wade adams
Senior Member
- Dec 2, 2011
- 160
- 47
Tumefurahi sana kwa kazi kubwa uliyofanya kuokoa NICOL kutoka kwenye meno ya mafisadi. Tumesoma taarifa yako kwa kina na tumegundua madudu mengi sana yaliyofanyika ikiwa ni pomaja na kufanya NICOL kuwa ya mtu binafsi. Inaonekanika maamuzi yote yalikuwa yanafanywa na mtu mmoja, wengine walikuwa wana "endose".
Tumeona upotevu wa 10btzs ni fedha nyingi sana haswa ukizingatia ni mchango wa makabwela.
Tumeona vision na mission ya NICOL ni superb hii ndiyo ndoto yetu tulio nayo wengi.
Kile kiwanda cha nyama na samaki kipo au ndiyo danganya toto. Tupate taarifa iliyoshipa kuhusu hivi viwanda hata kama itakuwa special audit. Tunaomba kama itawezekana kwa kutumia sheria zilizopo tumtumie CAG. Jitahidi kutumia gharama ndogo za uendeshaji walau 0.5% ya mtaji au chini zaidi. Tufuate style ya Raisi ya kubana matumizi.
Maombi yetu:
Pamoja na hiyo mission,hebu tuangalie matatizo ya Mtz. Tatizo kubwa hapo Bongo sasa hivi ni ajira kwa vijana. Ni vizuri basi miradi yetu hiyo itakayobuniwa ikawa ya kutengenexa mazingira ya ajira na faida ya kutosha
Wanahisa tunaomba ukuwaji wa mtaji ukuwe na sisi (yaani hisa zetu zikuwe) lazima huo utaratibu uwepo. Mgao wa dividend uwe tofauti na ukuaji wa mtaji, kama mwahisa atapenda kuuza sehemu yake kubakia na principal hiari yake. Itakuwa siyo haki nilipie share mwaka 2003 kwa million moja, mwaka 2016 mtaji ubakie million moja ile ile.
Gharama za mashauri ya kumng'oa Felic Mosha ni nani anabeba!
Nini mpango wa NICOL miaka mitano IJAYO, tunaomba isiwe kununua stocks/share bali ilenge vile vile kujenga viwanda vya kati ambavyo ni rahisi kuendesha na kutengeneza ajira faida ya kutosha, kuleta maendeleo ya nchi na kutengeneza kodi.
Tunaomba NICOL ianzishe microfinance company ili kuwezesha watz kukopa.
Hebu NICOL iwe mkombozi wa watz siyo mzingo na kichocheo cha ugomvi na sehemu ya kupiga dili CHONDE CHONDE
Tumeona upotevu wa 10btzs ni fedha nyingi sana haswa ukizingatia ni mchango wa makabwela.
Tumeona vision na mission ya NICOL ni superb hii ndiyo ndoto yetu tulio nayo wengi.
Kile kiwanda cha nyama na samaki kipo au ndiyo danganya toto. Tupate taarifa iliyoshipa kuhusu hivi viwanda hata kama itakuwa special audit. Tunaomba kama itawezekana kwa kutumia sheria zilizopo tumtumie CAG. Jitahidi kutumia gharama ndogo za uendeshaji walau 0.5% ya mtaji au chini zaidi. Tufuate style ya Raisi ya kubana matumizi.
Maombi yetu:
Pamoja na hiyo mission,hebu tuangalie matatizo ya Mtz. Tatizo kubwa hapo Bongo sasa hivi ni ajira kwa vijana. Ni vizuri basi miradi yetu hiyo itakayobuniwa ikawa ya kutengenexa mazingira ya ajira na faida ya kutosha
Wanahisa tunaomba ukuwaji wa mtaji ukuwe na sisi (yaani hisa zetu zikuwe) lazima huo utaratibu uwepo. Mgao wa dividend uwe tofauti na ukuaji wa mtaji, kama mwahisa atapenda kuuza sehemu yake kubakia na principal hiari yake. Itakuwa siyo haki nilipie share mwaka 2003 kwa million moja, mwaka 2016 mtaji ubakie million moja ile ile.
Gharama za mashauri ya kumng'oa Felic Mosha ni nani anabeba!
Nini mpango wa NICOL miaka mitano IJAYO, tunaomba isiwe kununua stocks/share bali ilenge vile vile kujenga viwanda vya kati ambavyo ni rahisi kuendesha na kutengeneza ajira faida ya kutosha, kuleta maendeleo ya nchi na kutengeneza kodi.
Tunaomba NICOL ianzishe microfinance company ili kuwezesha watz kukopa.
Hebu NICOL iwe mkombozi wa watz siyo mzingo na kichocheo cha ugomvi na sehemu ya kupiga dili CHONDE CHONDE