Kashaijabutege
JF-Expert Member
- Oct 20, 2010
- 2,696
- 740
Wapendwa Maprofessor na Wasomi wa Vyuo Vikuu
Acheni kugombea kwa tiketi ya CCM. Iga mfano wa Professor Baregu, Dr.Mbassa, Professor Kahigi, Profeesor Mlambiti na wengine wenye mapenzi kwa mabadiliko. Mungu atawalipa zaidi mkiwakomboa watanzania walio wengi kuliko kujali ubinafsi.
Tukipata vichwa safi katika upinzani, hakika CCM itang'oka kwa asilimia 75% mwaka 2015.
Tuanze sasa.
Nami nahitaji kadi ya CHADEMA.
Acheni kugombea kwa tiketi ya CCM. Iga mfano wa Professor Baregu, Dr.Mbassa, Professor Kahigi, Profeesor Mlambiti na wengine wenye mapenzi kwa mabadiliko. Mungu atawalipa zaidi mkiwakomboa watanzania walio wengi kuliko kujali ubinafsi.
Tukipata vichwa safi katika upinzani, hakika CCM itang'oka kwa asilimia 75% mwaka 2015.
Tuanze sasa.
Nami nahitaji kadi ya CHADEMA.