sinafungu
JF-Expert Member
- Feb 13, 2010
- 1,524
- 863
Namshukuru M/Mungu , kwa kutupa utulivu na amani, mhe ris mwinyi , uchaguzi umekwisha na umefanikiwa kuanzisha furaha na upendo uliokuwa umeanza kutoweka hususani mara baada ya uchaguzi mkuu kuisha.
Ombi langu kwako (Mungu amrehemu Maalim Seif) na viongozi wengine uliowaalika kurejesha Serikali ya umoja wa kitaifa. Ni kuwakumbuka masheikh wa uamsho ambao naamini kabisa familia zao zinaishi kwa taabu na mateso na pengine kuna baadhi ya watoto wao wamekosa huduma muhimu hata ya masomi kwa kutokuwepo kwao.
Nakuomba Rais uwakumbuke binaadamu hawa ikiwa kama chachu ya ubinaadamu wako ulionza kuonekana na ambao umekusukuma kuhuisha upya Serikali ya umoja wa kitaifa.
Tukio hili liwe ni moja ya kumkumbuka almaruhuum Maalim Seif Sharif Hamad, kama kiongozi mlioketi pamoja na yeye kufuta machungu ya madhira yaliyotokana na uchaguzi mkuu uliopita 2020. Namuomba Mungu
Ombi langu kwako (Mungu amrehemu Maalim Seif) na viongozi wengine uliowaalika kurejesha Serikali ya umoja wa kitaifa. Ni kuwakumbuka masheikh wa uamsho ambao naamini kabisa familia zao zinaishi kwa taabu na mateso na pengine kuna baadhi ya watoto wao wamekosa huduma muhimu hata ya masomi kwa kutokuwepo kwao.
Nakuomba Rais uwakumbuke binaadamu hawa ikiwa kama chachu ya ubinaadamu wako ulionza kuonekana na ambao umekusukuma kuhuisha upya Serikali ya umoja wa kitaifa.
Tukio hili liwe ni moja ya kumkumbuka almaruhuum Maalim Seif Sharif Hamad, kama kiongozi mlioketi pamoja na yeye kufuta machungu ya madhira yaliyotokana na uchaguzi mkuu uliopita 2020. Namuomba Mungu