wa uamsho tu bali kuna masheikh wengi wapo karibu kila Mkoa bila kesi waliokamatwa wakati wake.

Huyu kafiri ni mdini na katili sana
 
naamini tu ni kupandikizwa fikra mbovu na mtu kuzipokea nzima nzima pasipo kuzichuja na ile hali ya kupewa adui ambaye hutofanya jitihada zozote za kutaka kumjua ili kuhakikisha kama ana ubaya huo unaoambiwa.

Naamini kabisa kama tukikaa pamoja , tukajuana, tukaelewana na tukaamua kuvumiliana pale tunapokwenda tofauti kimitazamo huku tukiuhubiri utu kama msingi wa ubinadamu wetu. Sidhani kama hali hii itaweza kuendelea
Yaani ni maneno mazito uliyoyaeleza na yanafaa kuandikwa kwa wino wa dhahabu, na ninadhani huko nyuma ndivyo tulivyokuwa tukiishi, lakini kutokana na WANASIASA ndiyo walipotufikisha huku kwenye kupandikizina fikra za chuki mpaka watu tukachukiana kutoka kwenye mgongo wa dini.
 
Namshukuru M/Mungu , kwa kutupa utulivu na amani, mhe ris mwinyi , uchaguzi umekwisha na umefanikiwa kuanzisha furaha na upendo uliokuwa umeanza kutoweka hususani mara baada ya uchaguzi mkuu kuisha...
Mwinyi kama alivyo Magufuli ni kiongozi na inatupasa tuamini kwamba hayupo ili kuona ama kutesa raia anaowaongoza hajaingia ktk hawa wawili hayupo aliyeingia madarakani kwa ajili ya kumtesa ama kumnyanyasa kiongozi ama muumini yeyote wa dini yeyote kuanzia hawa uamsho na wengineo na pia tukumbuke kwamba hana Kisa na hawa watu tena zaidi ni kwamba hata hawafahamu

Ni kwamba siyo rais aliyewashikilia huko waliko kama ni mahabusu ama wapi na yeye kama wewe anaumia kichwa sana kwamba wangekuwa uraiani hawa watu wangemsaidia pia ktk kuijenga nchi ila usisahau pia kwamba kuwekwa kwa hao watu mahabusu ndiko kunakoifanya Tanzania iwe na amani mimi na wewe na wengine wote tuishi kwa amani hicho ndicho wanachokiangalia zaidi viongozi waliokabidhiwa dhamana ya kutulinda mimi na wewe

pengine ni ukweli kabisa kwamba familia zao walioko mahabusu zinapata shida hasa ya kuwakosa wapendwa wao waliowazowea lakini hizi familia ni chache ukilinganisha na hawa wengine watanzania wote wanaoishi kwa amani yetu ambayo haijavurugwa na hawa wachache waliofungiwa mahali

tuwaachie tuliowapa madaraka ya kuhakisha amani na usalama wetu wa ndani na nje wafanye kazi yao na kama wanaona kati yetu yupo mchochezi anayetuchochea na kutujaza chuki kwa kisingizio chochote cha kiimani za kidini ama hata kikabila kwa maana ya kutuvuruga na kutugawa basi tuwache viongozi tuliowapa dhamana wahangaike naye mtu huyo bila kujali kwamba ni ndugu yako ama ni ndugu yangu maana amani ikivurugwa na ndugu yako ama mtu wako wa karibu pengine madhara ya mwanzoni ya naweza yasikufikie ila usisahau kwamba uhasama utakaposhika kasi hata wewe na familia yako mtakuwa ni wahanga.

Hongera magufuli! Hongera Mwinyi.
 
Hussein Mwinyi ni rais wa kuchongwa sio chaguo la wazanzibari sawa na alivyo Magufuli huku. Hakuna aliyewapa kura halali kuwawezesha kushika mamlaka waliyonayo.

Hakuna kitu huyo Hussein atafanya huko Zanzibar bila kupewa ruhusa na Magufuli, yeye ni boya tu.
 
Kesi ya ugaidi haina dhamana wala muda gani inasikilizwa kesi za magaidi waliopelekwa gwantanamo nyingi hadi wengine walifia magerezani!!!

Hao mashehe kesi yao ugaidi sio ushehe!!! hakuna mtu yeyote mwenye kesi ya ushehe popote Tanzania!!!
Ugaidi huo wameufanya wapi?
 
Yaani ni maneno mazito uliyoyaeleza na yanafaa kuandikwa kwa wino wa dhahabu, na ninadhani huko nyuma ndivyo tulivyokuwa tukiishi, lakini kutokana na WANASIASA ndiyo walipotufikisha huku kwenye kupandikizina fikra za chuki mpaka watu tukachukiana kutoka kwenye mgongo wa dini.
shukrani na ni kweli kwa ulichokisema
 
Ni muda sasa umepita hawa mashehe waliosingiziwa ya kusingiziwa bado wanashikiliwa katika magereza ya Tanzania bara aka Tanganyika,hata hao waliowashitaki hawapo tena madarakani karibia wote wamepugwa na chini,sasa ni wakati muwafaka hawa mashehe waachiwe huru,warudi kwenye familia zao.

Tuache utani hakuna hata Mtanzania mmoja awe wa Bara au Visiwani labda wachache tu ,asiejua kuwa hawa watu wamewekwa magerezani kwa sababu za kisiasa za mabwana wale.

Ni bora Raisi Magufuli akajishusha huu mzigo na kuurudisha visiwani na naamini kabisa anazijua sababu za hawa mashee kuingizwa magerezani na kuhamishiwa bara maana likitokea la kutokea itasemwa wabara wamewaua,mfano akifariki au wakifariki ,itakuwa ni donda ndugu kuwa wabara ndio wanawaua mmoja mmoja ilizuka kuwateza,kuwanajisi yote yamewaangukia askari wa magereza wa bara.

Warudisheni huko kwao kwani yajayo yatawafurahisha.

Wewe msomaji unasemaje warudishwe au wabaki hapa bongo.
 
Ni muda sasa umepita hawa mashehe waliosingiziwa ya kusingiziwa bado wanashikiliwa katika magereza ya Tanzania bara aka Tanganyika,hata hao waliowashitaki hawapo tena madarakani karibia wote wamepugwa na chini,sasa ni wakati muwafaka hawa mashehe waachiwe huru,warudi kwenye familia zao...
Mtaweza kuandamana kweli kwa namna mlivyo gawanywa na mtawala wa awamu hii! Yaani Sheikh Alhad Mussa Salum aingie kabisa barabarani aandamane kudai haki za Masheikh wenzake!!😇
 
Mashehe walikua agenda kuu ya Act wazalendo kipindi cha kampeni sasa wapo ndani ya serikali ya umoja na wawatoe!
 
Back
Top Bottom