YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,910
- 51,904
Baada ya wao kukamatwa tu Zanzibar ikawa shwari hadi leoBaada ya hawa jamaa kukamatwa mbona hatusikii tena habari za kuchoma makanisa.
Baada ya wao kukamatwa tu Zanzibar ikawa shwari hadi leoBaada ya hawa jamaa kukamatwa mbona hatusikii tena habari za kuchoma makanisa.
Kuna mambo unaanza changanya apa kua makini na weka akiba ya manenoSio maneno Ndio yanawafanya wakae jela isipokua wao na mheshimiwa wapo dini tofauti.
Hapa ni chuki binafsi kwa watu wa dini tofauti sio kitu kingine.
Anyways dhulma ipo nyingi sana haswa kwa waumini wa dini historia inaonyesha jinsi walivyoteswa na viongozi makatili
Mkuu, vijana wa leo ni wapumbavu kwel kwel hiki kizazi sijui itakuaje, hakitumii akili kabisa kuchakata mambo... inatisha
Tunarud pale pale AKILI hazitumiki.Nilikuwa sitaki kuchangia ila sababu nimekukuta na comment yako hii,
Kuwa makini na EXTREMIST YOYOTE, awe kwenye ulokole, usabato, uislamu etc au mlengo wa kabila ama race yake.
Nakuhakikishia hata huyu ambaye ameweka chuki yake dhahiri dhidi ya "makafiri" kwa mgongo wa Rais kwa kuwa yupo jf. Amini ukimkuta anacheka nao huwezi kuamini ila hivi ndivyo vilivyoujaza moyo wake
Hata wale waliouana Rwanda kwa ukabila, waliishi kama majirani wa ukaribu kwa unafki mkubwa for years ila genocide iliporipuka ndio sura zao halisi zikaonekana...
Brothet, EXTRIMISTS wanafanya maamuzi kwa hisia za chuki walizolishwa ila ukitumia akili kuwa_judge hiyo ni hasara yako maana wao hawatumii.
Kukaa mahabusu miaka yote hio tayari ni hukumu tosha.Usiseme wakumbuke mashehe wa uamsho maana hawajashitakiwa Kama mashehe Bali wameshitakiwa kama raia wanaotuhumiwa kwa uhalifu fulani!
Sema wakumbuke watuhumiwa wa ..............
Musiba angekuwa ni muislamu kitambo Sana angekuwa guantanamo ya bongo.Ponda kinachomponza ni dini yake.Mkuu baadhi ya hawa masheikh walikamatwa na SMZ kabla ya yeye kua Rais lakini walikua wanapelekwa mahakamani kujibu kesi zao na ilikua wapo katika hatua za mwisho kufikia uamuzi.
Sasa jiwe alipoingia akaamrisha kesi zote ziache kusikilizwa na kila kukicha kuna viongozi wa kiislamu wanakamatwa kwa tuhuma za ugaidi kuanzia arusha. Mbeya. Tanga. Mwanza nk.
Anyways hakuna mtu anasema waachiwe lakini kwa sababu nchi hii Kuna mahakama je kwa nini hawapekekwi mahakamani?
Huyu mtu katili sana.
Waislamu awajaamua wakiamua hakuna atakeendelea kuwepo guantanamopona pona yao Mashehe wetu hawa ni Tume huru ya uchaguzi tu before 2025. Hakuna njia nyingine. Tuungane sote tudai haki ya kuwepo tume hii.
Mengi makanisani kule ndo kuna unafiki mwingi SanaHaya madikteta unayakuta kanisani na misikitini
Tunarud pale pale AKILI hazitumiki.
Sure mkuuMengi makanisani kule ndo kuna unafiki mwingi Sana
Sasa kwanini inatumika nguvu kuwatetea hao masheikh tu wakati wapo waislamu ambao wako huko jela kwa dhulma pia kama hao masheikh au kwa sababu wao si masheikh?
Trueyeah na sio suala la vijana wa sasa au elimu au chochote kile bali state of mind iliyopata toxic influence consistently kwa muda mrefu
Wahukumie basi, tujue MojaBaada ya wao kukamatwa tu Zanzibar ikawa shwari hadi leo
Wahukumie basi, tujue Moja
Msikitini mnajifunza kupigana na nani? Na mnapigania nini?Kwani mafunzo ya kupigana ni tatizo mkuu au tatizo ni kufanyiwa msikitini?
Eyce upo sahihi kwa asilimia zote, lakini kwa nini mtu anafikia kuwa kwenye msimamo mkali? Na kudhihirisha chuki zake hadharani?Nilikuwa sitaki kuchangia ila sababu nimekukuta na comment yako hii,
Kuwa makini na EXTREMIST YOYOTE, awe kwenye ulokole, usabato, uislamu etc au mlengo wa kabila ama race yake.
Nakuhakikishia hata huyu ambaye ameweka chuki yake dhahiri dhidi ya "makafiri" kwa mgongo wa Rais kwa kuwa yupo jf. Amini ukimkuta anacheka nao huwezi kuamini ila hivi ndivyo vilivyoujaza moyo wake
Hata wale waliouana Rwanda kwa ukabila, waliishi kama majirani wa ukaribu kwa unafki mkubwa for years ila genocide iliporipuka ndio sura zao halisi zikaonekana...
Brothet, EXTRIMISTS wanafanya maamuzi kwa hisia za chuki walizolishwa ila ukitumia akili kuwa_judge hiyo ni hasara yako maana wao hawatumii.
Kweli chunguKuna mambo unaanza changanya apa kua makini na weka akiba ya maneno