lolypop
JF-Expert Member
- Jul 29, 2015
- 2,430
- 1,681
Mheshimiwa Rais
Cc waziri wa mambo ya nje
Ombi langu kwenu, kama itawezekana watanzania wote walioko china warudishwe nchini. Watanzania wenzetu wanapitia mateso huko china, naomba mtume ndege muwarudishe raia wetu nchini.
Pili, balozi wa watanzania aliopo china arudi nchini, na balozi wa china arudishwe kwao mara moja ili kuwaonesha serikali ya china hatujafurahishwa na unyanyasaji unaofanywa na wachina kwa Waafrika
Tazama hiyo video huo ni unyanyasaji
Tatu, wachina waliopo nchini warudi kwao
Tazama watanzania wenzetu walitupwa kwenye maji waliwe na papa
Mashine za wachina zile wafanyabiashara wenye nazo wazitaafishe kabisa
Nasisitiza serikali yetu isiendelee kukaa kimya, naomba mtoe tamko
N:b tuendelee kuchukua taadhari dhidi vya corona
Cc waziri wa mambo ya nje
Ombi langu kwenu, kama itawezekana watanzania wote walioko china warudishwe nchini. Watanzania wenzetu wanapitia mateso huko china, naomba mtume ndege muwarudishe raia wetu nchini.
Pili, balozi wa watanzania aliopo china arudi nchini, na balozi wa china arudishwe kwao mara moja ili kuwaonesha serikali ya china hatujafurahishwa na unyanyasaji unaofanywa na wachina kwa Waafrika
Tazama hiyo video huo ni unyanyasaji
Tatu, wachina waliopo nchini warudi kwao
Tazama watanzania wenzetu walitupwa kwenye maji waliwe na papa
Mashine za wachina zile wafanyabiashara wenye nazo wazitaafishe kabisa
Nasisitiza serikali yetu isiendelee kukaa kimya, naomba mtoe tamko
N:b tuendelee kuchukua taadhari dhidi vya corona